zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 24,239
- 39,816
It doesn't matter, unahitaji support ya wananchi sio vyama vya wafanyakazi maana hivyo vipo compromised sana. Si unaona TLS tu ilivyochagua Lissu ikaundiwa bar nyingine.Imeshajitoa itashiriki kivp tena. Isubiri 2030 ibuni mikakati ya kisayansi, you cannot make changes by the brutal means. CCM wajanja tangia ikiwa TANU kwa huku bara walijitwalia chama cha wafanyakazi kiongozi wao akajua kuwa waziri mkuu(Rashid Mfaume Kawawa), chama cha wafanyakazi ikafanywa jumuiya ya CCM. Sasa Chadema taasisi au jumuiya ipi iko nyuma yao, CCM wajanja sana yale makundi muhimu ktk jamii wanayashikilia.
Hata CEO wa Simba alikua mbunge wa chadema ila ikabidi achukue kadi ya CCM ndio apewe u-CEO wa Simba!! Unategemea chadema itapita wapi kwenye so called "siasa sa kisayansi"?
Kikubwa hapa ni uwanja sawa wa siasa, ila kama ndio mambo ni haya haya chadema hata ikiondoa usajili wake mimi nitasuppport tu tubaki chama kimoja tu kuliko waendelee kuuwawa na kuibiwa kura miaka nenda rudi.
