FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,337
- 13,656
Waliambiwa waache siasa tujenge nchi wao wakakataa... Naipongeza CCM kwa wao pia kuwajibu kwamba wao ni chama dola, wanafanya walitakalo. Wakimaliza kupandikiza migogoro isiyotatulika CUF wataamia Chadema.. Nako watakupasua wengine watakimbilia ACT na wengine kubaki CDM.. 2020 vyama hivi vitatu ACT, CUF na CDM vitagawana kura na CDM pekee ndio itapata wabunge wachache kuliko sasa wakati wengi wakitoka chama dola CCM. CUF na ACT wanaweza wakapata mbunge mmoja mmoja tu..Ccm ikiamua lake,nani wa kulipinga???
Wabunge wa Upinzani mngekubali kumuunga mkono Rais na kupiga kazi, kuweka siasa pembeni wala hizi purukushani hazingekuwepo. Na pia Mh Rais kwenye maendeleo hana upendeleo wa kichama. Tuliona alivyokuwa anashirikiana na wapinzani kupeleka barabara kwenye majimbo yao..