NMB yalaumiwa kutoa siri ya Lipumba

NMB yalaumiwa kutoa siri ya Lipumba

Ama!
Mbona watu ni wasahaulivu hivi?

Kwani hawa wakina Kambaya si ndiyo miongoni mwa wanaodai kuwa Lipumba ndiye Mwenyekiti wa Cuf taifa?
Sasa kufungua akaunti ya siri ya chama kinyume na taratibu za taasisi hiyo wanataka kumficha nani? Wanamwogopa nani?

Kwanini Mwenyekiti na kundi lake hawatumii zile akaunti za chama zilizopo.
Au kama ni vigumu; kwani wale waliomsaidia Lipumba kumrudisha kundini kwa nguvu, siwamsaidie tena ili apate mamlaka ya kutumia akaunti za chama, kwani hawa siwanaweza kila kitu?
 
chama kinapata kashikashi kwa sababu ya 'rupie' ilhali 'rupie' ndio inatuliza 'uzia'
le prof..
 
HEKO ALIYEWEKA MAMBO YA HOVYO HOVYO HADHARANI./
->>AFRIKA NI AFRIKA TU NA UHOVYO WAKE./
->>LOGIC YA KUFUNGUA A/C YA CHAMA KIKUBWA KAMA CUF KWA SIRI NI NINI?..../ TENA BILA WADHAMINI WA CHAMA?/ THIS BARGLARY POOR POOR POOR/
->>KULIKO KUFANYA UPUUZI WA AINA HII PESA ZA WALIPA KODI ZIKATUMIKA ILLIGALLY NI HERI "KUFUTA CHAMA KWA DHATI KABISA"

**serkali inakusanya kwa nguvu zote then inakuja kudump fedha katika kapu la siri what this means?
 
Kuficha taarifa ya mwizi ni kosa kisheria ila kufichua taarifa ya mwizi sio kosa kisheria ni ushujaa lipumba ni mwizi kama wezi wengine tu...
Mbona wale waliofungua A/c kule Bukoba walikamatwa?
 
Uongo uongo na unafiki huwa haufiki mbali hira za Lipumba kurudi ni baada ya kugundua alijiuzuru afu Ruzuku ya chama imetuna zaidi sasa anaforce king kurudi ili azitumbue vizuri wakati alikimbia vita.
 
HEKO ALIYEWEKA MAMBO YA HOVYO HOVYO HADHARANI./
->>AFRIKA NI AFRIKA TU NA UHOVYO WAKE./
->>LOGIC YA KUFUNGUA A/C YA CHAMA KIKUBWA KAMA CUF KWA SIRI NI NINI?..../ TENA BILA WADHAMINI WA CHAMA?/ THIS BARGLARY POOR POOR POOR/
->>KULIKO KUFANYA UPUUZI WA AINA HII PESA ZA WALIPA KODI ZIKATUMIKA ILLIGALLY NI HERI "KUFUTA CHAMA KWA DHATI KABISA"

**serkali inakusanya kwa nguvu zote then inakuja kudump fedha katika kapu la siri what this means?
Huyo Abdalah kambaya anapenda Siri mbona yeye hana Siri? Kila mtu anajua Abdalah kambaya ni mshirikina hatari kutwa yupo kwa waganga anapeleka waganga wa kila aina ofisini buguruni.
 
HEKO ALIYEWEKA MAMBO YA HOVYO HOVYO HADHARANI./
->>AFRIKA NI AFRIKA TU NA UHOVYO WAKE./
->>LOGIC YA KUFUNGUA A/C YA CHAMA KIKUBWA KAMA CUF KWA SIRI NI NINI?..../ TENA BILA WADHAMINI WA CHAMA?/ THIS BARGLARY POOR POOR POOR/
->>KULIKO KUFANYA UPUUZI WA AINA HII PESA ZA WALIPA KODI ZIKATUMIKA ILLIGALLY NI HERI "KUFUTA CHAMA KWA DHATI KABISA"

**serkali inakusanya kwa nguvu zote then inakuja kudump fedha katika kapu la siri what this means?
Tatizo CCM
 
Mimi nina akaunti yangu NMB, wala sio siri na hata nilipokuwa ninaifungua, nilikuwa nimepanga foleni kuelekea desk la Customer Care, na tulikuwa wengi tu. Siri pekee ni password ya card yangu ya ATM, lakini hilo la watu kujua kama nilifungua akaunti, wala sio siri!
 
Lipumba anapaswa kushitakiwa kama RAS & co kagera kwa kufungua account fake inayofanana na ile ya CUF au yenye jina la CUF.

Kwanini....
CUF ina account tayari ambayo inaendeshwa na Mtendaji mkuu wa Chama (Katibu Mkuu)

Ova
 
Huyo Abdalah kambaya anapenda Siri mbona yeye hana Siri? Kila mtu anajua Abdalah kambaya ni mshirikina hatari kutwa yupo kwa waganga anapeleka waganga wa kila aina ofisini buguruni.

Bwana yule ni jizi tena muuaji Mkubwa hana tofauti NA scorpion! Bwana amlani
 
Uongo uongo na unafiki huwa haufiki mbali hira za Lipumba kurudi ni baada ya kugundua alijiuzuru afu Ruzuku ya chama imetuna zaidi sasa anaforce king kurudi ili azitumbue vizuri wakati alikimbia vita.
lipumba anaenda kula pesa ambayo hakuipigania kabsa yaani wamekula njama na msajili wale hiyo pesa ili iwasasaidie kuwanunua wana CUF njaa wengi pia hata baadhi ya wabunge njaa ambao watavutwa na Sakaya, kwa kifupi Ruzuku itatumika kuchochea vurugu ili CUF isambaritike watimize lengo Lao.
 
N
Toeni siri cuf wanapata kiasi gani toka kwa mtung
Na Kama ni kweli barua ya kumtambulisha ilitoka kwa Jaji, basi hili jambo ni lazima Raisi alichukulie hatua tena haraka bila kificho.kwa sababu asipofanya hivyo wananchi watachukulia Kama dharau kwaô, kwa tafsiri nyingine ni kwamba huu ni wizi Kama wizi mwingine

Haya ni matumizi Mabaya kabisa ya madaraka, pia ni matumizi Mabaya kwa pesa za walipa kodi. Jambo la aibu kabisa!sss
 
Safari bado ndefu ndani ya Africa. .
Vitu vingine unaweza hisi unasoma hadithi kumbe ndio ukweli ulivo..[emoji51] [emoji51] [emoji51]
 
Lipumba anapaswa kushitakiwa kama RAS & co kagera kwa kufungua account fake inayofanana na ile ya CUF au yenye jina la CUF.

Kwanini....
CUF ina account tayari ambayo inaendeshwa na Mtendaji mkuu wa Chama (Katibu Mkuu)

Ova
Bodies ya wadhamini itabidi ishughulikie suala hilo haraka iwezekanavyo
 
watumishi wa CRDB tawi lile la Bukoba walioidhinisha kufungua akaunti feki Mkulu alisema wawajibishwe na vipi kuhusu hawa watumishi wa NMB walioshiriki kufungua akaunti feki ya CUF wanaachajwe? Huyo msajili aliyeandika barua ya utambulisho, je alijiridhisha sababu ya kufunguliwa akaunti ya pili kwa chama ambacho tayari kina akaunti? Serikali kupitia Msajili wa Vyama Vya Siasa, NMB na Polisi hawawezi kukwepa kujumuishwa kwenye hii kadhia ya CUF
 
Sioni kama usomi wake unamusaidia maana anazidikujidhalilisha kila kukicha
Kwani ajifunzi kwa akina wirboard siraha! Mbona wao wanekaa kimya!!
Anaboa sana lipumba kiukweli.
 
Back
Top Bottom