NMB yalaumiwa kutoa siri ya Lipumba

NMB yalaumiwa kutoa siri ya Lipumba

Lipumba anapaswa kushitakiwa kama RAS & co kagera kwa kufungua account fake inayofanana na ile ya CUF au yenye jina la CUF.

Kwanini....
CUF ina account tayari ambayo inaendeshwa na Mtendaji mkuu wa Chama (Katibu Mkuu)

Ova
Lipumba angekuwa North Korea Leo hii tungekuwa tumejifunza kitu
 
Sioni kama usomi wake unamusaidia maana anazidikujidhalilisha kila kukicha
Kwani ajifunzi kwa akina wirboard siraha! Mbona wao wanekaa kimya!!
Anaboa sana lipumba kiukweli.
Mkuu kwa sasa lipumba keshasahau alichokisoma ndiyo maana Abdalah kambaya kamwingiza kwenye Ushirikina kawa kama profesa maji marefu ndiyo maana wanafanya vioja wakiamini kuwa watawaroga watanzania wote wawaone kuwa wapo sahihi.
 
Alijiuzulu AKAJITENGUA akatumbuliwa
Sasa kajiresha kwa nguvu kutumia msaada wa Msajili na nguvu za giza za Abdalah kambaya na mbinu za siasa za maji Taka za sakaya ambaye kwa sasa amegeuka kuwa mchepuko wa lipumba na kuisahau ndoa yake.
 
si mnasema ruzuku za vyama ni kodi zetu wananchi iweje kujua mahali fedha za ruzuku zinapitia kuna ubaya gani?
 
Kuficha taarifa ya mwizi ni kosa kisheria ila kufichua taarifa ya mwizi sio kosa kisheria ni ushujaa lipumba ni mwizi kama wezi wengine tu...
Mkuu, katika nchi hii kinyume chake ndio ukweli...ukifichua mwizi unakuwa umekosea sana.
 
Mkuu kwa sasa lipumba keshasahau alichokisoma ndiyo maana Abdalah kambaya kamwingiza kwenye Ushirikina kawa kama profesa maji marefu ndiyo maana wanafanya vioja wakiamini kuwa watawaroga watanzania wote wawaone kuwa wapo sahihi.
Ujue ifike mahala wakumbuke kile wanachokisema nyuma ya mambo ya mbele ikumbukwe lipumba huyu huyu ndo alisema tena kwakujinadi sana kwenye vyombo vya habari kuwa amejiuzuru rasmi kuwa mwenyekiti wa chama cha Cuf .
Sasa inakuwaje leo ajifanye kasahau???
Akitendei chama haki tofauti nakukivuruga 2
 
Ujue ifike mahala wakumbuke kile wanachokisema nyuma ya mambo ya mbele ikumbukwe lipumba huyu huyu ndo alisema tena kwakujinadi sana kwenye vyombo vya habari kuwa amejiuzuru rasmi kuwa mwenyekiti wa chama cha Cuf .
Sasa inakuwaje leo ajifanye kasahau???
Akitendei chama haki tofauti nakukivuruga 2
Wamejitoa fahamu kabsa sasa wanaamini kila kitu kupitia ushirikina wanajua nguvu za kuganga zitawasaidia kuwageuza watanzania kuamini Dili lao la kumwaga Sumu ya kuteketeza CUF
 
Iipumba kwa sasa ni Fisi na Abdalah kambaya ni Bundi huku sakaya akiwa ni Sumu ya panya hii kombinenga ni hatari sana wapo tayari kwa lolote ili mladi wapate pesa za CCM na pesa za Umma huu mladi wa kula pesa ni hatari kuliko IPTL na escrow.
 
Hapa ndio nimeelewa kwa nini katika Uislam mume akimtamkia mkewe "nimekuacha" hiyo ni talaka moja kwa moja hakuna mjadala. Wala hawezi kusema amekosea au alikuwa na hasira.
Waliona mbali walikwepa figisufigisu kama hizi za lipumba
 
Wamejitoa fahamu kabsa sasa wanaamini kila kitu kupitia ushirikina wanajua nguvu za kuganga zitawasaidia kuwageuza watanzania kuamini Dili lao la kumwaga Sumu ya kuteketeza CUF
Hawajatambua kuwa watanzania wameshang'amka imekura kwao
 
Hivi kufungua akaunti ya benki ni siri jamani?

Mbona mimi huwa nawaona CRDB Bank wakitembea na gari lao magulioni wakihamasisha watu kufungua account ktk benki yao na mtu yeyote aliye tayari aweza kumalizana nao hata njiani tu huku watu wengine wakiona??

Nadhani kwa Ibrahimu Lipumba na huyu mwenzake anayeitwa Abdul Kambaya, ishu sio "siri ya Ibtahimu Lipumba kufungua account NMB benki yafichuka" kwa sbb kufungua akaunti benki yoyote ile kamwe hakuwezi kuwa ni jambo la siri.

Ishu hapa ni malengo ya kufungua account hiyo ni nini, kwamba, ili aweze kuwekewa fedha ambazo hazikusudiwi kuja kwake, na kwa lugha rahisi kabisa...siyo fedha zake...anataka kuiba!!

Na huu ni wizi na ndiyo maana wanalialia na kulaumu benki kana kwamba mchakato wa ufunguzi wa account ya benki tena ya taasisi unaanzia hapohapo benki!!
 
Kumbe kufungua akaunti ya chama nisiri, nilikuwa sijafahamu.
 
Back
Top Bottom