NMB Tanzania
Official Account
- Sep 13, 2014
- 94
- 231
Benki yenu haibadiliki ipo ipo tu kwanini msiwe wabunifu ? Watu wanatafuta hela kwa shida kwenda kutunza hela zao na kuchukua pia wapate shida ? You have to be creatives and avoid conservatism.
Mmefanya vizuri kampuni za simu pia mnatakiwa mje humu kuna shutuma nyingi sana zinatukera mje na nyie kama hawa NMB walivofanya