Njoo tukumbushane ulivyoibiwa simu au kompyuta

Njoo tukumbushane ulivyoibiwa simu au kompyuta

mi wezi kitaani wananiogopa siku moja kuna mdogo wangu wa kike mtoto wa mjomba alitoka mkoani kaja dar kunitembelea kwa kuwa alikuwa mgeni kitaani wahuni wakamtaitisha uchochoro flani usiku wakati anarudi kutoka kwenye mihangaiko yake wakampora mkoba na simu alirudi analia nikamwambia subiri mbona vitu hivyo vinapatikana chapu tu nikamchukua hadi kwa jamaa mmoja hivi kitaani ana historia nzuri sana ya ujambazi na ndio anafadhili magenge yote ya uhalifu kinondoni nzima na vitongoji vyake nikamwambia mdogo wangu kaibiwa mkoba wake sasa hivi hebu niitie aliyemuibia of course anajua harakati za wezi wote mtaani,anajua kitu gani kimeibiwa saa ngapi au sehemu gani kwa kuwa lazima vipitie kwake,basi nikaletewa mtu wangu kwa kuwa Mimi mwenyewe nina historia za kimafia niliheshimiwa sana na kuogopwa basi ghafla bin vuu nikaanza kumuweka makofi yule mwizi mbele ya mkuu wake,mpaka wakaanza kunisihi nimsamehe kwani alikuwa mgeni mtaani hajui ramani zinasomekaje tukachukua vitu vyetu tukasepa,Siku nyingne niliibiwa gypsum zangu niliziweka kibarazani wezi waliruka ukuta na kuingia ndani wakazibeba kama kawaida nikawafata na kuwaamrisha warudishe maana sio ombi na wananijua vizuri sema kiburi tu kesho take mbona nilizikuta palepale
Acha fix wewe
 
Block B mabibo hostel tukiwa tumelala chumba kizima tuliibiwaa simu yaan na.majirani zetu nao waliibiwaaa sema uzuri wake walituachiaa line zetu za simu asubuh tuliishiaa kuchekanaa baada ya kila mtu kujikutaa kaibiwaa
 
Sijawahi ibiwa simu kwenye maisha yangu.....ila nimeshapitia majaribio mawili ya kutaka kuibiwa yote nilistuka.
Kuna siku Sabasaba, mwaka 1999 nafikiri, nilikuwa naingia palelangoni, watu wamejazana.

Mwenyewe nimeulamba, mkanda nje, kisimu nje kwenye kipochi chake.

Mjanja mmoja akaniwahi, nikawa nashtukia simu haipo,sijaona aliyekwapua, nikafanya saikolojiaya haraka sana ya kuangalia sura na nikamuona mtuhumiwa hapo hapo na yeye akaniona akajua nimemuona, nikamwambia nirudishie simu yangu sasa hivi au nakuitia mwizi tunakuchoma mafuta. Akanirudishia.

Nikatoka hapo nikamtafuta Polisi, nikamuonesha unamuona yule jamaa pale, mwizi wa simu kaniibia simu nimemdaka kanirudishia, sina muda wa kumshtaki na pia kashanirudishia ushahidi, ila kamtieni jambajamba aondoke hapa ataibia watu simu.

Siku nyingine nilikuwa Mwenge napanda basi la Stesheni kwenda kazini.

Vurugu za kupanda basi, nimeingia ndani najikuta sina wallet. Nikapiga mkwala basi zima kama wallet sijapewa basi zima linaenda Polisi kila mtu anasachiwa.

Watu wakawa wengine wananihurumia, wengine wananiambia nikubali matokeo tu, wengine wanataka kuondoka wapande basi lingine.

Basi pale pale likanijia wazo kwamba kama mwizi yupo ndani, na anasikia basi litapelekwa Polisi, atakuwa ni kati ya wanaotaka kutoka.

Nikaweka mkwala asitoke mtu na wote wanatakiwa kwenda Polisi.

Hapo hapo nikajiwa na wazo la kuangalia chini ya basi.

Kuangalia chini ya basi nikaikuta wallet yangu, inaonekana kuna mtu aliona aifiche hapo mpaka basi liondoke (inawezekana pia wallet ilianguka katika msukosuko wa kupanda basi ikapigwa teke na kuishia chini ya basi).

Sijawahi kuibiwa maishani yangu.

Nilipo sasa, nilishawahi kusahau simu ina credit cards kwenye cover, katika mall, nimekaa najaribisha viatu, simu nimeiweka kwenye kiti, nikaisahau. Kutoka nje, nakaa kwenye gari, najishtukia sina simu.

Nimerudi kwenye ,mal, na retrace steps, sijaona simu. Nikaenda kwa cashiers kwenye mall, naulizia kama wamepewa simu niliyopoteza, wakaniambia kuna simu hapa, tunaomba jina lako tuhakikishe na credit cards zilizomo. Nikawatajia, wakaona sawa, wakanipa.

Sijawahi kuibiwa maisha yangu.

Ingawa nishatembea mitaa mibaya masaa mabaya mpaka siku nyingine nikikumbuka naona nilikuwa nacheza kwa hatari sana
 
Kuna siku Sabasaba, mwaka 1999 nafikiri, nilikuwa naingia palelangoni, watu wamejazana.

Mwenyewe nimeulamba, mkanda nje, kisimu nje kwenye kipochi chake.

Mjanja mmoja akaniwahi, nikawa nashtukia simu haipo,sijaona aliyekwapua, nikafanya saikolojiaya haraka sana ya kuangalia sura na nikamuona mtuhumiwa hapo hapo na yeye akaniona akajua nimemuona, nikamwambia nirudishie simu yangu sasa hivi au nakuitia mwizi tunakuchoma mafuta. Akanirudishia.

Nikatoka hapo nikamtafuta Polisi, nikamuonesha unamuona yule jamaa pale, mwizi wa simu kaniibia simu nimemdaka kanirudishia, sina muda wa kumshtaki na pia kashanirudishia ushahidi, ila kamtieni jambajamba aondoke hapa ataibia watu simu.

Siku nyingine nilikuwa Mwenge napanda basi la Stesheni kwenda kazini.

Vurugu za kupanda basi, nimeingia ndani najikuta sina wallet. Nikapiga mkwala basi zima kama wallet sijapewa basi zima linaenda Polisi kila mtu anasachiwa.

Watu wakawa wengine wananihurumia, wengine wananiambia nikubali matokeo tu, wengine wanataka kuondoka wapande basi lingine.

Basi pale pale likanijia wazo kwamba kama mwizi yupo ndani, na anasikia basi litapelekwa Polisi, atakuwa ni kati ya wanaotaka kutoka.

Nikaweka mkwala asitoke mtu na wote wanatakiwa kwenda Polisi.

Hapo hapo nikajiwa na wazo la kuangalia chini ya basi.

Kuangalia chini ya basi nikaikuta wallet yangu, inaonekana kuna mtu aliona aifiche hapo mpaka basi liondoke (inawezekana pia wallet ilianguka katika msukosuko wa kupanda basi ikapigwa teke na kuishia chini ya basi).

Sijawahi kuibiwa maishani yangu.

Nilipo sasa, nilishawahi kusahau simu ina credit cards kwenye cover, katika mall, nimekaa najaribisha viatu, simu nimeiweka kwenye kiti, nikaisahau. Kutoka nje, nakaa kwenye gari, najishtukia sina simu.

Nimerudi kwenye ,mal, na retrace steps, sijaona simu. Nikaenda kwa cashiers kwenye mall, naulizia kama wamepewa simu niliyopoteza, wakaniambia kuna simu hapa, tunaomba jina lako tuhakikishe na credit cards zilizomo. Nikawatajia, wakaona sawa, wakanipa.

Sijawahi kuibiwa maisha yangu.

Ingawa nishatembea mitaa mibaya masaa mabaya mpaka siku nyingine nikikumbuka naona nilikuwa nacheza kwa hatari sana
Daaaaaa hongera Mkuu Kiranga Thanks for sharing.
 
Kuna siku Sabasaba, mwaka 1999 nafikiri, nilikuwa naingia palelangoni, watu wamejazana.

Mwenyewe nimeulamba, mkanda nje, kisimu nje kwenye kipochi chake.

Mjanja mmoja akaniwahi, nikawa nashtukia simu haipo,sijaona aliyekwapua, nikafanya saikolojiaya haraka sana ya kuangalia sura na nikamuona mtuhumiwa hapo hapo na yeye akaniona akajua nimemuona, nikamwambia nirudishie simu yangu sasa hivi au nakuitia mwizi tunakuchoma mafuta. Akanirudishia.

Nikatoka hapo nikamtafuta Polisi, nikamuonesha unamuona yule jamaa pale, mwizi wa simu kaniibia simu nimemdaka kanirudishia, sina muda wa kumshtaki na pia kashanirudishia ushahidi, ila kamtieni jambajamba aondoke hapa ataibia watu simu.

Siku nyingine nilikuwa Mwenge napanda basi la Stesheni kwenda kazini.

Vurugu za kupanda basi, nimeingia ndani najikuta sina wallet. Nikapiga mkwala basi zima kama wallet sijapewa basi zima linaenda Polisi kila mtu anasachiwa.

Watu wakawa wengine wananihurumia, wengine wananiambia nikubali matokeo tu, wengine wanataka kuondoka wapande basi lingine.

Basi pale pale likanijia wazo kwamba kama mwizi yupo ndani, na anasikia basi litapelekwa Polisi, atakuwa ni kati ya wanaotaka kutoka.

Nikaweka mkwala asitoke mtu na wote wanatakiwa kwenda Polisi.

Hapo hapo nikajiwa na wazo la kuangalia chini ya basi.

Kuangalia chini ya basi nikaikuta wallet yangu, inaonekana kuna mtu aliona aifiche hapo mpaka basi liondoke (inawezekana pia wallet ilianguka katika msukosuko wa kupanda basi ikapigwa teke na kuishia chini ya basi).

Sijawahi kuibiwa maishani yangu.

Nilipo sasa, nilishawahi kusahau simu ina credit cards kwenye cover, katika mall, nimekaa najaribisha viatu, simu nimeiweka kwenye kiti, nikaisahau. Kutoka nje, nakaa kwenye gari, najishtukia sina simu.

Nimerudi kwenye ,mal, na retrace steps, sijaona simu. Nikaenda kwa cashiers kwenye mall, naulizia kama wamepewa simu niliyopoteza, wakaniambia kuna simu hapa, tunaomba jina lako tuhakikishe na credit cards zilizomo. Nikawatajia, wakaona sawa, wakanipa.

Sijawahi kuibiwa maisha yangu.

Ingawa nishatembea mitaa mibaya masaa mabaya mpaka siku nyingine nikikumbuka naona nilikuwa nacheza kwa hatari sana
Kilanga hivi na mambele huko kuna vibaka kama wa Manzese au wako more advanced...?
 
Kilanga hivi na mambele huko kuna vibaka kama wa Manzese au wako more advanced...?
Vibaka wapo kila sehemu yenye mchanganyiko wa watu.

Ila vibaka wa huku wana neema neema kidogo inawafanya wasiwafikie wa Manzese. Nasikia habari za zamani tu wizi.

Huku hata ukiacha mzigo kwenye basi watu wengi wanaogopa mzigo unaweza kuwa bomu wanaweza kuukimbia.

Nilifarijika sana mtu aliponirudishia simu yangu niliyoisahau dukani. Ilikuwa na credit card kibao kwenye cover.

Ikanikumbusha na mimi nilivyomrudishia simu yake binti mmoja. Binti alikuwa kapoteza simu kwenye train, nikaiokota, kanipigia, nikamwambia ninayo, tukapanga kukutana, nikampatia simu yake.

Akataka kunipa zawadi, nikamwambia hapana, kwetu maungwana ni wajibu adilifu na ulivyofurahi kupata simu yako ni zawadi tosha.
 
Mimi wakati nipo form one 2009 pale azania tuliuziwa sabuni na mateja kwa 15000 mpaka leo inaniuma mbaya ila bahati nzuri sikupata hasara kwa sababu sabuni ilikua na povu mbayaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom