Julymeme
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 442
- 808
Mimi jamani siwez sahau walinikaba tandika saa nane mchana na watu walikuwa wengi lakin hawathubutu kuingilia.
Walikuwa vijana wanne aisee nilipambana nao kama mwanaume, mwisho wa siku walinizidi nguvu na walifanikiwa kuiba simu mbili.
Moja ilikuwa mkononi nyingine ilidondoka kutoka kwenye mkoba, lakini mkoba wangu uliokuwa na hela sikuwaachia mpaka walisanda wakakimbia.
Walikuwa vijana wanne aisee nilipambana nao kama mwanaume, mwisho wa siku walinizidi nguvu na walifanikiwa kuiba simu mbili.
Moja ilikuwa mkononi nyingine ilidondoka kutoka kwenye mkoba, lakini mkoba wangu uliokuwa na hela sikuwaachia mpaka walisanda wakakimbia.