Spy1983
Senior Member
- May 24, 2018
- 158
- 169
Ilikuwa mwaka 2016 au 2017 pale Kariakoo barabara ya Msimbazi mida ya saa 12:30 jioni natoka kwenye mizunguko yangu, Kwenye mfuko wa suruali nina Million 2 kwny shati ina simu aina ya Galaxy A9 sasa ile navyuka mwendokasi road mara paah wakaja watu watatu mbele yangu wawili moja ametangualia mbele ya mwingine na mmoja nyuma yangu huyu alikuwa na nifuatilia toka mbali simu nimeweka kwny mfuko wa shati basi ile navuka tuuuh road yule wa mbele akawa kama amejikwa mara ananigusa suruali nikajua anataka kuniangusha nikamkwepa mara yule wa pili mbele akaja moja kwa moja na kunishika mabega akanitikisa hivi Na kusema ‘Mr vipi’ kumbe yule wa nyuma alikuja fasta na kuchomoa simu na kupa yule aliedondoka..... Huku nimeshikilia mifuko ya suruali kumbe majamaa wameona simu kaaah ile nageuka tuuh wamachinga wananipa pole bro... ni kitendo cha fasta sana nikama 30sec hivi