Mimi 835kj Mgambo tangaCjakuelewa vzr mkubwa. Mi sio mkimbizi asee, sipo kambini! JKT nilipiaga Bulombora enzi zileee!!!![]()
![]()
Acha kumbishia mtu usiyemjuaAcha fix wewe hahaa![]()
![]()
![]()
![]()


pole mkuu,sema ulipambanaMimi nilikuwa pale manzese tip top natembea uku nachart looo salale wakaja watu wa bodada yule aliepakiwa nyuma akadaka simu, nami paaap kushutuka nkamdaka kiuno wakaanza kuniburuza akaanza kusema we **** achia nikaona anachomoa kitu,, aisee nikaachia wakasepa na tecno yanu![]()
kosa nililolifanya sikupiga kelele aisee kuna jamaa pemben aliniona akaja kuniuliza nikamuadithia akasema daah sikuelewa ungepga kelele tukachukua boda kuwafukuzia tiliambulia vumbi tupole mkuu,sema ulipambana
Pole.katoto kazuriniliibiwa nokia yangu ya tochi hostel nimeenda kuoga nikaweka kwenye sink wakabeba
Duh! Ndo maana US wanaruhusu kumiliki gun. Hapo ungekuwa na bastora just aina ya belleta, ungembatua kwenye kiuno asingebaki hata chawa!!!Mimi nilikuwa pale manzese tip top natembea uku nachart looo salale wakaja watu wa bodada yule aliepakiwa nyuma akadaka simu, nami paaap kushutuka nkamdaka kiuno wakaanza kuniburuza akaanza kusema we **** achia nikaona anachomoa kitu,, aisee nikaachia wakasepa na tecno yanu![]()
Sijui alipata daftari zake? Huyu atakuwa lugha ilimsumbua akaamua kuwa bango!!Huyu sijui ilimuishaje aisee ye analia n daftari tu View attachment 810911
Hakika ningekuwa hata na bisibisi angejuta kuzaliwa kunguni yuleeDuh! Ndo maana US wanaruhusu kumiliki gun. Hapo ungekuwa na bastora just aina ya belleta, ungembatua kwenye kiuno asingebaki hata chawa!!!
katika pistols hakuna belleta,Duh! Ndo maana US wanaruhusu kumiliki gun. Hapo ungekuwa na bastora just aina ya belleta, ungembatua kwenye kiuno asingebaki hata chawa!!!
INAONEKANA HIVYO VITU VINA UMUHIMU SANA KWAKEHuyu sijui ilimuishaje aisee ye analia n daftari tu View attachment 810911
Hivi zenji kuna madada poa?NILIVYOPOTEZA SIMU NA LAPTOP.
Ilikua tarehe 5 mwezi wa 6 2017 narudi geto saa 6 hivii mitaa ya Fuoni Zanzibar nafungua mlango nakuta vitu viko hovyo hovyo. Vitabu,Nguo,Cds zilikua kwenye kabati. Vyote vimemwagwa hadi shuka imetanduliwa kitandani. Nikawa nafikiri nini kimetokea. Whaaaaaat nikakumbuka Laptop Toshiba yangu na Simu yangu ya Samsung Galaxy S4 GT-19500. Nilikua nikiondoka navifungia ndani ya begi la nguo. Siku hiyo na simu niliacha nikatembea na sim ndogo ya HTC.
Kufungya begi hakuna kituu. Laptop ndio nilikua nina mwaka 1 nimeinunua bado mupyaaa kabisa. Simu nilikua nina mwaka na miezi kadhaa ninayo. Ukweli nililia sana sanaa hata sikulala kabisaa.
Waliiba Pasi ya umeme na Hearter pia.
Kama waliuza kwa bei za kueleweka hawakukosa Millioni hivi.
Toka siku hiyo nilipachukia Zenji kabisaa
Ikawaje mwisho wake?Kuna mtu aliniomba laptop yangu acheki muvi nikampa kesho ananipigia ananiambia njoo home kuna ishu imetokea.
Nikafika ananiambia asubuhi leo nimeacha laptop kitandani nilikua nafagia nje nimerudi ndani laptop haipo. Nikabaki nimeduwaa tu pale akili inaniwazisha vilivyomo mle ndani...
Proposal
Research
Articles
Software za vyeti
Back up ya smartphone nilizowahi kutumia.
Back up ya contacts.
Picha.
Halafu kumdai siwezi.