Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,767
- 17,800
Nilienda polisi kureport nikapewa RB na mpelelezi. Nilienda na box la simu na receipt kuthibitisha kua ni mali yangu (hivyo vitu ni muhimu sana kukaa navyo).Uliipataje dada angu?, tujifunze na wengine asee!!!
Kuna mtu namfahamu wa kampuni moja ya simu akawa anaitrack ilivyojulikana ilipo polisi akaenda kumkamata na yule aliokutwa na simu akarudisha simu na kulipa gharama za usumbufu.
Hata mpelelezi anakufanyia hiyo maana wa cyber wanakuaga na software zao sema ndio lazima umtoe.
Halafu simu za android ni rahis kupatikana kuliko iphone sababu vibaka wakishajua wameiba iphone wanauza vifaa sio simu tena.