Njoo na hoja nani unaona anamzidi Rais Samia

Njoo na hoja nani unaona anamzidi Rais Samia

fact only

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
1,841
Reaction score
2,870
Habari Wakuu.

Kwasasa kumekuwa na malalamiko mengi sana kuhusu nani/namna/hali/uelekeo wa nchi yetu ya Tanzania.

Mimi Fact Only nauliza kwa uzuri kabisa ni nani Watanzania mnaamini/mnaona akipewa nchi hii anaweza kuiongoza vyema kumzidi Mh Rais Samia.

Sio kwa majaribio bali kuiongoza nchi hii kweli kweli kwenye uelekeo mzuri na mafanikio makubwa.

NI NANI? KWANINI YEYE? ANA QUALITIES ZIPI?
 
Habari Wakuu.

Kwasasa kumekuwa na malalamiko mengi sana kuhusu nani/namna/hali/uelekeo wa nchi yetu ya Tanzania.

Mimi Fact Only nauliza kwa uzuri kabisa ni nani Watanzania mnaamini/mnaona akipewa nchi hii anaweza kuiongoza vyema kumzidi Mh Rais Samia.

Sio kwa majaribio bali kuiongoza nchi hii kweli kweli kwenye uelekeo mzuri na mafanikio makubwa.

NI NANI? KWANINI YEYE? ANA QUALITY ZIPI?
Tunataka tu KURA IHESHIMIWE.

Siyo lazima yeye ATOKE.
 
Habari Wakuu.

Kwasasa kumekuwa na malalamiko mengi sana kuhusu nani/namna/hali/uelekeo wa nchi yetu ya Tanzania.

Mimi Fact Only nauliza kwa uzuri kabisa ni nani Watanzania mnaamini/mnaona akipewa nchi hii anaweza kuiongoza vyema kumzidi Mh Rais Samia.

Sio kwa majaribio bali kuiongoza nchi hii kweli kweli kwenye uelekeo mzuri na mafanikio makubwa.

NI NANI? KWANINI YEYE? ANA QUALITY ZIPI?

..Salum Mwalimu anamzidi Samia Suluhu.

..Salum anajiamini, ana uelewa mpana, na anaweza kujenga hoja, na kushawishi kuliko Samia Suluhu.

..Samia Suluhu bila mapesa,msaada wa watumishi wa serikali, na matumizi ya vyombo vya dola, ni mwanasiasa mwepesi kupita kiasi.
 
Habari Wakuu.

Kwasasa kumekuwa na malalamiko mengi sana kuhusu nani/namna/hali/uelekeo wa nchi yetu ya Tanzania.

Mimi Fact Only nauliza kwa uzuri kabisa ni nani Watanzania mnaamini/mnaona akipewa nchi hii anaweza kuiongoza vyema kumzidi Mh Rais Samia.

Sio kwa majaribio bali kuiongoza nchi hii kweli kweli kwenye uelekeo mzuri na mafanikio makubwa.

NI NANI? KWANINI YEYE? ANA QUALITY ZIPI?
Anazidiwa hata na machawa wake, vichaa kama Steve Nyerere
 
..Salum Mwalimu anamzidi Samia Suluhu.

..Salum anajiamini, ana uelewa mpana, na anaweza kujenga hoja, na kushawishi kuliko Samia Suluhu.

..Samia Suluhu bila mapesa,msaada wa watumishi wa serikali, na matumizi ya vyombo vya dola, ni mwanasiasa mwepesi kupita kiasi.
Ok good Mkuu tuone maoni ya raia wengine kuhusu 👇.
1. Salum Mwalimu ✓
 
Hata Babu Tale anamzidi Samia.

Lkn ili inchi itulie mapendekezo yangu ni :-
1. Tundu Antipas Mughwai Lisu.
2. Jaji Joseph Sinde Warioba.
3. Mohammed Dewji (MO).
4. Rose Ndauka (msanii wa Bongo Movie)
 
Habari Wakuu.

Kwasasa kumekuwa na malalamiko mengi sana kuhusu nani/namna/hali/uelekeo wa nchi yetu ya Tanzania.

Mimi Fact Only nauliza kwa uzuri kabisa ni nani Watanzania mnaamini/mnaona akipewa nchi hii anaweza kuiongoza vyema kumzidi Mh Rais Samia.

Sio kwa majaribio bali kuiongoza nchi hii kweli kweli kwenye uelekeo mzuri na mafanikio makubwa.

NI NANI? KWANINI YEYE? ANA QUALITY ZIPI?
KIchwa kisicho na akili.
 
Hata Babu Tale anamzidi Samia.

Lkn ili inchi itulie mapendekezo yangu ni :-
1. Tundu Antipas Mughwai Lisu.
2. Jaji Joseph Sinde Warioba.
3. Mohammed Dewji (MO).
4. Rose Ndauka (msanii wa Bongo Movie)
Mkuu kwanini 1....4 wana Quality zipi za kuongoza Nchi?
 
Back
Top Bottom