Kipepeo wa chuma1
JF-Expert Member
- Jan 17, 2021
- 387
- 558
- Thread starter
- #81
Utamu Kama woteee,jamaa fundi Sana kunako.Utamu utamu au sio🤣🤣🤣🤣🤣
Utamu Kama woteee,jamaa fundi Sana kunako.Utamu utamu au sio🤣🤣🤣🤣🤣
Wa pili?No ni kawaida mbona,wa kwanza alionyesha kutonihitaj baada ya kutoboa,nikajiweka pembeni,mie napenda mapenzi,napenda kupendwa ikikosekana love huwa nasepa,hata huyu mume wa mtu kinachoniweka kwake ni mahaba so kingine .
Afu kwanini usimuue mumeo?manake ye katongozwa Kama wewe,na yeye ni binadamu mwenye kuhitaj kupendwa pia.Hamna nlitaka tu kupata ubuyu si unajua wanawake twapenda umbea.....
Mi atakaeolewa na mme wangu mbona ntamuua siku ya harusi, yani atakufa kabisa shela.
Ila mwali nawe utakua na shida kulikoni umezaa na kubreak up kote huko.
Mblock achana nae, yye ni mke halali wewe mpita njiaHabari za mchana wadau.
Ni hivi ni takriban miezi sita Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu,tunapendana Sana na tumespend Sana kipindi cha miez mitano iliyopita bila mkewe kujua.
Nikapata Safari mkoa flan,tukawa tunawasiliana kwenye simu almost every day and night.Sasa mhusika akawa hafuti zile simu na meseji tunazoandikiana.Akabadilika na tabia kwani kila usiku ilikuwa lazima tuzungumze hata hadi saa 8 za usiku.Mkewe akamchunguza simu yake akagundua Hilo, akachukua na namba yangu.
Sikumoja akanipigia simu usiku wa manane akanionya kuhusu kutoka na mumewe,akanambia ananipa taarifa kistaarabu ,nikamjibu nimemwelewa na nitaacha.Mchana akanipigia mumewe kunijulia hali,nikamweleza hali halisi ya mkewe kugundua penzi letu na mkwara alionipiga,nikamsihi aache kunipigia simu hasa usiku.Akanambia sawa.
Baada ya sikumbili wamekaa sehemu na mkewe usiku,akatoka pembeni kunipigia simu,mkewe akamwona,alivyorudi walipokuwa wameketi,mkewe akachukua simu ya mumewe kuangalia jamaa alikuwa anaongea na Nani,akakuta ni Mimi.Basi ukazuka ugomvi mkubwa Hadi kuvunjiana simu na mwanamke kuondoka nyumbani.
Asubuhi jamaa akanipigia simu kunielezea kisa kile,nikamshauri amfate mkewe ambembeleze arudi nyumbani.Kweli akafanya hivyo.Tatizo jamaa amegoma kutonipigia simu,anapiga hadi usiku.Wasiwasi wangu nakaribia kurudi toka Safari,halafu tunaishi majiran,je akinivamia?manake alishanionya nikamwelewa Ila tatizo mumewe kawa king'ang'anizi kwangu.
Wadau nifanyeje kwenye scenario hii?
Huyu sikumpenda ilitokea tu nikadate naye,ili kuepuka upweke na kupata shoo za hapa na pale,then katika shoo hizo akanipachika mimba,tukakubaliana nizae.Wa pili?
Na hilo ndio la maana hapa duniani...kidume kama anakupa raha unatakiwa ung'ang'anie mgegedo huo mpaka una ingia kaburini.Utamu Kama woteee,jamaa fundi Sana kunako.
Utarogwa, just wait n see.Habari za mchana wadau.
Ni hivi ni takriban miezi sita Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu,tunapendana Sana na tumespend Sana kipindi cha miez mitano iliyopita bila mkewe kujua.
Nikapata Safari mkoa flan,tukawa tunawasiliana kwenye simu almost every day and night.Sasa mhusika akawa hafuti zile simu na meseji tunazoandikiana.Akabadilika na tabia kwani kila usiku ilikuwa lazima tuzungumze hata hadi saa 8 za usiku.Mkewe akamchunguza simu yake akagundua Hilo, akachukua na namba yangu.
Sikumoja akanipigia simu usiku wa manane akanionya kuhusu kutoka na mumewe,akanambia ananipa taarifa kistaarabu ,nikamjibu nimemwelewa na nitaacha.Mchana akanipigia mumewe kunijulia hali,nikamweleza hali halisi ya mkewe kugundua penzi letu na mkwara alionipiga,nikamsihi aache kunipigia simu hasa usiku.Akanambia sawa.
Baada ya sikumbili wamekaa sehemu na mkewe usiku,akatoka pembeni kunipigia simu,mkewe akamwona,alivyorudi walipokuwa wameketi,mkewe akachukua simu ya mumewe kuangalia jamaa alikuwa anaongea na Nani,akakuta ni Mimi.Basi ukazuka ugomvi mkubwa Hadi kuvunjiana simu na mwanamke kuondoka nyumbani.
Asubuhi jamaa akanipigia simu kunielezea kisa kile,nikamshauri amfate mkewe ambembeleze arudi nyumbani.Kweli akafanya hivyo.Tatizo jamaa amegoma kutonipigia simu,anapiga hadi usiku.Wasiwasi wangu nakaribia kurudi toka Safari,halafu tunaishi majiran,je akinivamia?manake alishanionya nikamwelewa Ila tatizo mumewe kawa king'ang'anizi kwangu.
Wadau nifanyeje kwenye scenario hii?
Napita njia gani?Mblock achana nae, yye ni mke halali wewe mpita njia
Siwezi kumuua mme wangu nampenda sana, halafu wanangu watakosa baba.....Afu kwanini usimuue mumeo?manake ye katongozwa Kama wewe,na yeye ni binadamu mwenye kuhitaj kupendwa pia.
Aniroge Mara ngapi?Utarogwa, just wait n see.
Weeee hawezi, huyu hawezekani kurogwa wewe.....yuko vizuri ana mtaalamu huyo balaa lake, ukoo mzima unakusanyikaUtarogwa, just wait n see.
Hajajiingiza wanawaingiza waume zenu,mnawapa karaha ,mechi mnawabania,mautundu mnaacha mkishavaa Pete,mnaishi nao kimazoea Kama Kaka na Dada,kwanini wasiongeze wake ?Siwezi kumuua mme wangu nampenda sana, halafu wanangu watakosa baba.....
Ntamuua atakaejiingiza
Hamna hizo huwa ni swags tu za kuja kuwaombea papuchi huko nje, akikuambia hivo ndio unajiona mjuzi unajiona kipepeo mtamu....kumbe ye shida papuchi tuHajajiingiza wanawaingiza waume zenu,mnawapa karaha ,mechi mnawabania,mautundu mnaacha mkishavaa Pete,mnaishi nao kimazoea Kama Kaka na Dada,kwanini wasiongeze wake ?
Weeee hawezi, huyu hawezekani kurogwa wewe.....yuko vizuri ana mtaalamu huyo balaa lake, ukoo mzima unakusanyika



kumbe ameshajipangaKwakweli yuko vizuri 😂kumbe ameshajipanga
Hamna hizo huwa ni swags tu za kuja kuwaombea papuchi huko nje, akikuambia hivo ndio unajiona mjuzi unajiona kipepeo mtamu....kumbe ye shida papuchi tu


ndio yale yale, mume wa mtu anakufata anasema yeye na mkewe haziivi, unamkubalia kuwa mchepuko wake, lakini cha ajabu yeye na mkewe kila mwaka wanaongeza mtoto


Nilikuwa sijui kama na ww uko vizuri etiAniroge Mara ngapi?




Wala kuachana hawaachani..... wanaume sio watu wa mchezo mchezondio yale yale, mume wa mtu anakufata anasema yeye na mkewe haziivi, unamkubalia kuwa mchepuko wake, lakini cha ajabu yeye na mkewe kila mwaka wanaongeza mtoto
![]()
labda hyo mijusi ihamie nyumaTumeacha sikuhizi