Njia panda ya mapenzi

Njia panda ya mapenzi

Hamna nlitaka tu kupata ubuyu si unajua wanawake twapenda umbea.....

Mi atakaeolewa na mme wangu mbona ntamuua siku ya harusi, yani atakufa kabisa shela.

Ila mwali nawe utakua na shida kulikoni umezaa na kubreak up kote huko.
Afu kwanini usimuue mumeo?manake ye katongozwa Kama wewe,na yeye ni binadamu mwenye kuhitaj kupendwa pia.
 
Habari za mchana wadau.
Ni hivi ni takriban miezi sita Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu,tunapendana Sana na tumespend Sana kipindi cha miez mitano iliyopita bila mkewe kujua.

Nikapata Safari mkoa flan,tukawa tunawasiliana kwenye simu almost every day and night.Sasa mhusika akawa hafuti zile simu na meseji tunazoandikiana.Akabadilika na tabia kwani kila usiku ilikuwa lazima tuzungumze hata hadi saa 8 za usiku.Mkewe akamchunguza simu yake akagundua Hilo, akachukua na namba yangu.

Sikumoja akanipigia simu usiku wa manane akanionya kuhusu kutoka na mumewe,akanambia ananipa taarifa kistaarabu ,nikamjibu nimemwelewa na nitaacha.Mchana akanipigia mumewe kunijulia hali,nikamweleza hali halisi ya mkewe kugundua penzi letu na mkwara alionipiga,nikamsihi aache kunipigia simu hasa usiku.Akanambia sawa.

Baada ya sikumbili wamekaa sehemu na mkewe usiku,akatoka pembeni kunipigia simu,mkewe akamwona,alivyorudi walipokuwa wameketi,mkewe akachukua simu ya mumewe kuangalia jamaa alikuwa anaongea na Nani,akakuta ni Mimi.Basi ukazuka ugomvi mkubwa Hadi kuvunjiana simu na mwanamke kuondoka nyumbani.

Asubuhi jamaa akanipigia simu kunielezea kisa kile,nikamshauri amfate mkewe ambembeleze arudi nyumbani.Kweli akafanya hivyo.Tatizo jamaa amegoma kutonipigia simu,anapiga hadi usiku.Wasiwasi wangu nakaribia kurudi toka Safari,halafu tunaishi majiran,je akinivamia?manake alishanionya nikamwelewa Ila tatizo mumewe kawa king'ang'anizi kwangu.
Wadau nifanyeje kwenye scenario hii?
Mblock achana nae, yye ni mke halali wewe mpita njia
 
Habari za mchana wadau.
Ni hivi ni takriban miezi sita Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu,tunapendana Sana na tumespend Sana kipindi cha miez mitano iliyopita bila mkewe kujua.

Nikapata Safari mkoa flan,tukawa tunawasiliana kwenye simu almost every day and night.Sasa mhusika akawa hafuti zile simu na meseji tunazoandikiana.Akabadilika na tabia kwani kila usiku ilikuwa lazima tuzungumze hata hadi saa 8 za usiku.Mkewe akamchunguza simu yake akagundua Hilo, akachukua na namba yangu.

Sikumoja akanipigia simu usiku wa manane akanionya kuhusu kutoka na mumewe,akanambia ananipa taarifa kistaarabu ,nikamjibu nimemwelewa na nitaacha.Mchana akanipigia mumewe kunijulia hali,nikamweleza hali halisi ya mkewe kugundua penzi letu na mkwara alionipiga,nikamsihi aache kunipigia simu hasa usiku.Akanambia sawa.

Baada ya sikumbili wamekaa sehemu na mkewe usiku,akatoka pembeni kunipigia simu,mkewe akamwona,alivyorudi walipokuwa wameketi,mkewe akachukua simu ya mumewe kuangalia jamaa alikuwa anaongea na Nani,akakuta ni Mimi.Basi ukazuka ugomvi mkubwa Hadi kuvunjiana simu na mwanamke kuondoka nyumbani.

Asubuhi jamaa akanipigia simu kunielezea kisa kile,nikamshauri amfate mkewe ambembeleze arudi nyumbani.Kweli akafanya hivyo.Tatizo jamaa amegoma kutonipigia simu,anapiga hadi usiku.Wasiwasi wangu nakaribia kurudi toka Safari,halafu tunaishi majiran,je akinivamia?manake alishanionya nikamwelewa Ila tatizo mumewe kawa king'ang'anizi kwangu.
Wadau nifanyeje kwenye scenario hii?
Utarogwa, just wait n see.
 
Siwezi kumuua mme wangu nampenda sana, halafu wanangu watakosa baba.....

Ntamuua atakaejiingiza
Hajajiingiza wanawaingiza waume zenu,mnawapa karaha ,mechi mnawabania,mautundu mnaacha mkishavaa Pete,mnaishi nao kimazoea Kama Kaka na Dada,kwanini wasiongeze wake ?
 
Hajajiingiza wanawaingiza waume zenu,mnawapa karaha ,mechi mnawabania,mautundu mnaacha mkishavaa Pete,mnaishi nao kimazoea Kama Kaka na Dada,kwanini wasiongeze wake ?
Hamna hizo huwa ni swags tu za kuja kuwaombea papuchi huko nje, akikuambia hivo ndio unajiona mjuzi unajiona kipepeo mtamu....kumbe ye shida papuchi tu
 
Hamna hizo huwa ni swags tu za kuja kuwaombea papuchi huko nje, akikuambia hivo ndio unajiona mjuzi unajiona kipepeo mtamu....kumbe ye shida papuchi tu
ndio yale yale, mume wa mtu anakufata anasema yeye na mkewe haziivi, unamkubalia kuwa mchepuko wake, lakini cha ajabu yeye na mkewe kila mwaka wanaongeza mtoto
 
ndio yale yale, mume wa mtu anakufata anasema yeye na mkewe haziivi, unamkubalia kuwa mchepuko wake, lakini cha ajabu yeye na mkewe kila mwaka wanaongeza mtoto
Wala kuachana hawaachani..... wanaume sio watu wa mchezo mchezo

😂😂😂 Na hako kambinu kamewawezesha kula papuchi tangu enzi za wakoloni hadi leo kambinu bado kanafanya kazi vema.
 
Back
Top Bottom