Utarogwaaaa😂😂
😂😂😂 Na mwali sio wa mchezo mchezo....ngoja niongee nae vizuri nami anipe nambaUtarogwaaaa😂😂
Akikupa nipasie😂😂😂 Na mwali sio wa mchezo mchezo....ngoja niongee nae vizuri nami anipe namba
Sitoi namba tutaelewana tu,Mimi na yeye😂😂saivi Kenda kilwa nami nishajipanga .😂😂😂 Na mwali sio wa mchezo mchezo....ngoja niongee nae vizuri nami anipe namba
Unayaweza lakini? usije kutufia humuSitoi namba tutaelewana tu,Mimi na yeyesaivi Kenda kilwa nami nishajipanga .



No ilitokea tu tunapendana, na nilivyojua Ana mke nikajitahidi isijulikane, that's y kwa miezi mi5 yote hakuwahi jua,amejua baada ya Mimi kuwa mbali na jamaa kuzidisha mawasiliano.
Sitoi namba tutaelewana tu,Mimi na yeyesaivi Kenda kilwa nami nishajipanga .




Hivi kwani mume wa mtu hawezi kuishiwa na mapenzi kwa mkewe?


Wala mie najilinda tu asinidhuru mengine machafu ya kwake.
Sijawahi tumia njia hiyo toka nimezaliwa🙏Mambo ya mpalange haya.
Khaaaa mwenyekiti utashikilia kiti hiki daima, hakuna kutoka😆😆😆
Jamani mwali vita umeainza tangu march....sahivi tunakaribia june mambo bado tu? Kama hapaeleweki sema nikupe mtaalamu wangu.Sitoi namba tutaelewana tu,Mimi na yeye😂😂saivi Kenda kilwa nami nishajipanga .
Umechange vita? Sio kumshusha tena ni kujilinda?Wala mie najilinda tu asinidhuru mengine machafu ya kwake.
Huyu mzinguaji alifanya tukakesha kwenye uzi wake tukisubiri matokeo kumbe hakuna lolote ni mikwara tuJamani mwali vita umeainza tangu march....sahivi tunakaribia june mambo bado tu? Kama hapaeleweki sema nikupe mtaalamu wangu.
Yani akirusha kuku juu kabla hajatua chini majibu ushayapata
Demi alingoja feedback nahisi hadi kachoka
Nimepitia page 32 natafuta radi....Huyu mzinguaji alifanya tukakesha kwenye uzi wake tukisubiri matokeo kumbe hakuna lolote ni mikwara tu
Hebu muite aje, ametumalizia bando bure bureNimepitia page 32 natafuta radi....
Mi bado nasubiria sijachoka, vita irudiwe
Itakua kaamua kusamehe, yupo busy na penzi la mme wa mtu....Hebu muite aje, ametumalizia bando bure bure