Njia panda ya mapenzi

Njia panda ya mapenzi

Itakua kaamua kusamehe, yupo busy na penzi la mme wa mtu....
Yalikwisha vizuri tu alikuja na mama yake kuomba suluhu,wakalipa fidia na kuwachukua watoto,saivi wako mwanza kwa Bibi mzaa baba,mie Niko free na jamaa naanza moja kutengeneza family.
 
Jamani mwali vita umeainza tangu march....sahivi tunakaribia june mambo bado tu? Kama hapaeleweki sema nikupe mtaalamu wangu.
Yani akirusha kuku juu kabla hajatua chini majibu ushayapata

Demi alingoja feedback nahisi hadi kachoka
Vita haiwezi Isha labda niachane na mumewe na Mimi Sina wazo Hilo,kwani jamaa ananipenda,angekuwa hanipendi na misukosuko yote anayopitia kwaajil yangu angeshaniacha.Tunakaribia kufunga mwaka kwenye mahusiano yetu Ila penzi ndo kwanza Kama kanitongoza Jana.
 
Vita haiwezi Isha labda niachane na mumewe na Mimi Sina wazo Hilo,kwani jamaa ananipenda,angekuwa hanipendi na misukosuko yote anayopitia kwaajil yangu angeshaniacha.Tunakaribia kufunga mwaka kwenye mahusiano yetu Ila penzi ndo kwanza Kama kanitongoza Jana.
Hapana naongelea vita na baba mtoto ambae unataka kumrudisha ulikomtoa dia kule jalalani....

Mme wa mtu hapo hachomoki lazma ushamfanyia manamna gani, ataondoka siku ukitaka wewe.....kelele moja kwa bi mdogo akeeee
 
Yalikwisha vizuri tu alikuja na mama yake kuomba suluhu,wakalipa fidia na kuwachukua watoto,saivi wako mwanza kwa Bibi mzaa baba,mie Niko free na jamaa naanza moja kutengeneza family.
Watoto au mtoto? Si ulizaa nae mtoto mmoja?

Sa mbona mrejesho ukabaki nao mpendwa wakati wajua masikio yote yapo kwako
 
Hapana naongelea vita na baba mtoto ambae unataka kumrudisha ulikomtoa dia kule jalalani....

Mme wa mtu hapo hachomoki lazma ushamfanyia manamna gani, ataondoka siku ukitaka wewe.....kelele moja kwa bi mdogo akeeee
Sijamfanyia lolote jamaa,ni mapenzi tu yametukutanisha.
 
Halafu mbona una maswali mengi Sana,unahisi ni mumeo Nini?😂ndio atakuwa baby dad na husband kabisa
Hamna nlitaka tu kupata ubuyu si unajua wanawake twapenda umbea.....

Mi atakaeolewa na mme wangu mbona ntamuua siku ya harusi, yani atakufa kavaa shela.

Ila mwali nawe utakua na shida kulikoni umezaa na kubreak up kote huko.
 
Vita haiwezi Isha labda niachane na mumewe na Mimi Sina wazo Hilo,kwani jamaa ananipenda,angekuwa hanipendi na misukosuko yote anayopitia kwaajil yangu angeshaniacha.Tunakaribia kufunga mwaka kwenye mahusiano yetu Ila penzi ndo kwanza Kama kanitongoza Jana.
Utamu utamu au sio🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hamna nlitaka tu kupata ubuyu si unajua wanawake twapenda umbea.....

Mi atakaeolewa na mme wangu mbona ntamuua siku ya harusi, yani atakufa kabisa shela.

Ila mwali nawe utakua na shida kulikoni umezaa na kubreak up kote huko.
No ni kawaida mbona,wa kwanza alionyesha kutonihitaj baada ya kutoboa,nikajiweka pembeni,mie napenda mapenzi,napenda kupendwa ikikosekana love huwa nasepa,hata huyu mume wa mtu kinachoniweka kwake ni mahaba so kingine .
 
Back
Top Bottom