Mume wa mchepuko wangu aniacha njia panda

Mtetezi.com

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
3,134
3,568
Alishapata scandle kwa wanae kuwa akiwa nje ya nchi huwa ninamtafunia mkewe akanipigia simu coz alikuwa swaiba yangu sana baadae mkewe akanipa mtihani mkubwa sana coz alikuwa anatembelea ofisini kwangu kupata huduma za kiafya na kisaikolojia.

Wakati anaambiwa na gate man wake kuwa ninatoka naye nilikuwa bado sijamtafuna but penzi liliokolea kwani alikuwa ananitongoza sana but nilikuwa ninaona aibu coz ni shemeji yangu in such, kama mnavyojua mwanaume kutongozwa na mwanamke alafu umshinde shetani ni mtihani sana nikajikuta nishajaa.

Baadae nikaja nikamtafuna tena sana sasa mumewe akaje kucomfirm kuwa si kweli yule gate man alikuwa anamzushia coz she was very strict to him akawa hampendi tu baadae jamaa akaamini kuwa simli baada ya kumshikia bastola mumewe na kusema "niue tu sijawahi kukusaliti".

Akaamini kuwa mimi ndiye rafiki wa shida na raha and very innocent to him and his family sasa baada ya covid19 kutawala soko la kimataifa katika mauzo na manunuzi jamaa akayumba sana na aghalabu alikuwa akiniazima fedha nyingi tu na kuzirejesha baada ya muda, sasa juzi tarehe 08/10/2020 kasafiri tena baada ya lockdown ya muda mrefu na sentesi aliyonipa ndio imeniacha njiapanda "MIMI NINAONDOKA FAMILIA YANGU YOTE NINEKUACHIA WEWE WASAIDIE KWA KILA UWEZAVYO WEWE NDIYE NDG YANGU"

Sasa swali ni je ameshaona kuwa hawezi tena kunizuia kumtafunia mkewe au amekubali tu yaishe au kuna njama aninipangia ili nijae anihukumu kikatili?
 
Na unajua kabisa jamaa ana bastola kumbe!

Ni ujinga sana kujiona kidume kutembea na wake za watu tena maskini wakati waume zao wako mbali kuwatafutia maisha hao wanawake na watoto. Na ni ujinga zaidi ambao hauna msamaha kutembea na mke wa mshkaji wako.

Usijione kidume kabisa aisee, kaa chini alafu jione fala sana
 
Alishapata scandle kwa wanae kuwa akiwa nje ya nchi huwa ninamtafunia mkewe akanipigia simu coz alikuwa swaiba yangu sana baadae mkewe akanipa mtihani mkubwa sana coz alikuwa anatembelea ofisini kwangu kupata huduma za kiafya na kisaikolojia.

Wakati anaambiwa na gate man wake kuwa ninatoka naye nilikuwa bado sijamtafuna but penz liliokolea kwani alikuwa ananitongoza sana but nilikuwa ninaona aibu coz ni shemeji yangu in search, kama mnavyojua mwanaume kutongozwa na mwanamke alafu umshinde shetan ni mtihani sana nikajikuta nishajaa.

Baadae nikaja nikamtafuna tena sana sasa mumewe akaje kucomfirm kuwa si kweli yule gate man alikuwa anamzushia coz she was very strict to him akawa hampendi tu baadae jamaa akaamini kuwa simli baada ya kumshikia bastola mumewe na kusema "niue tu sijawahi kukusaliti".

Akaamini kuwa mm ndiye rafiki wa shida na raha and very innocent to him and his family sasa baada ya covid19 kutawala soko la kimataifa katika mauzo na manunuzi jamaa akayumba sana na aghalabu alikuwa akiniazia fedha nyingi tu na kuzirejesha baada ya mda sasa juzi tar 08/10/2020 kasafiri tena baada ya lockdown ya mda mrefu na sentesi aliyonipa ndio imeniacha njiapanda "MIMI NINAONDOKA FAMILIA YANGU YOTE NINEKUACHIA WEWE WASAIDIE KWA KILA UWEZAVYO WEWE NDIYE NDG YANGU"

Sasa swali ni je ameshaona kuwa hawezi tena kunizuia kumtafunia mkewe au amekubali tu yaishe au kuna njama aninipangia ili nijae anihukumu kikatili?
Anza mazoezi ya kubana matako haraka sana
 
Alishapata scandle kwa wanae kuwa akiwa nje ya nchi huwa ninamtafunia mkewe akanipigia simu coz alikuwa swaiba yangu sana baadae mkewe akanipa mtihani mkubwa sana coz alikuwa anatembelea ofisini kwangu kupata huduma za kiafya na kisaikolojia.

Wakati anaambiwa na gate man wake kuwa ninatoka naye nilikuwa bado sijamtafuna but penz liliokolea kwani alikuwa ananitongoza sana but nilikuwa ninaona aibu coz ni shemeji yangu in search, kama mnavyojua mwanaume kutongozwa na mwanamke alafu umshinde shetan ni mtihani sana nikajikuta nishajaa.

Baadae nikaja nikamtafuna tena sana sasa mumewe akaje kucomfirm kuwa si kweli yule gate man alikuwa anamzushia coz she was very strict to him akawa hampendi tu baadae jamaa akaamini kuwa simli baada ya kumshikia bastola mumewe na kusema "niue tu sijawahi kukusaliti".

Akaamini kuwa mm ndiye rafiki wa shida na raha and very innocent to him and his family sasa baada ya covid19 kutawala soko la kimataifa katika mauzo na manunuzi jamaa akayumba sana na aghalabu alikuwa akiniazia fedha nyingi tu na kuzirejesha baada ya mda sasa juzi tar 08/10/2020 kasafiri tena baada ya lockdown ya mda mrefu na sentesi aliyonipa ndio imeniacha njiapanda "MIMI NINAONDOKA FAMILIA YANGU YOTE NINEKUACHIA WEWE WASAIDIE KWA KILA UWEZAVYO WEWE NDIYE NDG YANGU"

Sasa swali ni je ameshaona kuwa hawezi tena kunizuia kumtafunia mkewe au amekubali tu yaishe au kuna njama aninipangia ili nijae anihukumu kikatili?
Unajua kuna watu wanazichukulia poa sana familia zao. Nguvu ya kuondoka na kumuachia mtu familia yako.
 
Alishapata scandle kwa wanae kuwa akiwa nje ya nchi huwa ninamtafunia mkewe akanipigia simu coz alikuwa swaiba yangu sana baadae mkewe akanipa mtihani mkubwa sana coz alikuwa anatembelea ofisini kwangu kupata huduma za kiafya na kisaikolojia.

Wakati anaambiwa na gate man wake kuwa ninatoka naye nilikuwa bado sijamtafuna but penz liliokolea kwani alikuwa ananitongoza sana but nilikuwa ninaona aibu coz ni shemeji yangu in search, kama mnavyojua mwanaume kutongozwa na mwanamke alafu umshinde shetan ni mtihani sana nikajikuta nishajaa.

Baadae nikaja nikamtafuna tena sana sasa mumewe akaje kucomfirm kuwa si kweli yule gate man alikuwa anamzushia coz she was very strict to him akawa hampendi tu baadae jamaa akaamini kuwa simli baada ya kumshikia bastola mumewe na kusema "niue tu sijawahi kukusaliti".

Akaamini kuwa mm ndiye rafiki wa shida na raha and very innocent to him and his family sasa baada ya covid19 kutawala soko la kimataifa katika mauzo na manunuzi jamaa akayumba sana na aghalabu alikuwa akiniazia fedha nyingi tu na kuzirejesha baada ya mda sasa juzi tar 08/10/2020 kasafiri tena baada ya lockdown ya mda mrefu na sentesi aliyonipa ndio imeniacha njiapanda "MIMI NINAONDOKA FAMILIA YANGU YOTE NINEKUACHIA WEWE WASAIDIE KWA KILA UWEZAVYO WEWE NDIYE NDG YANGU"

Sasa swali ni je ameshaona kuwa hawezi tena kunizuia kumtafunia mkewe au amekubali tu yaishe au kuna njama aninipangia ili nijae anihukumu kikatili?

Marafiki sio watu
 
Acha ufala

Kama huyo mwanamke ushamla inatosha

Unataka nini cha ziada .

Kama tamaa zako usjazitimiza unachotaka Sasa ni ugomvi

Usijaribu kutumia myumbo wa kiuchumi wa jamaa kama silaha ya kumtafutana zaidi mkewe .

Once akiwa stable atakuwa attaack vibaya sana.

Kuchepuka inarusiwa Ila usitake kuchonga mzinga
 
Niliwahi kufanya huu utoto wa kula mali za wenyewe miaka hiyo ndio kwanza nimeanza kazi.

Siku ya siku mzee mmoja mume wa yule mdada akanifuata kwenye meza bar na kuniangalia kwa jicho kali na kuniuliza “kumbe wewe ndio Consultant?!” I was scared maana sikujua nini kimetokea na amepanga nini.

Tokea miaka hiyo niliacha hayo mambo. There are too many women out there na hakuna haja hata kidogo kumess around na wake za watu.
 
Back
Top Bottom