Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,124
- 6,141
Hayo maeneo ni sehemu ya city centre kwa hiyo yanatakiwa yaboreshwe
Zifuatazo ni njia ntakazotumia kuboresha na kuyafanya ya kisasa ntatumia njia zifuafazo
www.jamiiforums.com
Zifuatazo ni njia ntakazotumia kuboresha na kuyafanya ya kisasa ntatumia njia zifuafazo
- Hayo maeneo yatajengwa gorofa kuanzia 5 na mpaka 100
- Wale wote wenye maeneo watatoa maeneo hayo na kuwapa madeveloper
- Madeveloper watajenga gorofa na wale wenye maeneo watapewa floor moja kwenye kila gorofa bure na wataamua nini cha kufanyia
- Kutawekewa huduma za maji za 24/7
- Barabara zote zitapigwa lami
- Kutapigwa paving hakutakuwa na vumbi
- Kutakuwa na public garden nyingi
- Kutakuwa na open space
- Kutakuwa na sport centre
- Kutakuwa na zoning sehemu nyingine zitakuwa za biashara na makazi ya watu hakutakuwa na vurugu kama ilivyo sasa
- Barabara kuu zitatanuliwa mfano barabara ya morogoro itakua na njia nane
- Kutakuwa na mtandao wa fiber
- Kutakua na zoning za bar, guest na makazi ya watu changamoto ya sasa hivi ya haya maeneo kila kitu kipo sehemu moja hapa nyumba ya mtu jirani ni bar wanayokesha usiku kucha hili swala halitakuwepo
- Idadi ya makazi ya watu itaongezeka maradufu tofauti ilivyo sasa
Support hustle zangu mimi Rais mtarajiwa wa Tanzania
Maandalizi na mchakato wa kuwa Rais wa Tanzania yanaendelea at the same time harakati za kutafuta rizki zinaendelea in-short maisha lazima yaendelee JAMANI NAOMBA MNIUNGISHE Historia nzuri ni ile inayoandikwa in an ugly way, and awkward way 👇👇👇👇👇👇👇👇 Kwenye historia ya Tanzania ntakumbukwa kuwa...