Njia gani ni bora kwa mtumishi kuhama kutoka halmashauri (local government) kwenda Taasisi zingine?

Umri unaruhusu kapige masters nje viza ukiwa mtumishi ni rahisi kupata,nauli unakopa bank.
Huku unasoma ukiwa unachek michongo mingine nje mambo yakikaa sawa unawaforwadia email ya 24hrs juu kwa juu.Ngoma ikigoma unarudi bongo na elimu yako unalipwa mshahara wa masters Sio Haba Serikalini.
Ukikomaa nje unatunza pesa ukija bongo unanunua nyumba,unarudi nje hivyo hivyo
Au unajenga apartment,hotel, viwanja hizi ndizo pension zako,ukiwa Mzee.
 
Shukrani maana unao uelewa mkubwa wa Mambo, Je ninaweza kuomba Taasisi nyingine za elimu huku nikiwa Mwalimu wa kawaida? Inawezekana bila kua na mkono mrefu?...ninachopigania Mimi mkuu ni kufanya kazi Taasisi nyingine mfano Nikisoma mambo ya meteorology ndani ya halmashauri Kuna ofisi zinazoshugulikia hayo mambo ya Hali ya hewa?... au tuseme mechanical engineering. Kwamba hata nikirudi halmashauri wanifanyie recategorization then niombe kwenda Taasisi nyingine huku nikiwa nimeshafanyiwa?

Mfumo wa malipo wa Lawson upoje? Nimeambiwa kwamba mfano nikienda kusoma hata nikiajiriwa sehemu nyingine utazingua kwenye malipo kwa sababu Mimi tayari ni muajiriwa sehemu nyingine, au Ndio tunarudi kule kwa Afsa utumishi kunifanyia re-categorization?.
Serikali ina mkono mrefu, usijichanganye kamwe.

Kuhama Taasisi nyingine ni jambo linawezekana wala halihitaji hata kusoma tena degree ya pili hapa ni connection na uthubutu wako.


USIJICHANGANYE KUACHA KAZI UKAENDA KUSOMEA JAMBO JINGINE BILA KUFUATA TARATIBU.

UKISHAINGIA KWENYE SYSTEM YA GVT HATA UKIACHA KAZI YAKO UKAENDA KUSOMEA KITU KINGINE KUAJILIWA TENA NI NGUMU KWENYE MFUMO HUWA INASOMEKA KUWA VYETI HIVI VIMESHAAJILIWA SEHEMU FULANI.


Njia sahihi kwa 100% soma degree nyingine ukiwa kazini hlf omba kubadilishiwa kazi au cheo RECATEGORIZATION hii inafanya kazi bila shida.


Mambo siyo rahisi kama unavyowaza kuhamia Taasisi ni rahisi lakini kuna taratibu zake siyo kukurupuka na kwenda haraka kama unavyotaka wewe.

Unaweza kuanzia halmashauri ukahamia Taasisi.

Siwezi kueleza mengi hapa JF ila ukiweza fanya tuongee live nina mengi ninayoyajuwa kuhusu hii michakato coz mimi pia ni mhanga wa mishe hizi,

Taasisi kuna maisha kuliko serikali za mitaa so kutokana na kuhaso sana nilijifunza mengi kwa vitendo.

Yaani mimi nililianzisha kweli kweli mpaka NIKAFIKA KWA DE (Director of Estblishment) Huyu ndiyo anacontrol watumishi wote nchini ukitaka kutoka sehemu moja kwenda nyingine, kumuona tu ni issue ofisini kwake.

Akitoka Waziri wa UTUMISHI, ANAFUATIA KATIBU KIUENDAJI NA BAADA YA KATIBU ANAFUATIA HUYO ED.

Huyo akisema hamia pale unakwenda akisema NO hata katibu mkuu anamsikilizia huyu kiutumishi.

Kwanza kujishusha ni lazima kuna inabidi uwe mpole ili jambo liende zaidi ya hapo labda uwe na ndugu vigogo serikalini.
 
Serikali ina mkono mrefu, usijichanganye kamwe.

Kuhama Taasisi nyingine ni jambo linawezekana wala halihitaji hata kusoma tena degree ya pili hapa ni connection na uthubutu wako.


USIJICHANGANYE KUACHA KAZI UKAENDA KUSOMEA JAMBO JINGINE BILA KUFUATA TARATIBU.

UKISHAINGIA KWENYE SYSTEM YA GVT HATA UKIACHA KAZI YAKO UKAENDA KUSOMEA KITU KINGINE KUAJILIWA TENA NI NGUMU KWENYE MFUMO HUWA INASOMEKA KUWA VYETI HIVI VIMESHAAJILIWA SEHEMU FULANI.


Njia sahihi kwa 100% soma degree nyingine ukiwa kazini hlf omba kubadilishiwa kazi au cheo RECATEGORIZATION hii inafanya kazi bila shida.


Mambo siyo rahisi kama unavyowaza kuhamia Taasisi ni rahisi lakini kuna taratibu zake siyo kukurupuka na kwenda haraka kama unavyotaka wewe.

Unaweza kuanzia halmashauri ukahamia Taasisi.

Siwezi kueleza mengi hapa JF ila ukiweza fanya tuongee live nina mengi ninayoyajuwa kuhusu hii michakato coz mimi pia ni mhanga wa mishe hizi,

Taasisi kuna maisha kuliko serikali za mitaa so kutokana na kuhaso sana nilijifunza mengi kwa vitendo.

Yaani mimi nililianzisha kweli kweli mpaka NIKAFIKA KWA DE (Director of Estblishment) Huyu ndiyo anacontrol watumishi wote nchini ukitaka kutoka sehemu moja kwenda nyingine, kumuona tu ni issue ofisini kwake.

Akitoka Waziri wa UTUMISHI, ANAFUATIA KATIBU KIUENDAJI NA BAADA YA KATIBU ANAFUATIA HUYO ED.

Huyo akisema hamia pale unakwenda akisema NO hata katibu mkuu anamsikilizia huyu kiutumishi.

Kwanza kujishusha ni lazima kuna inabidi uwe mpole ili jambo liende zaidi ya hapo labda uwe na ndugu vigogo serikalini.

Aisee.
 
Hizo taasisi zingine kuhamia ni pesa na connection.
Mchakato unaanzia juu.
Andaa mfuko mnene lakini kwa watu sahihi.
Maana maombi ya kuhamia huko yamejaa tele bila fitina utoboi.
Unachoongea ni ukweli 100%, hebu tujadili Hapo issue ya kusoma nje, vipi kuhusu scholarship? Nchi gani ambayo ni nzuri kwa kwenda kusoma? Shida ya huku ualimu masters ni added advantage haibadilishi kitu kwenye muundo wa mshahara.
 
Serikali ina mkono mrefu, usijichanganye kamwe.

Kuhama Taasisi nyingine ni jambo linawezekana wala halihitaji hata kusoma tena degree ya pili hapa ni connection na uthubutu wako.


USIJICHANGANYE KUACHA KAZI UKAENDA KUSOMEA JAMBO JINGINE BILA KUFUATA TARATIBU.

UKISHAINGIA KWENYE SYSTEM YA GVT HATA UKIACHA KAZI YAKO UKAENDA KUSOMEA KITU KINGINE KUAJILIWA TENA NI NGUMU KWENYE MFUMO HUWA INASOMEKA KUWA VYETI HIVI VIMESHAAJILIWA SEHEMU FULANI.


Njia sahihi kwa 100% soma degree nyingine ukiwa kazini hlf omba kubadilishiwa kazi au cheo RECATEGORIZATION hii inafanya kazi bila shida.


Mambo siyo rahisi kama unavyowaza kuhamia Taasisi ni rahisi lakini kuna taratibu zake siyo kukurupuka na kwenda haraka kama unavyotaka wewe.

Unaweza kuanzia halmashauri ukahamia Taasisi.

Siwezi kueleza mengi hapa JF ila ukiweza fanya tuongee live nina mengi ninayoyajuwa kuhusu hii michakato coz mimi pia ni mhanga wa mishe hizi,

Taasisi kuna maisha kuliko serikali za mitaa so kutokana na kuhaso sana nilijifunza mengi kwa vitendo.

Yaani mimi nililianzisha kweli kweli mpaka NIKAFIKA KWA DE (Director of Estblishment) Huyu ndiyo anacontrol watumishi wote nchini ukitaka kutoka sehemu moja kwenda nyingine, kumuona tu ni issue ofisini kwake.

Akitoka Waziri wa UTUMISHI, ANAFUATIA KATIBU KIUENDAJI NA BAADA YA KATIBU ANAFUATIA HUYO ED.

Huyo akisema hamia pale unakwenda akisema NO hata katibu mkuu anamsikilizia huyu kiutumishi.

Kwanza kujishusha ni lazima kuna inabidi uwe mpole ili jambo liende zaidi ya hapo labda uwe na ndugu vigogo serikalini.
Dah hii issue naona inakua ngumu sana kwangu mzee, kwa experience yako course ipi ambayo naweza kusoma nikiwa kazini? Maana ruhusa imekua ngumu kwangu, nimekutana na Mwalimu kwenye seminar ya walimu wa science alikua na master's ya mambo ya finance Lakini Bado ni Mwalimu na umri umeshaenda saana, Sasa endapo na Mimi nikienda kusoma Kichwa Kichwa bila kua na mtu nadhani nitaishia hukohuko.
 
1. Baki kazini, kasome Masters, rudi kazini na utulie kwa kama miaka 3 hivi kisha halafu ukasoke tena PHD.
Au 2. fanya mpango uhamie ktk miji mikubwa yenye vyuo vikuu vilivyo bora, na huko ukasomee fani unayoitaka ktk evening programs
 
Jamiiforums kisima Cha maarifa.

Mimi ni mtumishi Mwalimu, Nilisoma PCB advance nikapata division II point 12, nilichaguliwa computer and software engineering Lakini sikwenda, nikazamia Chaka la ualimu wa Physics Nilisoma kwa sababu ya kukosa washauri pamoja na umaskini wa home na nilitaka kuajiriwa mapema Ili nijitegemee , ni kweli baada ya kumaliza chuo nikaajiriwa, Niko na miaka 26 sasa.

Mwaka mmoja kazini sasa, nafikiria mambo mengi kuondoka hapa nilipo shida sio mshahara tulianza na Tgts D3 na Rais Mama Samia alijitahidi kuongeza ongeza (nimpongeze kwa ilo), pia anajitahidi kulipa walimu stahiki zao, kuwapandisha madaraja Pamoja na madaraja mserereko (anaupiga Mwingi) pia watumishi wengi wa halmashauri mishahara yao ni humo humo hakuna utofauti saana, Kwahiyo swala la Mwalimu kua na mshahara Mdogo kuliko watumishi wengine wa halmashauri sio kweli. labda utofauti ni kwamba Mwalimu hana Cha kuiba mpaka Mwisho wa mwezi, pia walimu hawana professional board yani mtu yoyote yule anaweza kumfanyia ujinga Mwalimu maana hana sehemu ya kuguswa mfano hao "Afsa utumishi" CWT na wenyewe wapo wapo tu kula hela ya Mwalimu wakinenepeana bila kazi yoyote Ile hiki chama kingefutwa labda ingeleta tija. Ukiwa wa tofauti wanakuona mkorofi na kukutafutia zengwe upuuzi.

Nafikiria kusoma degree nyingine kabisa mawazo yangu yakanipelekea kusoma meteorology au hiyohiyo computer and software engineering ambayo niliiacha au niende pale ATC nikapige bachelor degree in mechatronics and material engineer?

Nilianza kufanya application Mwaka huu changamoto niliyoipata ni ruhusa wanasema kupewa ruhusa kwenda kusoma degree nyingine ni ngumu, kwa mtu mwenye degree wanatoa ruhusa ya miezi 18 tu?, Hapo swala limekaaje?

Wengine wamenishauri nisome open university mambo ya procurement and supply Pamoja na mambo ya finance kitu ambacho naona kama nitarudi tu halmashauri kujipendekeza wanifanyie "recategorization" kitu ambacho sitaki. Nikifikiria kusoma masters degree ya Education au utawala Lakini naona kama aina faida yoyote kwangu, maana Kuna Mwalimu wa sekondari ana PhD Lakini njaa Kali tu.

Je nikifanikiwa kusoma degree nyingine uwezekano wa kuhamishwa kwenda wizara au Taasisi nyingine upo?
NB, Sina mtu yeyoye ambae naweza kusema Nikisoma kitu Kingine anaweza kunishika mkono hapana, au niachane navyo vyote niende VETA Nikachukue ujuzi mbali mbali nijiajiri Huku nikiwa Teacher?
Njia ni uombe nafasi kwenye taasisi unayotaka kwenda kama nafasi ipo watakubali uhamie huko au usubiri wakitoa nafasi huwa zinatangazwa ufatilie uombe kuhamia maana uwezi kubamishwa kutoka halmashauri kwenda taasisi kwa ninavyo jua mimi lakini kwa ushauri wangu usipanc nenda taratibu subiri ruhusa ya kusoma ukipata kasome degree nyingine japo huwa wanabania kusoma degree nje ya kada ulioajiriwa.
 
1. Baki kazini, kasome Masters, rudi kazini na utulie kwa kama miaka 3 hivi kisha halafu ukasoke tena PHD.
Au 2. fanya mpango uhamie ktk miji mikubwa yenye vyuo vikuu vilivyo bora, na huko ukasomee fani unayoitaka ktk evening programs
Hapo kwenye kuhamia kwenye miji mikubwa napo ni changamoto SI unajua tumetoka vijijini hatuna watu wowote waliotangulia huko juu, nimetenga mpaka laki 8-1Milion nipate connection ya kwenda kibaha tu au mkuranga nimekosa, matapeli kibao.
 
Njia ni uombe nafasi kwenye taasisi unayotaka kwenda kama nafasi ipo watakubali uhamie huko au usubiri wakitoa nafasi huwa zinatangazwa ufatilie uombe kuhamia maana uwezi kubamishwa kutoka halmashauri kwenda taasisi kwa ninavyo jua mimi lakini kwa ushauri wangu usipanc nenda taratibu subiri ruhusa ya kusoma ukipata kasome degree nyingine japo huwa wanabania kusoma degree nje ya kada ulioajiriwa.
Ndio wanabana sana, ningeenda mwaka huu Lakini wanatoa ruhusa ya miezi 18 tu masters nje ya Hapo nakua mtoro kazini nimehairisha kwanza, sitaki kusoma master's ya education au utawala maana najua nitakua kama nilivyo tu bila mabadiliko yoyote, Morogoro Kuna Mwalimu ana PhD na ni Mwalimu wa secondary.
 
Jamiiforums kisima Cha maarifa.

Mimi ni mtumishi Mwalimu, Nilisoma PCB advance nikapata division II point 12, nilichaguliwa computer and software engineering Lakini sikwenda, nikazamia Chaka la ualimu wa Physics Nilisoma kwa sababu ya kukosa washauri pamoja na umaskini wa home na nilitaka kuajiriwa mapema Ili nijitegemee , ni kweli baada ya kumaliza chuo nikaajiriwa, Niko na miaka 26 sasa.

Mwaka mmoja kazini sasa, nafikiria mambo mengi kuondoka hapa nilipo shida sio mshahara tulianza na Tgts D3 na Rais Mama Samia alijitahidi kuongeza ongeza (nimpongeze kwa ilo), pia anajitahidi kulipa walimu stahiki zao, kuwapandisha madaraja Pamoja na madaraja mserereko (anaupiga Mwingi) pia watumishi wengi wa halmashauri mishahara yao ni humo humo hakuna utofauti saana, Kwahiyo swala la Mwalimu kua na mshahara Mdogo kuliko watumishi wengine wa halmashauri sio kweli. labda utofauti ni kwamba Mwalimu hana Cha kuiba mpaka Mwisho wa mwezi, pia walimu hawana professional board yani mtu yoyote yule anaweza kumfanyia ujinga Mwalimu maana hana sehemu ya kuguswa mfano hao "Afsa utumishi" CWT na wenyewe wapo wapo tu kula hela ya Mwalimu wakinenepeana bila kazi yoyote Ile hiki chama kingefutwa labda ingeleta tija. Ukiwa wa tofauti wanakuona mkorofi na kukutafutia zengwe upuuzi.

Nafikiria kusoma degree nyingine kabisa mawazo yangu yakanipelekea kusoma meteorology au hiyohiyo computer and software engineering ambayo niliiacha au niende pale ATC nikapige bachelor degree in mechatronics and material engineer?

Nilianza kufanya application Mwaka huu changamoto niliyoipata ni ruhusa wanasema kupewa ruhusa kwenda kusoma degree nyingine ni ngumu, kwa mtu mwenye degree wanatoa ruhusa ya miezi 18 tu?, Hapo swala limekaaje?

Wengine wamenishauri nisome open university mambo ya procurement and supply Pamoja na mambo ya finance kitu ambacho naona kama nitarudi tu halmashauri kujipendekeza wanifanyie "recategorization" kitu ambacho sitaki. Nikifikiria kusoma masters degree ya Education au utawala Lakini naona kama aina faida yoyote kwangu, maana Kuna Mwalimu wa sekondari ana PhD Lakini njaa Kali tu.

Je nikifanikiwa kusoma degree nyingine uwezekano wa kuhamishwa kwenda wizara au Taasisi nyingine upo?
NB, Sina mtu yeyoye ambae naweza kusema Nikisoma kitu Kingine anaweza kunishika mkono hapana, au niachane navyo vyote niende VETA Nikachukue ujuzi mbali mbali nijiajiri Huku nikiwa Teacher?

Kuandika barua na kutuma.
 
Unachoongea ni ukweli 100%, hebu tujadili Hapo issue ya kusoma nje, vipi kuhusu scholarship? Nchi gani ambayo ni nzuri kwa kwenda kusoma? Shida ya huku ualimu masters ni added advantage haibadilishi kitu kwenye muundo wa mshahara.
Canada, USA, Scandinavian,kazi zipo nyingi kule kuendesha malori,kazi za ujenzi,nk
 
Ndio wanabana sana, ningeenda mwaka huu Lakini wanatoa ruhusa ya miezi 18 tu masters nje ya Hapo nakua mtoro kazini nimehairisha kwanza, sitaki kusoma master's ya education au utawala maana najua nitakua kama nilivyo tu bila mabadiliko yoyote, Morogoro Kuna Mwalimu ana PhD na ni Mwalimu wa secondary.
Umri unaruhusu endelea kuomba majeshini pia kwa graduate mwisho miaka 28 ukipata unakula Kona.
Serikali inatambua masters siku hizi unavuta milion na laki saba
 
Mkuu kuwa Makini na utoaji wa taarifa zako humu,Kikubwa nakushauri eleza mambo Kwa ufupi ufupi...
Lakini kingine nakushauri tafuta Taasisi yoyote ile yenye nafasi halafu omba kuhamia....
Lakini kama ikiwa ngumu nenda kasome masters kwanza Huku ukifuatilia mipango yako
 
Issue Yako Iko kama Mimi. Kusema ukweli tamisemi hapana jamani. Yaani huku tunapauka mpaka basi. Mm nilisoma course ambayo nililetwa huku lakn ikaonekana kazi za kufanya hamna. Tuliomaliza kipindi Cha kikwete ilikuwa unaweza pelekwa sehemu utajua mwenyewe huko huko. Nina degree nilirud kusoma certificate ili nifit kwenye mfumo but sikufanikiwa kumaliza. Hapa ni kwamba nilianza biashara na kunogewa na kujikuta muda wa kurud kazini umeisha. Mwaka huu nimeomba kwenda kusoma masters nimepambana mpaka ruhusa nimepata.
 
Back
Top Bottom