Kuna kero kubwa kwa Watumishi wa Umma wanapotaka kuhama au kubadili taasisi

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,814
11,991
Mdau wa Jamii Forums anaeleza...

Mimi ni mtumishi wa Umma kuna jambo ambalo limekuwa kero kwa Watumishi wengi, ni kuhusu kuomba uhamisho kutoka Taasisi moja kwenda nyingine au kuomba kwenda kufanya ‘interview’ ya kazi.

Kuna mambo kadhaa ambayo yanafanya kuwe na ugumu katika kufanikisha hilo;

1. Kwanza zikitangazwa nafasi za kazi kupitia Ajira Portal ni lazima kama wewe ni Mtumishi wa Umma na unakata kuomba nafasi hiyo ni lazima upitishe barua yako kwa Muajiri wako.

Sasa unakuta mwajiri wako ni Mkurugenzi Mkuu katika Taasisi, hivyo inakubidi ipitie hatua nyingi mpaka imfikie na hii inasababisha mtu kushindwa kuendana na deadline ya submission ya kazi husika.

2. Ni lazima upitie mchakato huo wa juu kama unataka kuhama au kutafuta ajira katika taasisi nyingine, ukikuta mazingira ya wahusika wanaotakiwa kupitisha barua yako si rafiki kwako basi tambua hiyo inakula kwako.

Kuna watu wengi wanatamani kutafuta changamoto katika taasisi nyingine au wengine kupata maslahi bora, inakuwa ngumu.
 
mbaya uwe chini ya Tamisemi alaf tena uwe Mwalimu

Hii wizara ni zaidi ya hovyo yenyewe
Mdau wa Jamii Forums anaeleza...

Mimi ni mtumishi wa Umma kuna jambo ambalo limekuwa kero kwa Watumishi wengi, ni kuhusu kuomba uhamisho kutoka Taasisi moja kwenda nyingine au kuomba kwenda kufanya ‘interview’ ya kazi.

Kuna mambo kadhaa ambayo yanafanya kuwe na ugumu katika kufanikisha hilo;

1. Kwanza zikitangazwa nafasi za kazi kupitia Ajira Portal ni lazima kama wewe ni Mtumishi wa Umma na unakata kuomba nafasi hiyo ni lazima upitishe barua yako kwa Muajiri wako.

Sasa unakuta mwajiri wako ni Mkurugenzi Mkuu katika Taasisi, hivyo inakubidi ipitie hatua nyingi mpaka imfikie na hii inasababisha mtu kushindwa kuendana na deadline ya submission ya kazi husika.

2. Ni lazima upitie mchakato huo wa juu kama unataka kuhama au kutafuta ajira katika taasisi nyingine, ukikuta mazingira ya wahusika wanaotakiwa kupitisha barua yako si rafiki kwako basi tambua hiyo inakula kwako.

Kuna watu wengi wanatamani kutafuta changamoto katika taasisi nyingine au wengine kupata maslahi bora, inakuwa ngumu.
 
Kwani ulipokuwa unaiomba hiyo kazi yako ya sasa ulilazimishwa au uliipenda?

Kama sasa huipendi hiyo kazi, acha nenda kafanye interview huko unakotaka.

Hivi hufahamu akikuruhusu kuondoka bila sababu ya msingi itamgharimu muda mrefu kujaza pengo lako kwa kuwa hata yeye hatapata kibali cha ajira ya nafasi yako kirahisi.

Fanya kazi na punguza tamaa!
 
Mdau wa Jamii Forums anaeleza...

Mimi ni mtumishi wa Umma kuna jambo ambalo limekuwa kero kwa Watumishi wengi, ni kuhusu kuomba uhamisho kutoka Taasisi moja kwenda nyingine au kuomba kwenda kufanya ‘interview’ ya kazi.

Kuna mambo kadhaa ambayo yanafanya kuwe na ugumu katika kufanikisha hilo;

1. Kwanza zikitangazwa nafasi za kazi kupitia Ajira Portal ni lazima kama wewe ni Mtumishi wa Umma na unakata kuomba nafasi hiyo ni lazima upitishe barua yako kwa Muajiri wako.

Sasa unakuta mwajiri wako ni Mkurugenzi Mkuu katika Taasisi, hivyo inakubidi ipitie hatua nyingi mpaka imfikie na hii inasababisha mtu kushindwa kuendana na deadline ya submission ya kazi husika.

2. Ni lazima upitie mchakato huo wa juu kama unataka kuhama au kutafuta ajira katika taasisi nyingine, ukikuta mazingira ya wahusika wanaotakiwa kupitisha barua yako si rafiki kwako basi tambua hiyo inakula kwako.

Kuna watu wengi wanatamani kutafuta changamoto katika taasisi nyingine au wengine kupata maslahi bora, inakuwa ngumu.
tulia unahamahama nini kuziba wenzako nafasi wakati tayari wewe una kazi safi wacha iwe taabu
 
Kwani ulipokuwa unaiomba hiyo kazi yako ya sasa ulilazimishwa au uliipenda?

Kama sasa huipendi hiyo kazi, acha nenda kafanye interview huko unakotaka.

Hivi hufahamu akikuruhusu kuondoka bila sababu ya msingi itamgharimu muda mrefu kujaza pengo lako kwa kuwa hata yeye hatapata kibali cha ajira ya nafasi yako kirahisi.

Fanya kazi na punguza tamaa!
Kweli unatokea ileje... 💩
 
Kwani ulipokuwa unaiomba hiyo kazi yako ya sasa ulilazimishwa au uliipenda?

Kama sasa huipendi hiyo kazi, acha nenda kafanye interview huko unakotaka.

Hivi hufahamu akikuruhusu kuondoka bila sababu ya msingi itamgharimu muda mrefu kujaza pengo lako kwa kuwa hata yeye hatapata kibali cha ajira ya nafasi yako kirahisi.

Fanya kazi na punguza tamaa!
Au aka jiari sio kulialia, hata uko unako enda itafikia mda utapachoka, kujiajiri ndio muhimu.
 
Back
Top Bottom