Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,465
- 4,675
Jamiiforums kisima Cha maarifa.
Mimi ni mtumishi Mwalimu, Nilisoma PCB advance nikapata division II point 12, nilichaguliwa computer and software engineering Lakini sikwenda, nikazamia Chaka la ualimu wa Physics Nilisoma kwa sababu ya kukosa washauri pamoja na umaskini wa home na nilitaka kuajiriwa mapema Ili nijitegemee , ni kweli baada ya kumaliza chuo nikaajiriwa, Niko na miaka 26 sasa.
Mwaka mmoja kazini sasa, nafikiria mambo mengi kuondoka hapa nilipo shida sio mshahara tulianza na Tgts D3 na Rais Mama Samia alijitahidi kuongeza ongeza (nimpongeze kwa ilo), pia anajitahidi kulipa walimu stahiki zao, kuwapandisha madaraja Pamoja na madaraja mserereko (anaupiga Mwingi) pia watumishi wengi wa halmashauri mishahara yao ni humo humo hakuna utofauti saana, Kwahiyo swala la Mwalimu kua na mshahara Mdogo kuliko watumishi wengine wa halmashauri sio kweli. labda utofauti ni kwamba Mwalimu hana Cha kuiba mpaka Mwisho wa mwezi, pia walimu hawana professional board yani mtu yoyote yule anaweza kumfanyia ujinga Mwalimu maana hana sehemu ya kuguswa mfano hao "Afsa utumishi" CWT na wenyewe wapo wapo tu kula hela ya Mwalimu wakinenepeana bila kazi yoyote Ile hiki chama kingefutwa labda ingeleta tija. Ukiwa wa tofauti wanakuona mkorofi na kukutafutia zengwe upuuzi.
Nafikiria kusoma degree nyingine kabisa mawazo yangu yakanipelekea kusoma meteorology au hiyohiyo computer and software engineering ambayo niliiacha au niende pale ATC nikapige bachelor degree in mechatronics and material engineer?
Nilianza kufanya application Mwaka huu changamoto niliyoipata ni ruhusa wanasema kupewa ruhusa kwenda kusoma degree nyingine ni ngumu, kwa mtu mwenye degree wanatoa ruhusa ya miezi 18 tu?, Hapo swala limekaaje?
Wengine wamenishauri nisome open university mambo ya procurement and supply Pamoja na mambo ya finance kitu ambacho naona kama nitarudi tu halmashauri kujipendekeza wanifanyie "recategorization" kitu ambacho sitaki. Nikifikiria kusoma masters degree ya Education au utawala Lakini naona kama aina faida yoyote kwangu, maana Kuna Mwalimu wa sekondari ana PhD Lakini njaa Kali tu.
Je nikifanikiwa kusoma degree nyingine uwezekano wa kuhamishwa kwenda wizara au Taasisi nyingine upo?
NB, Sina mtu yeyoye ambae naweza kusema Nikisoma kitu Kingine anaweza kunishika mkono hapana, au niachane navyo vyote niende VETA Nikachukue ujuzi mbali mbali nijiajiri Huku nikiwa Teacher?
Mimi ni mtumishi Mwalimu, Nilisoma PCB advance nikapata division II point 12, nilichaguliwa computer and software engineering Lakini sikwenda, nikazamia Chaka la ualimu wa Physics Nilisoma kwa sababu ya kukosa washauri pamoja na umaskini wa home na nilitaka kuajiriwa mapema Ili nijitegemee , ni kweli baada ya kumaliza chuo nikaajiriwa, Niko na miaka 26 sasa.
Mwaka mmoja kazini sasa, nafikiria mambo mengi kuondoka hapa nilipo shida sio mshahara tulianza na Tgts D3 na Rais Mama Samia alijitahidi kuongeza ongeza (nimpongeze kwa ilo), pia anajitahidi kulipa walimu stahiki zao, kuwapandisha madaraja Pamoja na madaraja mserereko (anaupiga Mwingi) pia watumishi wengi wa halmashauri mishahara yao ni humo humo hakuna utofauti saana, Kwahiyo swala la Mwalimu kua na mshahara Mdogo kuliko watumishi wengine wa halmashauri sio kweli. labda utofauti ni kwamba Mwalimu hana Cha kuiba mpaka Mwisho wa mwezi, pia walimu hawana professional board yani mtu yoyote yule anaweza kumfanyia ujinga Mwalimu maana hana sehemu ya kuguswa mfano hao "Afsa utumishi" CWT na wenyewe wapo wapo tu kula hela ya Mwalimu wakinenepeana bila kazi yoyote Ile hiki chama kingefutwa labda ingeleta tija. Ukiwa wa tofauti wanakuona mkorofi na kukutafutia zengwe upuuzi.
Nafikiria kusoma degree nyingine kabisa mawazo yangu yakanipelekea kusoma meteorology au hiyohiyo computer and software engineering ambayo niliiacha au niende pale ATC nikapige bachelor degree in mechatronics and material engineer?
Nilianza kufanya application Mwaka huu changamoto niliyoipata ni ruhusa wanasema kupewa ruhusa kwenda kusoma degree nyingine ni ngumu, kwa mtu mwenye degree wanatoa ruhusa ya miezi 18 tu?, Hapo swala limekaaje?
Wengine wamenishauri nisome open university mambo ya procurement and supply Pamoja na mambo ya finance kitu ambacho naona kama nitarudi tu halmashauri kujipendekeza wanifanyie "recategorization" kitu ambacho sitaki. Nikifikiria kusoma masters degree ya Education au utawala Lakini naona kama aina faida yoyote kwangu, maana Kuna Mwalimu wa sekondari ana PhD Lakini njaa Kali tu.
Je nikifanikiwa kusoma degree nyingine uwezekano wa kuhamishwa kwenda wizara au Taasisi nyingine upo?
NB, Sina mtu yeyoye ambae naweza kusema Nikisoma kitu Kingine anaweza kunishika mkono hapana, au niachane navyo vyote niende VETA Nikachukue ujuzi mbali mbali nijiajiri Huku nikiwa Teacher?