Nje ya Tanzania hakuna anayejua matokeo ya Simba vs Yanga

SAYVILLE

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
5,130
7,901
Niliwahi kuhoji taarifa za mchongo kuwa eti ligi ya NBC ni ya 5 kwa ubora na wengine wamekuwa wanajitangazia tu eti derby ya Kariakoo ni moja ya derby 3 kwa ubora na ukubwa Africa, watu wakanibishia.

Kuna kaclip kanasambaa kakionyesha Rais wa Yanga akiwa South Africa akisambaza umbea kwa Rais wa CAF Patrice Motsepe na Rais wa FIFA Gianni Infantino kuwa Yanga imemtandika mtu goli 5. Infantino ambaye ni mwanachama na shabiki kindakindaki wa Simba mwenye kadi namba 45263 alionekana kupuuzia taarifa hizo, akikodolea kamera kama haamini amini hivi huo umbea huku Rais wa CAF akihoji labda inawezekana kuna wachezaji wamerubuniwa au ni fluku tu ya kimpira, Hersi alipoanza kujitetea video ikakata hapo hapo.

Tuyaache hayo, swali langu inakuwaje ligi inayosemekana ni ya tano kwa ubora Africa, ligi inayosemekana kuzizidi kwa ubora ligi za Saudi Arabia, USA na Sweden, na wakati huo huo derby ya Kariakoo inayosemekana ni top 3 Africa, lakini Rais wa CAF na FIFA hawajui hata matokeo ya hiyo derby wiki moja baada ya mechi yenyewe?

Niliwahi kuhoji taarifa za ligi ya NBC kuwa ligi ya 5 kwa ubora hapa sikupewa majibu ya kuridhisha.
 
Niliwahi kuhoji taarifa za mchongo kuwa eti ligi ya NBC ni ya 5 kwa ubora na wengine wamekuwa wanajitangazia tu eti derby ya Kariakoo ni moja ya derby 3 kwa ubora na ukubwa Africa, watu wakanibishia.

Kuna kaclip kanasambaa kakionyesha Rais wa Yanga akiwa South Africa akisambaza umbea kwa Rais wa CAF Patrice Motsepe na Rais wa FIFA Gianni Infantino kuwa Yanga imemtandika mtu goli 5. Infantino ambaye ni mwanachama na shabiki kindakindaki wa Simba mwenye kadi namba 45263 alionekana kupuuzia taarifa hizo, akikodolea kamera kama haamini amini hivi huo umbea huku Rais wa CAF akihoji labda inawezekana kuna wachezaji wamerubuniwa au ni fluku tu ya kimpira, Hersi alipoanza kujitetea video ikakata hapo hapo.

Tuyaache hayo, swali langu inakuwaje ligi inayosemekana ni ya tano kwa ubora Africa, ligi inayosemekana kuzizidi kwa ubora ligi za Saudi Arabia, USA na Sweden, na wakati huo huo derby ya Kariakoo inayosemekana ni top 3 Africa, lakini Rais wa CAF na FIFA hawajui hata matokeo ya hiyo derby wiki moja baada ya mechi yenyewe?

Niliwahi kuhoji taarifa za ligi ya NBC kuwa ligi ya 5 kwa ubora hapa sikupewa majibu ya kuridhisha.
Kwa kweli hizi goli 5 zimezua mengi kwamba Rais wa FIFA ni mwanachama wa Simba? Mzee Rage alitamka akiwa na uhakika wala hakubahatisha
 
Niliwahi kuhoji taarifa za mchongo kuwa eti ligi ya NBC ni ya 5 kwa ubora na wengine wamekuwa wanajitangazia tu eti derby ya Kariakoo ni moja ya derby 3 kwa ubora na ukubwa Africa, watu wakanibishia.

Kuna kaclip kanasambaa kakionyesha Rais wa Yanga akiwa South Africa akisambaza umbea kwa Rais wa CAF Patrice Motsepe na Rais wa FIFA Gianni Infantino kuwa Yanga imemtandika mtu goli 5. Infantino ambaye ni mwanachama na shabiki kindakindaki wa Simba mwenye kadi namba 45263 alionekana kupuuzia taarifa hizo, akikodolea kamera kama haamini amini hivi huo umbea huku Rais wa CAF akihoji labda inawezekana kuna wachezaji wamerubuniwa au ni fluku tu ya kimpira, Hersi alipoanza kujitetea video ikakata hapo hapo.

Tuyaache hayo, swali langu inakuwaje ligi inayosemekana ni ya tano kwa ubora Africa, ligi inayosemekana kuzizidi kwa ubora ligi za Saudi Arabia, USA na Sweden, na wakati huo huo derby ya Kariakoo inayosemekana ni top 3 Africa, lakini Rais wa CAF na FIFA hawajui hata matokeo ya hiyo derby wiki moja baada ya mechi yenyewe?

Niliwahi kuhoji taarifa za ligi ya NBC kuwa ligi ya 5 kwa ubora hapa sikupewa majibu ya kuridhisha.
Wewe peke yako ndiye ambaye hujui
 
Washikaji zangu wajamaica wanapenda sana kubet NBC na kuangalia clips zake. Wanaipenda sana ligi ya bongo, tena sana maana hao ni watu wa kubet.
NBC ilikuwa maarufu sana wakati wa Covid maana ilikuwa ndiyo ligi pekee au kati ya chache.

Wewe peke yako ndiye ambaye hujui
Clip mnasambaza wenyewe halafu mnaikana. Rais wa CAF na FIFA walikuwa hawajui matokeo ya derby ya Kariakoo huo ndiyo UKWERI. Kuniambia wachina sijui wajamaica wanaobeti huko hakuifanyi ligi iwe bora.
 
Clip mnasambaza wenyewe halafu mnaikana. Rais wa CAF na FIFA walikuwa hawajui matokeo ya derby ya Kariakoo huo ndiyo UKWERI. Kuniambia wachina sijui wajamaica wanaobeti huko hakuifanyi ligi iwe bora.
Siyo coincidence Engineer kukutana nao.
Motsepe akiongoza FIFA na Engineer akaongoza CAF, timu moja ya Afrika kusini mwa jangwa la Sahara itachukua kombe la dunia.
Hilo ndiyo lengo.
 
Clip mnasambaza wenyewe halafu mnaikana. Rais wa CAF na FIFA walikuwa hawajui matokeo ya derby ya Kariakoo huo ndiyo UKWERI. Kuniambia wachina sijui wajamaica wanaobeti huko hakuifanyi ligi iwe bora.
Hilo ni jambo la ajabu, unasema raisi wa FIFA ni mshabiki wa Simba halafu hata mechi anazocheza timu yake hajui. Kama mnavyoaminishana kuwa Simba ni kubwa inafuatiliwa na wengi duniani basi ujue hao wanaowafatilia wameona mlivyopata kipigo cha paka mwizi labda kama mlikuwa mnaongopeana tu kuhusu kufatiliwa kwa Simba.
 
Hilo ni jambo la ajabu, unasema raisi wa FIFA ni mshabiki wa Simba halafu hata mechi anazocheza timu yake hajui. Kama mnavyoaminishana kuwa Simba ni kubwa inafuatiliwa na wengi duniani basi ujue hao wanaowafatilia wameona mlichokipata labda kama mlikuwa mnaongopeana tu kuhusu kufatiliwa kwa Simba.
Ila wewe unaamini taarifa kuwa Yanga ni moja ya timu tano bora Africa? Clip inajieleza yenyewe au tuseme walikuwa wanamchora Hersi?

Simba kufuatiliwa si jambo la kushangaza kwa sababu kuna mambo imefanya ambayo yanaweza kuwa yameacha kumbukumbu fulani vichwani mwa watu.
 
Niliwahi kuhoji taarifa za mchongo kuwa eti ligi ya NBC ni ya 5 kwa ubora na wengine wamekuwa wanajitangazia tu eti derby ya Kariakoo ni moja ya derby 3 kwa ubora na ukubwa Africa, watu wakanibishia.

Kuna kaclip kanasambaa kakionyesha Rais wa Yanga akiwa South Africa akisambaza umbea kwa Rais wa CAF Patrice Motsepe na Rais wa FIFA Gianni Infantino kuwa Yanga imemtandika mtu goli 5. Infantino ambaye ni mwanachama na shabiki kindakindaki wa Simba mwenye kadi namba 45263 alionekana kupuuzia taarifa hizo, akikodolea kamera kama haamini amini hivi huo umbea huku Rais wa CAF akihoji labda inawezekana kuna wachezaji wamerubuniwa au ni fluku tu ya kimpira, Hersi alipoanza kujitetea video ikakata hapo hapo.

Tuyaache hayo, swali langu inakuwaje ligi inayosemekana ni ya tano kwa ubora Africa, ligi inayosemekana kuzizidi kwa ubora ligi za Saudi Arabia, USA na Sweden, na wakati huo huo derby ya Kariakoo inayosemekana ni top 3 Africa, lakini Rais wa CAF na FIFA hawajui hata matokeo ya hiyo derby wiki moja baada ya mechi yenyewe?

Niliwahi kuhoji taarifa za ligi ya NBC kuwa ligi ya 5 kwa ubora hapa sikupewa majibu ya kuridhisha.
Kavideo tafadhali tumuone huyo herisi akijitetea
 
Ila wewe unaamini taarifa kuwa Yanga ni moja ya timu tano bora Africa? Clip inajieleza yenyewe au tuseme walikuwa wanamchora Hersi?

Simba kufuatiliwa si jambo la kushangaza kwa sababu kuna mambo imefanya ambayo yanaweza kuwa yameacha kumbukumbu fulani vichwani mwa watu.
Sio yupo kwenye timu tano bora kwa Africa bali ni yupo kwenye timu 5 zinazo perform vizuri Africa. Ile ni rank ya performance na wala sio rank ya ubora. Na performance wanapima kwa idadi ya ushindi, clean sheet, magoli,n.k katika mashindano yote yanayotambulika na FIFA. Kama vile ligi kuu, mashindano ya CAF na kombe la FA
 
Ila wewe unaamini taarifa kuwa Yanga ni moja ya timu tano bora Africa? Clip inajieleza yenyewe au tuseme walikuwa wanamchora Hersi?

Simba kufuatiliwa si jambo la kushangaza kwa sababu kuna mambo imefanya ambayo yanaweza kuwa yameacha kumbukumbu fulani vichwani mwa watu.
Ndio hivyo kama kuna kundi kubwa la watu wanaifuatilia timu ya Simba ulimwenguni basi kipigo cha goli tano kimewafikia popote pale walipo.
 
Ila wewe unaamini taarifa kuwa Yanga ni moja ya timu tano bora Africa? Clip inajieleza yenyewe au tuseme walikuwa wanamchora Hersi?

Simba kufuatiliwa si jambo la kushangaza kwa sababu kuna mambo imefanya ambayo yanaweza kuwa yameacha kumbukumbu fulani vichwani mwa watu.
Sijawahi kuona watu mapunguani kama makolo unaweza kutuambia ni kitu gani mlichofanya cha kuweka kumbukumbu duniani hii tabia mliyonayo ya kujikweza ndiyo inayasababisha kuwa kama mliochanganyikiwa pale mnaponyooshwa

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom