Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Sijui kwanini Azam media wanalazimisha timu yao ya Azam kwamba ni derby dhidhi ya wakongwe wa Kariakoo?
Kwanza ni timu ya juzi hakuna derby kati ya baba na mtoto,
Mafanikio ya mataji haiwezi kufika hata robo ya Simba na Yanga
Kwa mashabiki hata robo ya hizo timu Azam haifiki.
Sasa wanavyosema azam ni derby kwa Simba na Yanga ni derby kwenye nini hasa hawana umri sawa kuanzishwa,hawana mashabiki, wana kikombe kimoja tu cha ligi.
Kama wanaangalia timu ambazo zote zipo Dar basi Azam anafaa kuwa derby na KMC maana hata umri wanaendana kwa mbali.
Azam kuwa derby kwa Simba na Yanga ni kuzishusha hadhi Simba na Yanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza ni timu ya juzi hakuna derby kati ya baba na mtoto,
Mafanikio ya mataji haiwezi kufika hata robo ya Simba na Yanga
Kwa mashabiki hata robo ya hizo timu Azam haifiki.
Sasa wanavyosema azam ni derby kwa Simba na Yanga ni derby kwenye nini hasa hawana umri sawa kuanzishwa,hawana mashabiki, wana kikombe kimoja tu cha ligi.
Kama wanaangalia timu ambazo zote zipo Dar basi Azam anafaa kuwa derby na KMC maana hata umri wanaendana kwa mbali.
Azam kuwa derby kwa Simba na Yanga ni kuzishusha hadhi Simba na Yanga.
Sent using Jamii Forums mobile app