Simba ilishawahi kupigwa 9 na Yanga

TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

JF-Expert Member
Dec 1, 2010
5,720
10,220
๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐—š๐—ข ๐—ฉ๐—œ๐—ž๐—จ๐—•๐—ช๐—” ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ


Matukio na vipigo vikubwa zaidi kuanzia (5+) kwenye derby ya Kariakoo:

FT: Yanga SC 9-0 Simba SC (1938)
FT : Yanga SC 5-0 Simba SC (1968)

โšฝโšฝ Maulid Dilunga 18' Pen, 43'
โšฝโšฝ Salehe Zimbwe 54', 89'
โšฝ Kitwana Manara 86'

๐— p๐—ถ๐—ฟ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ๐—ป๐—ถ:

Tarehe 3 Machi 1969:

Simba SC waligoma kurejea Uwanjani kipindi cha pili baada ya kufungwa (3-0). Yanga SC walipewa pointi (3) na mabao (3) mezani.

FT: Simba SC 6-0 Yanga SC (1977)

โšฝ Selemani Sanga OG 20'
โšฝโšฝโšฝ King Kibadeni 10', 42', 89'
โšฝ โšฝJumanne Masimenti 60'

๐—ฆ๐—ต๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ธ๐—ผ๐—ป๐—ผ:

Mwaka 1988, Yanga SC waliwasaidia watani zao Simba SC wasishuke daraja. Mchezo wa mwisho wa ligi kuu Yanga wakishinda wanatwaa Ubingwa, Simba wakisare au kupoteza wanashuka daraja. Yanga hawakumkaba kwa makusudi, Hamisi Shikamkono ili afunge goli Simba wasalie ligi kuu.

Shikamkono akafunga goli, Simba wakasalia ligi kuu na Yanga wakaukosa Ubingwa. Msimu huo Simba SC walikuwa na mgogoro mkubwa baina ya katibu mkuu, Jimmy David Ngonya na wazee wa klabu hiyo.

Mpaka sasa Simba na Yanga ndio klabu pekee ambazo hazijawahi kushuka daraja ligi kuu Tanzania tangu ianzishwe.

๐—ฌ๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ฎ๐˜‡๐—ถ๐—บ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ฆ๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐—ฆ๐—–:

Mwaka 1998, Yanga SC waliazima wachezaj kutoka Simba SC ili waongeze nguvu kikosini kwao kwenye michuano ya CAF champions league ambapo Yanga ndio walikuwa klabu ya 1 East Africa kuingia group stage.

Wachezaji walioazimwa ni:
  • Monja Liseki
  • Shabani Ramadhani
  • Alphonce Modest
Zamani hawakuwa maadui ๐Ÿ™Œ

FT: Simba SC 5-0 Yanga SC (2012)

โšฝโšฝ Emmanuel Okwi 2', 62'
โšฝ Felix Sunzu (Penati) 56'
โšฝ Juma Kaseja (Penati) 67
โšฝ Patrick Mafisango (Penati) 72'

FT: Simba SC 1-5 Yanga SC (2023)

โšฝ๏ธ Kibu Denis ๐Ÿ…ฐ๏ธ Ntibazonkiza 9'
โšฝ๏ธ Musonda ๐Ÿ…ฐ๏ธ Yao 3'
โšฝ๏ธ Nzengeli ๐Ÿ…ฐ๏ธ Aziz Ki 63'
โšฝ๏ธ Stephanie Aziz Ki ๐Ÿ…ฐ๏ธ Mzize 73
โšฝ๏ธ Maxi Nzengeli ๐Ÿ…ฐ๏ธ Mzize 77'
โšฝ๏ธ Pacome (Penati) 86'

ยฉTom Cruz-Mchambuzi.
1699855129333.jpg
 
๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐—š๐—ข ๐—ฉ๐—œ๐—ž๐—จ๐—•๐—ช๐—” ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ


Matukio na vipigo vikubwa zaidi kuanzia (5+) kwenye derby ya Kariakoo:

FT: Yanga SC 9-0 Simba SC (1938)
FT : Yanga SC 5-0 Simba SC (1968)

โšฝโšฝ Maulid Dilunga 18' Pen, 43'
โšฝโšฝ Salehe Zimbwe 54', 89'
โšฝ Kitwana Manara 86'

๐— p๐—ถ๐—ฟ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ๐—ป๐—ถ:

Tarehe 3 Machi 1969:

Simba SC waligoma kurejea Uwanjani kipindi cha pili baada ya kufungwa (3-0). Yanga SC walipewa pointi (3) na mabao (3) mezani.

FT: Simba SC 6-0 Yanga SC (1977)

โšฝ Selemani Sanga OG 20'
โšฝโšฝโšฝ King Kibadeni 10', 42', 89'
โšฝ โšฝJumanne Masimenti 60'

๐—ฆ๐—ต๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ธ๐—ผ๐—ป๐—ผ:

Mwaka 1988, Yanga SC waliwasaidia watani zao Simba SC wasishuke daraja. Mchezo wa mwisho wa ligi kuu Yanga wakishinda wanatwaa Ubingwa, Simba wakisare au kupoteza wanashuka daraja. Yanga hawakumkaba kwa makusudi, Hamisi Shikamkono ili afunge goli Simba wasalie ligi kuu.

Shikamkono akafunga goli, Simba wakasalia ligi kuu na Yanga wakaukosa Ubingwa. Msimu huo Simba SC walikuwa na mgogoro mkubwa baina ya katibu mkuu, Jimmy David Ngonya na wazee wa klabu hiyo.

Mpaka sasa Simba na Yanga ndio klabu pekee ambazo hazijawahi kushuka daraja ligi kuu Tanzania tangu ianzishwe.

๐—ฌ๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ฎ๐˜‡๐—ถ๐—บ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ฆ๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐—ฆ๐—–:

Mwaka 1998, Yanga SC waliazima wachezaj kutoka Simba SC ili waongeze nguvu kikosini kwao kwenye michuano ya CAF champions league ambapo Yanga ndio walikuwa klabu ya 1 East Africa kuingia group stage.

Wachezaji walioazimwa ni:
  • Monja Liseki
  • Shabani Ramadhani
  • Alphonce Modest
Zamani hawakuwa maadui ๐Ÿ™Œ

FT: Simba SC 5-0 Yanga SC (2012)

โšฝโšฝ Emmanuel Okwi 2', 62'
โšฝ Felix Sunzu (Penati) 56'
โšฝ Juma Kaseja (Penati) 67
โšฝ Patrick Mafisango (Penati) 72'

FT: Simba SC 1-5 Yanga SC (2023)

โšฝ๏ธ Kibu Denis ๐Ÿ…ฐ๏ธ Ntibazonkiza 9'
โšฝ๏ธ Musonda ๐Ÿ…ฐ๏ธ Yao 3'
โšฝ๏ธ Nzengeli ๐Ÿ…ฐ๏ธ Aziz Ki 63'
โšฝ๏ธ Stephanie Aziz Ki ๐Ÿ…ฐ๏ธ Mzize 73
โšฝ๏ธ Maxi Nzengeli ๐Ÿ…ฐ๏ธ Mzize 77'
โšฝ๏ธ Pacome (Penati) 86'

ยฉTom Cruz-Mchambuzi.View attachment 2812260
Ila Mzize bana alinitesea wale wazee.....
 
๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐—š๐—ข ๐—ฉ๐—œ๐—ž๐—จ๐—•๐—ช๐—” ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ


Matukio na vipigo vikubwa zaidi kuanzia (5+) kwenye derby ya Kariakoo:

FT: Yanga SC 9-0 Simba SC (1938)
FT : Yanga SC 5-0 Simba SC (1968)

โšฝโšฝ Maulid Dilunga 18' Pen, 43'
โšฝโšฝ Salehe Zimbwe 54', 89'
โšฝ Kitwana Manara 86'

๐— p๐—ถ๐—ฟ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ๐—ป๐—ถ:

Tarehe 3 Machi 1969:

Simba SC waligoma kurejea Uwanjani kipindi cha pili baada ya kufungwa (3-0). Yanga SC walipewa pointi (3) na mabao (3) mezani.

FT: Simba SC 6-0 Yanga SC (1977)

โšฝ Selemani Sanga OG 20'
โšฝโšฝโšฝ King Kibadeni 10', 42', 89'
โšฝ โšฝJumanne Masimenti 60'

๐—ฆ๐—ต๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ธ๐—ผ๐—ป๐—ผ:

Mwaka 1988, Yanga SC waliwasaidia watani zao Simba SC wasishuke daraja. Mchezo wa mwisho wa ligi kuu Yanga wakishinda wanatwaa Ubingwa, Simba wakisare au kupoteza wanashuka daraja. Yanga hawakumkaba kwa makusudi, Hamisi Shikamkono ili afunge goli Simba wasalie ligi kuu.

Shikamkono akafunga goli, Simba wakasalia ligi kuu na Yanga wakaukosa Ubingwa. Msimu huo Simba SC walikuwa na mgogoro mkubwa baina ya katibu mkuu, Jimmy David Ngonya na wazee wa klabu hiyo.

Mpaka sasa Simba na Yanga ndio klabu pekee ambazo hazijawahi kushuka daraja ligi kuu Tanzania tangu ianzishwe.

๐—ฌ๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ฎ๐˜‡๐—ถ๐—บ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ฆ๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐—ฆ๐—–:

Mwaka 1998, Yanga SC waliazima wachezaj kutoka Simba SC ili waongeze nguvu kikosini kwao kwenye michuano ya CAF champions league ambapo Yanga ndio walikuwa klabu ya 1 East Africa kuingia group stage.

Wachezaji walioazimwa ni:
  • Monja Liseki
  • Shabani Ramadhani
  • Alphonce Modest
Zamani hawakuwa maadui ๐Ÿ™Œ

FT: Simba SC 5-0 Yanga SC (2012)

โšฝโšฝ Emmanuel Okwi 2', 62'
โšฝ Felix Sunzu (Penati) 56'
โšฝ Juma Kaseja (Penati) 67
โšฝ Patrick Mafisango (Penati) 72'

FT: Simba SC 1-5 Yanga SC (2023)

โšฝ๏ธ Kibu Denis ๐Ÿ…ฐ๏ธ Ntibazonkiza 9'
โšฝ๏ธ Musonda ๐Ÿ…ฐ๏ธ Yao 3'
โšฝ๏ธ Nzengeli ๐Ÿ…ฐ๏ธ Aziz Ki 63'
โšฝ๏ธ Stephanie Aziz Ki ๐Ÿ…ฐ๏ธ Mzize 73
โšฝ๏ธ Maxi Nzengeli ๐Ÿ…ฐ๏ธ Mzize 77'
โšฝ๏ธ Pacome (Penati) 86'

ยฉTom Cruz-Mchambuzi.View attachment 2812260
Uchambuzi makini sana huu
 
๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐—š๐—ข ๐—ฉ๐—œ๐—ž๐—จ๐—•๐—ช๐—” ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ


Matukio na vipigo vikubwa zaidi kuanzia (5+) kwenye derby ya Kariakoo:

FT: Yanga SC 9-0 Simba SC (1938)
FT : Yanga SC 5-0 Simba SC (1968)

Maulid Dilunga 18' Pen, 43'
Salehe Zimbwe 54', 89'
Kitwana Manara 86'

๐— p๐—ถ๐—ฟ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ๐—ป๐—ถ:

Tarehe 3 Machi 1969:

Simba SC waligoma kurejea Uwanjani kipindi cha pili baada ya kufungwa (3-0). Yanga SC walipewa pointi (3) na mabao (3) mezani.

FT: Simba SC 6-0 Yanga SC (1977)

Selemani Sanga OG 20'
King Kibadeni 10', 42', 89'
Jumanne Masimenti 60'

๐—ฆ๐—ต๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ธ๐—ผ๐—ป๐—ผ:

Mwaka 1988, Yanga SC waliwasaidia watani zao Simba SC wasishuke daraja. Mchezo wa mwisho wa ligi kuu Yanga wakishinda wanatwaa Ubingwa, Simba wakisare au kupoteza wanashuka daraja. Yanga hawakumkaba kwa makusudi, Hamisi Shikamkono ili afunge goli Simba wasalie ligi kuu.

Shikamkono akafunga goli, Simba wakasalia ligi kuu na Yanga wakaukosa Ubingwa. Msimu huo Simba SC walikuwa na mgogoro mkubwa baina ya katibu mkuu, Jimmy David Ngonya na wazee wa klabu hiyo.

Mpaka sasa Simba na Yanga ndio klabu pekee ambazo hazijawahi kushuka daraja ligi kuu Tanzania tangu ianzishwe.

๐—ฌ๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ฎ๐˜‡๐—ถ๐—บ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ฆ๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐—ฆ๐—–:

Mwaka 1998, Yanga SC waliazima wachezaj kutoka Simba SC ili waongeze nguvu kikosini kwao kwenye michuano ya CAF champions league ambapo Yanga ndio walikuwa klabu ya 1 East Africa kuingia group stage.

Wachezaji walioazimwa ni:
  • Monja Liseki
  • Shabani Ramadhani
  • Alphonce Modest
Zamani hawakuwa maadui

FT: Simba SC 5-0 Yanga SC (2012)

Emmanuel Okwi 2', 62'
Felix Sunzu (Penati) 56'
Juma Kaseja (Penati) 67
Patrick Mafisango (Penati) 72'

FT: Simba SC 1-5 Yanga SC (2023)

๏ธ Kibu Denis Ntibazonkiza 9'
๏ธ Musonda Yao 3'
๏ธ Nzengeli Aziz Ki 63'
๏ธ Stephanie Aziz Ki Mzize 73
๏ธ Maxi Nzengeli Mzize 77'
๏ธ Pacome (Penati) 86'

Tom Cruz-Mchambuzi.View attachment 2812260

IMG_6224.jpg
 
๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐—š๐—ข ๐—ฉ๐—œ๐—ž๐—จ๐—•๐—ช๐—” ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ


Matukio na vipigo vikubwa zaidi kuanzia (5+) kwenye derby ya Kariakoo:

FT: Yanga SC 9-0 Simba SC (1938)
FT : Yanga SC 5-0 Simba SC (1968)

Maulid Dilunga 18' Pen, 43'
Salehe Zimbwe 54', 89'
Kitwana Manara 86'

๐— p๐—ถ๐—ฟ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ๐—ป๐—ถ:

Tarehe 3 Machi 1969:

Simba SC waligoma kurejea Uwanjani kipindi cha pili baada ya kufungwa (3-0). Yanga SC walipewa pointi (3) na mabao (3) mezani.

FT: Simba SC 6-0 Yanga SC (1977)

Selemani Sanga OG 20'
King Kibadeni 10', 42', 89'
Jumanne Masimenti 60'

๐—ฆ๐—ต๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ธ๐—ผ๐—ป๐—ผ:

Mwaka 1988, Yanga SC waliwasaidia watani zao Simba SC wasishuke daraja. Mchezo wa mwisho wa ligi kuu Yanga wakishinda wanatwaa Ubingwa, Simba wakisare au kupoteza wanashuka daraja. Yanga hawakumkaba kwa makusudi, Hamisi Shikamkono ili afunge goli Simba wasalie ligi kuu.

Shikamkono akafunga goli, Simba wakasalia ligi kuu na Yanga wakaukosa Ubingwa. Msimu huo Simba SC walikuwa na mgogoro mkubwa baina ya katibu mkuu, Jimmy David Ngonya na wazee wa klabu hiyo.

Mpaka sasa Simba na Yanga ndio klabu pekee ambazo hazijawahi kushuka daraja ligi kuu Tanzania tangu ianzishwe.

๐—ฌ๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ฎ๐˜‡๐—ถ๐—บ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ฆ๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐—ฆ๐—–:

Mwaka 1998, Yanga SC waliazima wachezaj kutoka Simba SC ili waongeze nguvu kikosini kwao kwenye michuano ya CAF champions league ambapo Yanga ndio walikuwa klabu ya 1 East Africa kuingia group stage.

Wachezaji walioazimwa ni:
  • Monja Liseki
  • Shabani Ramadhani
  • Alphonce Modest
Zamani hawakuwa maadui

FT: Simba SC 5-0 Yanga SC (2012)

Emmanuel Okwi 2', 62'
Felix Sunzu (Penati) 56'
Juma Kaseja (Penati) 67
Patrick Mafisango (Penati) 72'

FT: Simba SC 1-5 Yanga SC (2023)

๏ธ Kibu Denis Ntibazonkiza 9'
๏ธ Musonda Yao 3'
๏ธ Nzengeli Aziz Ki 63'
๏ธ Stephanie Aziz Ki Mzize 73
๏ธ Maxi Nzengeli Mzize 77'
๏ธ Pacome (Penati) 86'

Tom Cruz-Mchambuzi.View attachment 2812260
Na kwenye ushindi huo mlilishwa supu ya vibudu kama ile ya jana? Kuna jirani yangu jana kafakamia hiyo supu ya vibudu leo yuko ICU
 
Jana jumapili nilimsikia Mahmoud Zuberi wa Azam Tv anakataa kuhusu hiyo 9-0 akisema ni uongo hakuna rekodi hiyo.

Je kuna mwenye rekodi au kumbukumbu hiyo? Maana 1938 sio mbali kiivyo hadi rekodi zisiwepo.
 
Back
Top Bottom