Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,532
- 2,490
Kama taratibu zitafuatwa ni kweli hakutakuwa na mtoto wa maskini ambae atakosa elimu ya juu. Walengwa katika hili wanakosa nafasi hiyo kutokana na baadhi ya watu kujivisha nafasi hiyo ili kupata njia mtelemko ya kupata elimu hiyo ya juu.Huyu huyu aliwahi kutwambia kwamba' "Hakuna mtoto wa maskini Tanzania atakayekosa elimu ya juu" na ukweli kuhusu yanayojiri pale UDSM unapingana na kauli yake hiyo. Hivyo hili pia inaweza kabisa kuwa ni kujiosha tu machoni mwa Watanzania.