fergie
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 280
- 127
sijadharua mtu ili itifaki lazma izingatiwe, ikitokea mdogo wangu wa kiume au kaka yangu ame fall kwa msichana wetu wa kazi ntaona poa tu hata akitaka kumuoa amuoe tu haina shida, ila si baba yangu, basi bora hata huyo mfanyakazi mwenyewe awe mtu mzima atleast ingekuwa rahisi kumeza lakini sio kitoto kinatuita dada leo hii baba aamue kiwe ndo mama, na isitoshe sitegemei wanaume kuelewa nyinyi semeni mnachoweza isitoshe mnaongoza kwa kutembea na hao wasichana wa kazi na hata hao wasiotembea nao huwa wanawatamani wanabaki kula kwa macho so i dnt expect to hear anything different, hapa naongea na wanawake wenzangu
Ww ndio unamuona mdg lkn ndio akishakuwa mama yako ww unakuwa mdg...dharau ya nn wakat baba yako ndio anaponea hapo na huwezi kumpangia mwanamke wa kuwa naye...utake usitake yeyw ndio anaamua nani wa kumpa dudu lake