Niwafanye nini watu hawa?

Niwafanye nini watu hawa?

pole mdogo wangu kwa hayo mambo

ninachokushauri usijiingize kwa issue za daddy yako kwani yeye ni mtuzima anaelewa anachokifanya, hivyo chakufanya mdogo wangu wewe jenga mahusiano mazuri na maid wenu ili kuweza kuchota mambo yao akiwa na dingi wako na kingine
cha kufanya unaweza kuhama hapo nyumbani ukaenda ishi kwa ndugu yeyote kwani ukiwa hapo utajipa mastress ya bure wakati dingi wako anahitaji jiko jingine acha kukumbuka ya nyuma ya mamayako elewa kuwa yameshatokea hivyo jijijengee maisha yako binafsi na Muungu wako tu inatosha cha kufanya wewe kuwa mtu wa maombi ili dingi wako ampate mwanamke mwingine wa kuwa naye,

usilipize kisasi chochote cha Mungu yeye atende juu yenu ila cha kufanya onana na wazee ili awape kibali cha kurithi mali za mama yenu alipokuwa na dingi wenu kabla mama wa kambo hajaolewa na dingi wenu maana baada ya hapo hamtaambulia chochote cha maza wenu
 
thanx alot, at least i know i wasnt wrong in asking for advice here.
sitauliza chochote

Nahisi kuwa baada ya hiyo issue iliyotokea there is going to be a cascade of associated issues. Usipoyahandle sawa sawa outcome yake inaweza isiwe nzuri sana. Busara ya kutahandle ni moja tu; jifanye "bubu" kwenye hilo suala. Yanaweza kutokea mengi sana yakukuchokoza au kukuchokonoa uongee, but ukiweza kujiepusha na kishawishi cha kujibu tuhuma au kuhadithia kwa "watu", ukiweza kukaa kimya kweli kweli, then hii issue itaisha salama...
 
Kuwa na moyo wa subira usipende kuingilia mambo ya baba yako wala usipende kuendeshwa na emotions , tafuta siku kaa na baba ako ongea nae otherwise u will create enemity between you and your dad.
 
Kabisa... Hio ndio inakamilisha ubinadamu wetu.

hahahaaaa ahsante
watu wanajisahau kabisa kuwa ni binadamu na kwamba ipo siku wanaweza kukutana na situation ikawafanya wa'react ndivyo sivyo
 
Be care and u have to knw dat men are so differ to women,so si vizur kureact vby coz u knw udhaifu wa wanaume dat hawawez kuvumlia kwa mda mrefu but also women 2napenda sana chokochoko na tena akijua unafata ishu zke vijembe vitaanza mtaishi kama m2 na mke mwenzie!Achana nao!Mtumikie kafir upate mtaj wako,
 
unaogopa kumwita haouse gal wenu Mummy eeh!
 
eeeh tumefika huko kwenye matusi tena!! hatuwezi kufanana kwa mtazamo kama wewe kwako ni kawaida tu na huwezi uliza chochote ni sawa, kama mie wa fb basi na wewe wa huko huko maana kule kuna watu wanaopenda kutukana kama wewe hivyo

wasikuumize kichwa hao risasi zimeshuka bei sasa hivi ni tsh. elfu 20 tu!
 
Perfect, Sihitaji kuongezea zaidi.

baba yako sio mjinga
anajua anachofanya ni wrong ndo maana alifanya kwa siri

muache atalisahihisha mwenyewe...........

hupaswi kumkasrikia huyo housegirl......unamuonea....

na hupaswi kujifanya wewe ndo mlinzi wa 'heshima ya mama yako'...... utajipa stress za bure

nakushauri utafute boyfriend kama huna......the world is not perfect......soon you will realize that...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom