Ndugu zangu hata sijui nianzie wapi maana only God knows how I feel right now.
Na waliosema siku njema huonekana asubuhi hawakukosea maana siku nzima ya leo sijui ndo niseme jana nimeshinda na majonzi little did I know kuwa majonzi makubwa zaidi yanakuja.
This night I have just realized that my father is sleeping with our house maid, what hurts me the most is why did he have to do that in his room and its not even a year since my mum passed away?
Na kwa hasira nikaanza kumkaripia huyu dada na nilichoambulia ni kufokewa na baba kuwa nafuata nini vyumbani kwa watu usiku wote huu!
Natamani nifanye kitu kibaya sana lakini namuomba sana Mungu anisimamie nisifanye lolote ambalo nitajutia baadae.
Najua sitaweza kulala usiku huu.
I just have no one to tell this right now thats why I decided to post this here.
Nasubiri asubuhi ifike, lakini najiuliza hiyo asubuhi ikifika nichukue hatua gani?
Na waliosema siku njema huonekana asubuhi hawakukosea maana siku nzima ya leo sijui ndo niseme jana nimeshinda na majonzi little did I know kuwa majonzi makubwa zaidi yanakuja.
This night I have just realized that my father is sleeping with our house maid, what hurts me the most is why did he have to do that in his room and its not even a year since my mum passed away?
Na kwa hasira nikaanza kumkaripia huyu dada na nilichoambulia ni kufokewa na baba kuwa nafuata nini vyumbani kwa watu usiku wote huu!
Natamani nifanye kitu kibaya sana lakini namuomba sana Mungu anisimamie nisifanye lolote ambalo nitajutia baadae.
Najua sitaweza kulala usiku huu.
I just have no one to tell this right now thats why I decided to post this here.
Nasubiri asubuhi ifike, lakini najiuliza hiyo asubuhi ikifika nichukue hatua gani?