The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,612
hivi kweli jamani mfano wewe binti una miaka 25 unakuta baba yako anatembea na msichana wenu wa kazi mwenye miaka 17 au 18, hata kama ndio mama alishatangulia mbele za haki au lets say waliachana kwa tofauti zao wenyewe, kweli itakuwa sawa? au tunamshauri tu huyu binti kwa kuwa limetokewa kwake na si kwetu? labda kwa watoto wa kiume ndo wanaweza wakaona sawa, ila kwa sisi watoto wa kike ni hapana bwana, romantic eyesrme naona jinsi ulivyojisikia baada ya kugundua kilichotokea ni sawa hata mimi ingeniuma sana, huyu baba yako hakatazwi kuwa na mwanamke mwingine hata kuoa akitaka aoe lakini sio huyo msichana wenu wa ndani tena mbaya zaidi kiumri bado mdogo eyes
Hujatuelewa hatujasema baba alichofanya ni sahihi tumesema binti hana haki ya kujifanya kakasirika sana kama vile baba kafanya usaliti...huu sio usaliti....huku ni kuteleza...na wa kumsema. Baba kwa kuteleza wapo but sio huyu binti