mimi sio mwanaume, lakini baba ana haki ya kukosea na kujua jinsi ya kusahihisha mambo yake mwenyewe. tena ni kukosa adabu kuingilia affairs za baba
Matola give this girl a break khaaaaaaaaaa maana umemkalia kooni as if wewe ndo baba yake duuuh,mpaka naanza kuwa na mashaka na wewe
Bora amelala na hausgel kuliko kwenda kuokota malaya nje
nashukuru dada yangu, si kwamba napenda kuingilia maisha ya baba yangu napenda awe na furaha ila natamani sana aoe mwanamke ambaye kidogo umri unaruhusu.
eeeh tumefika huko kwenye matusi tena!! hatuwezi kufanana kwa mtazamo kama wewe kwako ni kawaida tu na huwezi uliza chochote ni sawa, kama mie wa fb basi na wewe wa huko huko maana kule kuna watu wanaopenda kutukana kama wewe hivyomashaka yako kwangu ni yepi? hapa siyo Facebook kutoa status unasubili likes 500 hamna kitu cha namna hiyo.
hivi mimi nimuone shamba boy anatoka kumgegeda mama chumbani unadhani nitapata wapi gutts za kumuhoji shamba boy?
ndio maana kesi za kina baba kuwabanduwa mabinti zao waliowazaa ni nyingi kuliko kusikia mtoto wa kiume kambanduwa mama yake, hapo lazima kunakuwa na issue ya ushirikina.
na mleta mada anaonesha ana wivu kwa baba yake kiasi kwamba haishangazi ukisikia baba anambanduwa mwanae wa kuzaa hizi ndio dalili zenyewe.
kwa mtazamo wangu sizani kama anampenda ila anamtumia tu tena inawezekana alianza kipindi mkewe akiwepo, na siku atakayoamua kuoa ataoa mwanamke mwingine kabisa, sasa ni picha gani anayoleta kwa watoto wake?
Definition:am not becoming anything ila majibu yenu ndo yamenipa hiyo conclusion, wanaume woooote mmebaki kumshambulia huyu binti na kuona kilichotokea ni sawa, sasa ningesemaje?
kwa mtazamo wangu sizani kama anampenda ila anamtumia tu tena inawezekana alianza kipindi mkewe akiwepo, na siku atakayoamua kuoa ataoa mwanamke mwingine kabisa, sasa ni picha gani anayoleta kwa watoto wake?
eeeh tumefika huko kwenye matusi tena!! hatuwezi kufanana kwa mtazamo kama wewe kwako ni kawaida tu na huwezi uliza chochote ni sawa, kama mie wa fb basi na wewe wa huko huko maana kule kuna watu wanaopenda kutukana kama wewe hivyo
suala la kumpenda ama kumtumia sio juu ya wanae. ni maamuzi yake binafsi, unless baba ana memory loss ndo utanishawishi. huwezi kumchagulia babako mwanamke wa kulala nae, na hauwezi kuhoji kuwa anawapa motisha gani. bay the way, baba amejitahidi kuficha kwa kadri awezavyo, its not like kawakuta sebleni kwenye makochi, sio?
no need to be sorry you just spoke your mindKuna tofauti gani kati ya kumuuliza baba yako na kumuuliza housegirl ? Yote si yanaelekea kwenye huo uhusiano?
Hasira ndizo humpoteza mtu dada yetu. Binafsi ingekuwa baba yako kaamua kumuoa housegirl sioni shida, ila kufanya hivyo ni vibaya. Sitetei kitendo chake wala sijakizungumzia. Najaribu kukushauri ili ujiepushe na laana, huyo ni mzazi wako na ulichokifanya ni sawa na kufumania kwa sababu unaquestion vipi fidelity ya your own father?
Huko ni kukosa adabu kiukweli, tena kwa mtoto wa kike ni kubaya zaidi kama mtoto wa kiume kwa mama yake (M so sorry for being straight)
wewe acha kubwata tu bila hoja, yani tujivike k ili tuwe kama huyu anayetokwa mapovu hapa au unamaanisha nini?
matusi yako hapo? acha unafki binti ina maana wewe ubanduliwi? na kama unabunduliwa kwahiyo unapenda matusi siyo? usikimbie kimvuri chako kila kitu kipo wazi kauli mbiu yetu hapa ni where we dare to speak openly.
ukweli ni kwamba kuna kesi nyingi sana za watoto wa kike kubanduliwa na baba zao, kwahiyo ukileta element za wivu unatutia mashaka.
matusi yako hapo? acha unafki binti ina maana wewe ubanduliwi? na kama unabunduliwa kwahiyo unapenda matusi siyo? usikimbie kimvuri chako kila kitu kipo wazi kauli mbiu yetu hapa ni where we dare to speak openly.
ukweli ni kwamba kuna kesi nyingi sana za watoto wa kike kubanduliwa na baba zao, kwahiyo ukileta element za wivu unatutia mashaka.
kuna sababu nyingi zilizosababisha niwepo nyumbani hadi leo many of them are personal, na hata nisingekuwa na sababu kuna dhambi gani ya mimi kuwa kwetu?
salama tu, sijui wewe
sikuona haja ya kuanzisha fujo ingawa kiukweli it was a very awkward situation, things are just normal now na kila mtu anaendelea vizuri na shughuli zake