you know am angry lakini hii comment yako imenifanya nicheke kidogo, sijamdharau kabisa huyo mdada na yeye kuwa mama yangu well its oky na iwe hivyo since my father is alone now. pia halikuwa lengo langu wajue kama mm nimejua kinachoendelea. ni hasira tu za kibinadamu.
lakini nyinyi wanaume hivi mnajisikiaje kutembea na mabinti wadogo kuliko hata watoto wenu?
nashukuru dada yangu, si kwamba napenda kuingilia maisha ya baba yangu napenda awe na furaha ila natamani sana aoe mwanamke ambaye kidogo umri unaruhusu.
Polehhhh...hata me nishamfumania mdingi liveeee bila chenga na jirani flani hivi,nilipata kichefuchefu,sikuamini aisee....kiutu uzima i kept quiet mama hakujua hata robo hadi leooo ,na ye mzee hakujua ka nilimuona ila heshima kwake tangu siku hyo imeshuka vibayaaaa mno,haniambii kitu aisee,namsikiliza mama angu tu
Polehhhh...hata me nishamfumania mdingi liveeee bila chenga na jirani flani hivi,nilipata kichefuchefu,sikuamini aisee....kiutu uzima i kept quiet mama hakujua hata robo hadi leooo ,na ye mzee hakujua ka nilimuona ila heshima kwake tangu siku hyo imeshuka vibayaaaa mno,haniambii kitu aisee,namsikiliza mama angu tu
hivi wewe mtoto wako wa kiume anaweza kuthubutu kusema nimemfumania mama yangu anabanduliwa?
kwa nini mnakosa adabu kiasi? sasa naanza kuelewa ni kwa nini kuna mtu hapa aliapa ksmwe yeye si kwambs tu hawezi kuoa single mother bali hata binti aliyelelewa na single mother, taratibu sasa naiona logic.
Yani katika wengi walioongea wewe ndo naona naweza kukuelewa
baba wee unapanic vipi hapo wakati baba ni wangu na mwenye uchungu hapa ni mimi,unataka kujifanya una hasira na uchungu zaidi yangu amaaa,???usinichosheeeee,mxxxyyy,and sijalelewa na single mother,baba na mama wote Mungu kanijalia,habari ndo hyo,kama mpo kina baba umu mnafanya yenu na mahousegirl ipo siku hata mtoto wako akijua au akimsikia mama ake analalama u will lose him/her for gooood......mwanaume unapojitia kidume kuchepuka better do it guest house ni ufala kufanyia nyumbani...
Nimesema live ili mjue mnaoshabikia mabeki tatu siku ukionwa na mwanaooo anaweza asiseme ilaa ndo hivo
Kuna mentality moja umeweka kuwa house maid ni mtu duni. Sio sahihi. She is a woman, she deserves to love and to be loved, sawa na wewe sawa na baba yako.
Tukirudi kwenye mada, ni kweli inaweza kukuuma kugundua hilo. Lakini the way ulivyolihandle is totally wrong. Kama mtu mzima hukutakiwa kuparamia jambo emotional kama hilo kwa pupa. Ulipaswa utulie, ujifanye hujui kinachoendelea, with time may be in several days or even weeks akili yako ingetulia alafu ukaamua kwa busara zaidi. May be una mashangazi, bibi au jamaa wengine ambao ungewaeleza kiutaratibu mkashauriana mfanye nini...
Umemkosea baba yako heshima, kama una busara natarajia kesho umuombe msamaha...
its a new day with new things and i have left everything behind me, afterall God is the only judge not me...
Hata baba yako akikosea ni vibaya kumvua nguo( Actually if you look at it long enough, it is a curse).
Wewe si wa kumkosoa, hata kuongelea suala hilo. Waache wakubwa waliongelee. Mi ningekushauri umuombe mungu wako na hilo suala litarekebishwa. Its so not your position to have anything to do with it. Hata kama anachofanya baba ni kibaya, two wrongs do not make a right. Don't undermine the house girl either for if she has slept with your father, she is spiritually your mother.
frankly speaking atakayemuoa huyu ni timer bomb ndio wale wale frola mbasha style.
hivi mtoto wa kike kumuonea wivu baba yako ukiambiwa alikuwa anakutafuna utabisha?[o/QUOTE]
Too much bro!
Muelewe huyu binti situation take.too way normal!
Msaidie kwa kumuelewesha alielewe bila kum attack!
Mnazidi kumtengenezea image mbaya kwa babake zaidi ya kumsaidia!anawaweka group moja kwani mnazidi tu kumuonyesha male dominance hata kweny mazungumzo ya kawaida!
Ambacho ndicho kinamtesa sasa hivi!
Babangu ni katili
Babangu hamheshimu mama
Babangu an a abuse mabinti wadogo
Huku nako ni yale Yale .
Ah hamumsaidii!
Cc gangchomba