Nivumilie - Baraka da prince ft Ruby

Nivumilie - Baraka da prince ft Ruby

labda sijui mapenzii ndo sababu ukakimbia,ama alikuwepo kitamboo hukutaka kunambia,,,,,,, very gud song aiseeee,i like it!!!!!
 
Last edited by a moderator:
mpo wengi lakini tunapowatongoza mnasema mna watu wenu so tunaona bora tuwe spare tyre ili atakaeonekana mwamba ndo ana kumiliki mazima

So kumbe sharing ni kawaida tu, na mnaridhika tu!!
 
labda sijui mapenzii ndo sababu ukakimbia,ama alikuwepo kitamboo hukutaka kunambia,,,,,,, very gud song aiseeee,i like it!!!!!

"habari ya mapenzi niulize mimi, we uko moyoni kelele za nin? Nakuheshimu niamini,vumilia kidogo nimchunechune....

daaah hapo ndio huwa pananichosha mwili na maini.
 
Hii ipo... Kuna kabila(jina kificho) yan kushare mpenzi mke wao ni kawaida...
 
"habari ya mapenzi niulize mimi, we uko moyoni kelele za nin? Nakuheshimu niamini,vumilia kidogo nimchunechune....

daaah hapo ndio huwa pananichosha mwili na maini.

aiseeeee haka kawimbo ni katamu snaaa haswa nikiwa na ndovu mkononi,,,,,, nakiherehere cha kupost vipicha wenzangu wananichora,basi nambie nimuache aende na magari nirudishe, wazazi uwaambie kwenye nyumba watokee ,,,,
 
aiseeeee haka kawimbo ni katamu snaaa haswa nikiwa na ndovu mkononi,,,,,, nakiherehere cha kupost vipicha wenzangu wananichora,basi nambie nimuache aende na magari nirudishe, wazazi uwaambie kwenye nyumba watokee ,,,,

Nanyi mjitume ili msipatwe na kadhia kama hizo.
 
Kuna sehemu zingine unapenda kiukweli kabisa, kiasi hata lolote atakachofanya unajikuta unamsamehe tu. Inauma lakini unavumilia tu. Kupenda upofu kuacha msiba.
 
agh! mi sikubali wewe.

unipe pesa za yule nitumie ntakupenda kwa lipi? akijua mi mwenzie si nitauawa jamani
alaf anamchana live eti sasa niambie, nimuache aende na magari nirudishe wazazi wambie kwenye nyumba watoke usimame kama mume.

ila mi ninaemchapia hajui kwamba anachapiwa.
 
agh! mi sikubali wewe.

unipe pesa za yule nitumie ntakupenda kwa lipi? akijua mi mwenzie si nitauawa jamani
alaf anamchana live eti sasa niambie, nimuache aende na magari nirudishe wazazi wambie kwenye nyumba watoke usimame kama mume.

ila mi ninaemchapia hajui kwamba anachapiwa.

youngsharo tho i don't believe in love,heri kushare kwa kumgongea mshikaji na sio ushare kwa kuchapiwa wewe,duuuuuih sure love is a craizy game aiseeeee!!!
 
Kuna sehemu zingine unapenda kiukweli kabisa, kiasi hata lolote atakachofanya unajikuta unamsamehe tu. Inauma lakini unavumilia tu. Kupenda upofu kuacha msiba.

Love is blind if you let it blind you!
 
youngsharo tho i don't believe in love,heri kushare kwa kumgongea mshikaji na sio ushare kwa kuchapiwa wewe,duuuuuih sure love is a craizy game aiseeeee!!!




agh! mi sikubali wewe.

unipe pesa za yule nitumie ntakupenda kwa lipi? akijua mi mwenzie si nitauawa jamani
alaf anamchana live eti sasa niambie, nimuache aende na magari nirudishe wazazi wambie kwenye nyumba watoke usimame kama mume.

ila mi ninaemchapia hajui kwamba anachapiwa.

Nanyi mnachapiwa hivyo hivyo! Thats karma.
 
Back
Top Bottom