Nivumilie - Baraka da prince ft Ruby

Nivumilie - Baraka da prince ft Ruby

Shemeji una play smart tuu, lazima kwanini usifanikiwe wakati ushafanikiwa paka game?

Kwa zile enzi zetu ni lazima tuu, tena unamfanya aone kwanini alikuwa anapoteza muda

So nawe utakuwa tayari kupinduliwa baadae, maana huo ndio mwendo.
 
Nilichofanya niliplay part yangu alipokua kwangu but later on sijui kilitokea nini yaani nilitazama mbele nikaondoka.

Hahahaaaaa! Uliona mapinduzi yameshindikana ukasepa! Ila yahitaji moyo wa ziada na kujitoa akili kufanya hivyo.
 
Nimeusikiliza huo wimbo..Huo upuuzi siwezi kuufanya duniani wala ahera

Hahahaaaaaa!!! Aaah baba kuruthumu ile ya dna impossible mbona uliiweza na ukaendelea tu kuwa mpole?
 
Hahahaaaa! Eti hadi mahaba yenyewe yanawashangaa!! Ila daaah the thot that sahivi yupo kwa mwenzangu!!! Aiseeee!!
Aaah yani me hapo "ubinafsi" wangu unapojidhihirisha, kumcompete na mtu siwezi mwee, aende tu. Boss kuna watu ni watumwa wa mahaba hadi unatamani isjitokea ukapendwa na mtu kama huyo, akhuuu
 
Dhaaa!!, kushera n ngumu na ningumu kuvumilia kuona unashera waz waz hapo sasa mtu atakua umependa na kumuacha unashindwa cz karoho kanakuwa kanauma unasema ngoja nivumilie huenda akabadilika kumbe wap. Hyo unakua umempenda au unamliatu hella akiwa n mtt wa kshua

Yanaitwa mahaba nigalagaze hata nikiwa nashare nijione ni wangu peke yangu.
 
Kuna demu 1 nilikuwa na share na mshkaji wangu demu alikuwa hajui na mshkaji alikuwa ni mshkaji wangu kishenzi bahati mbaya mshkaji akaja akasepa Canada na demu!
 
Aaah yani me hapo "ubinafsi" wangu unapojidhihirisha, kumcompete na mtu siwezi mwee, aende tu. Boss kuna watu ni watumwa wa mahaba hadi unatamani isjitokea ukapendwa na mtu kama huyo, akhuuu

Hapana kwakweli, hayo mahaba yanipite mbaaali.
 
Hahahaaaaa! Uliona mapinduzi yameshindikana ukasepa! Ila yahitaji moyo wa ziada na kujitoa akili kufanya hivyo.

Mapinduzi niyafanye kwa wangapi wakati girl alikua trousers chaser .
 
So ukisalitiwa wewe hukubali, ila ukivamia kambi uko tayari kushare bila tatizo? Hivi tofauti hapo iko wapi? Na kwanini ukubali kushare?

Nashare for a while lkn baadae nameliminate jamaa nakua mtawala pale.
 
Yanaitwa mahaba nigalagaze hata nikiwa nashare nijione ni wangu peke yangu.

Ha ha haa na kweli hayo n ngaradaze na mafuriko,,chezea kupenda ww haa haaa
 
Yani kwamba demu wangu niwe nashare na mtu mwingine ilhali mi najua??..Au kushare kivipi??

Ndio hivyo hivyo, kushare na mwanaume mwingine ilihali unajua kabisaaa, na unaridhia.
 
Kuna demu 1 nilikuwa na share na mshkaji wangu demu alikuwa hajui na mshkaji alikuwa ni mshkaji wangu kishenzi bahati mbaya mshkaji akaja akasepa Canada na demu!

So ulikuwa unaona normal tu kushare na mshkaji wako?
 
Nadhani wapo wengi ila hawapo open kuelezea hisia zao, mfano kama mtu anatongoza mke wa mtu au demu wa mtu na analamba huku anakuwa mpole pindi demu anapokuwa na jamaa yake lakini akimpa mgongo huyo anavamia kiota (nadhani hata hawa wanaangukia huko pia though hawaweki mambo hadharani kuhusu hisia zao lakini wapo tayari ku-share)
 
Back
Top Bottom