Nivumilie - Baraka da prince ft Ruby

Nivumilie - Baraka da prince ft Ruby

What goes around......
Na wako nae anagaragazwa hivyo hivyo,

ila hapo sasa raha yake nini jamani, unakuwa na mtu mwenye mwanaume mwingine wakati una wako!! Ili iweje? Tamaa ya ngono? Si una wako?

Vitu vingine ni mazoea tu mabaya tena ukute anajisemea sifanyi tena lakini anarudi, hapo anakua kama mtumia unga, na ataondoka mpaka pale mwanamke atakaposhituka
 
Shemeji una play smart tuu, lazima kwanini usifanikiwe wakati ushafanikiwa paka game?

Kwa zile enzi zetu ni lazima tuu, tena unamfanya aone kwanini alikuwa anapoteza muda

Ha ha ha... kweli lakini
 
Mbona hata mi nshawahi kufanya hivyo. Hiyo nilifanya baada ya kuona demu wenyewe simuelewi. Mwanzo nilimkubali ila mwisho wa siku nikamuona snitch tu. Akienda kwa mabwana zake akirudi anaweka fuba mezani tunapasua kitoga! Hivyo yaan. Ila nikatfuta mtoto mkali tukawa tunafanya yetu.
 
Kuna wanaume wengine wanafanya hivyo
Binafsi ishawahi nitokea
Kuna mkaka moja alinitongoza nikamjibu tayar im already taken but jamaa king'ang'anizi ruba weka pembeni
Yaani eti yuko radhi kushare ili tu niwe nae

Ndo ww nn x wang wa juz maaana ulichonifanyia nn. Mhh
 
Bwana shemeji tatizo wewe bahiri, kwahiyo cute b akizisaka we unatulia tu ukisubiri azilete!! Ndio maana unaona normal, hapo hakuna mapenzi aisee, kama unampenda mtu huwezi ruhusu awe na mtu mwingine kwa sababu yoyote ile, mayb uwe ------- hivyo unataka uonekane nawe unamiliki kitu!

Hahahaaaaa mimi kimyaa...
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa nikisikiliza wimbo huu na nikajikuta najiuliza, "hivi kuna wanaume wanaokubali kushare mapenzi huku wakitambua kuwa wanashare"

Eti wanaume hii imekaaje? Maana mie kila mwanaume niliyewahi kuwa nae walikuwa wakiniambia "nikigundua unanisaliti ndio tiketi yako na nakuacha"

Na ni sababu gani haswaa inayokupelekea ukubali kushare? Ni uhaba wa wanawake? Maana nijuavyo mimi wanawake ni wengi kuliko wanaume.

Karibuni.
mpo wengi lakini tunapowatongoza mnasema mna watu wenu so tunaona bora tuwe spare tyre ili atakaeonekana mwamba ndo ana kumiliki mazima
 
Vitu vingine ni mazoea tu mabaya tena ukute anajisemea sifanyi tena lakini anarudi, hapo anakua kama mtumia unga, na ataondoka mpaka pale mwanamke atakaposhituka

Hivi unakuwa huna wivu kabisaaaa!! Daaah! Job true true
 
Mbona hata mi nshawahi kufanya hivyo. Hiyo nilifanya baada ya kuona demu wenyewe simuelewi. Mwanzo nilimkubali ila mwisho wa siku nikamuona snitch tu. Akienda kwa mabwana zake akirudi anaweka fuba mezani tunapasua kitoga! Hivyo yaan. Ila nikatfuta mtoto mkali tukawa tunafanya yetu.

Mmmmh!!😱😱
 
Back
Top Bottom