Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,827
- 15,015
Ndio hivyo hivyo, kushare na mwanaume mwingine ilihali unajua kabisaaa, na unaridhia.
Hicho kitu kwangu hakipo..Kwanza dhambi ya usaliti kwangu haisameheki
Ndio hivyo hivyo, kushare na mwanaume mwingine ilihali unajua kabisaaa, na unaridhia.
Nadhani wapo wengi ila hawapo open kuelezea hisia zao, mfano kama mtu anatongoza mke wa mtu au demu wa mtu na analamba huku anakuwa mpole pindi demu anapokuwa na jamaa yake lakini akimpa mgongo huyo anavamia kiota (nadhani hata hawa wanaangukia huko pia though hawaweki mambo hadharani kuhusu hisia zao lakini wapo tayari ku-share)
Vipi ukishindwa kumpiku jamaa?
Sijawahi kushindwa kufanya hivyo, na mostly wanawake naokutana nao mara kwa mwra huwa wako na wapenzi wao, naomba kushare baadae namueliminate mshikaji.
Niko kama lowassa, sina msamiati wa kushindwa katika jambo nalolifanya.
Mimi nipo hapa., mimi ndo mhusika mkuu wa hiyo nyimbo. Baraka ni my friend alipata idea ya huo wimbo kupitia my story..!! 1 day ntaiweka humu, ni story ya kushangaza na ya ajabu ila ni kweli imetokea.Nilikuwa nikisikiliza wimbo huu na nikajikuta najiuliza, "hivi kuna wanaume wanaokubali kushare mapenzi huku wakitambua kuwa wanashare"
Eti wanaume hii imekaaje? Maana mie kila mwanaume niliyewahi kuwa nae walikuwa wakiniambia "nikigundua unanisaliti ndio tiketi yako na nakuacha"
Na ni sababu gani haswaa inayokupelekea ukubali kushare? Ni uhaba wa wanawake? Maana nijuavyo mimi wanawake ni wengi kuliko wanaume.
Karibuni.
Mimi nipo hapa., mimi ndo mhusika mkuu wa hiyo nyimbo. Baraka ni my friend alipata idea ya huo wimbo kupitia my story..!! 1 day ntaiweka humu, ni story ya kushangaza na ya ajabu ila ni kweli imetokea.
So hujawahi kushare? Let say ile ya kumtongoza mke wa mtu au mpenzi wa mtu?
Duuuh!! Na ulikubali kabisaaa kushare, ila tukushukuru kwa story yako Baraka akatuletea kawimbo kataamu, i love the song.
So nawe utakuwa tayari kupinduliwa baadae, maana huo ndio mwendo.
Mwanaume anyekuruhusu utembee na mwanaume mwingine kwa ajili ya pesa, ni wa kumuangalia sana. Wengi atakutumia kuchota pesa unazohongwa, siku akizichanga za kutosha, atakuacha kwenye mataa akatafute mtu wa Peke ake. Wanaume wana kinyaa sana, kushare tu bure bure mmh
So zile tambo za "siwezi kushare" ninazozisikiaga kwa wanaume ni unafiki tu, kumbe wanashare tena huku wakijua kabisaaaa.
Sana ila sasa yule mwenye mali hapo bold panahusika kama akigundua kuna mtu anamgongea ila yule anaegonga wa mwenzake yaani yupo comfortable kabisa ila na yeye kama ana wa kwake hapo bold panahusika (kifupi ule msemo wa CHAKO CHANGU, CHANGU CHANGU unahusika zaidi hapa)So zile tambo za "siwezi kushare" ninazozisikiaga kwa wanaume ni unafiki tu, kumbe wanashare tena huku wakijua kabisaaaa.
Some time mbona wanaume wanakubali tuu kushare pale ambapo wao ndio wanavamia kambi ya mtuuu, sema ku realize au kukubali inakuwa vigumu as a men
Ila wimbo huu naupenda saana, saana...
Stil as a men ukincheat nakuacha...