Hahahaaaaa!! Ila si nikikutana na wewe nakuwa single kwa wakati huo until further notice.
Mkuu ulikumbuka kondom? Je nawewe dem wako akifanyiwa kaama hivyo utajisikiaje
Whaaat!! Usinisingizie jamani, teh teh teh
Nilikuwa nikisikiliza wimbo huu na nikajikuta najiuliza, "hivi kuna wanaume wanaokubali kushare mapenzi huku wakitambua kuwa wanashare"
Eti wanaume hii imekaaje? Maana mie kila mwanaume niliyewahi kuwa nae walikuwa wakiniambia "nikigundua unanisaliti ndio tiketi yako na nakuacha"
Na ni sababu gani haswaa inayokupelekea ukubali kushare? Ni uhaba wa wanawake? Maana nijuavyo mimi wanawake ni wengi kuliko wanaume.
Karibuni.
Una-share tu kama mwanadada anaangaishwa na aliyenaye na kuhitaji tulizo la moyo. Pia kuna wadada hapati amani bila kupata ile roho inapenda hata kama ana wa kwake, hivyo akitokea wa hivyo kuku-approach basi unamsaidia tu.
Angalia mambo yaliyokuzunguka hayafanani hata kama yako kwenye category moja - mfano, magari, nyumba, n.k.
Una-share tu kama mwanadada anaangaishwa na aliyenaye na kuhitaji tulizo la moyo. Pia kuna wadada hapati amani bila kupata ile roho inapenda hata kama ana wa kwake, hivyo akitokea wa hivyo kuku-approach basi unamsaidia tu.
Angalia mambo yaliyokuzunguka hayafanani hata kama yako kwenye category moja - mfano, magari, nyumba, n.k.
Yaani shemeji unahitaji maombi, nitakukabidhi kwa wapendwa akina Paulo Sergio De Souz Kaboom na Heaven Sent wakuombee.
Shemeji hizi habari zinakukuna mpaka kumoyo.