sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Cku iz kila dem anakwambia ana m2 wake so ukitaka mpaka uckie neno niko single mh cjui ln..af k2 kingine ni kwamba m2 ukishampenda ata akisema ameolewa km co mwoga wa kufumaniwa utaendelea kulazmisha mpaka akubali ili moyo wako ulidhike na utofaut unakuwepo coz we pale c unaiba..ndo mana unakua tayar kua spea tair lakn km ndo ww huwez kukubal m2 akuibie ndo mana unamkuta m2 anatembea na bastola kiunon..kwanza unahis jamaa anamfaid mkeo pili unahis unaweza ukawa ndo mwanzo wa mkeo kuchukuliwa jumla tatu inakua ni sign ya kwamba humridhishi either huduma za kijamii au sex..ndo mana yule anaeshare kwa kuchukuliwa mpenz wake na m2 mwingine anachukiaaa..bora ww ndo ukaibe ndomana wauni wanakwambia mke wa m2 ananoga..umeona mfano wake huo
Teh teh......