Nivumilie - Baraka da prince ft Ruby

Nivumilie - Baraka da prince ft Ruby

Nimekumisije mpaka nimeumwa na sasa Niko kitandani kwaajili yako?

Daaaah! Hivi huyo anayekuficha hivyo ni nani nikamteke? Maana sio kwa kukumiss huku, nilikuwa najiandaa nami kuondoka jf kabisa, haya hebu pona haraka maana nafsi yangu imefarijika sasa.
 
Daaaah! Hivi huyo anayekuficha hivyo ni nani nikamteke? Maana sio kwa kukumiss huku, nilikuwa najiandaa nami kuondoka jf kabisa, haya hebu pona haraka maana nafsi yangu imefarijika sasa.

Hahahaha asante mimi mwenyewe nishakuwa mzima utaniona kila siku, kukuona tu hapa nimepona kila kitu.
 
Hahahaha asante mimi mwenyewe nishakuwa mzima utaniona kila siku, kukuona tu hapa nimepona kila kitu.

Pole kwanza kwa janga lile la w.end, niliona ulishusha sala ila hata sala haikusikia, na mchepuko nae chaliii, khaaaaah!
 
Pole kwanza kwa janga lile la w.end, niliona ulishusha sala ila hata sala haikusikia, na mchepuko nae chaliii, khaaaaah!

Hahahaha nishapoa mpenzi ila sometime Mungu anakunyima ili mwingine apone,tungefunga hali ingekuwa mbaya sana kipande ile.
 
mbona unavyotembea na mke wa mtu unakuwa una share but unaona poa tu
 
Ila wanawake ndio wanapenda kushare sana....hawaoni noma....tena wanajisifia kupindua meli
 
Back
Top Bottom