Mmmmh!! Sasa hapo unakuwa unapata love au unatoa love? Maana kauli yako inapingina na uhalisia wa hii isue.
tatizo moyo sasaHahaaa! If you know that why umpindue mwenzio?
Mweeeh!!! Ulikosa kabisa wako peke yako?
hebu sikia nikwambie nakuja kukutongoza kisha unaniambia una wako mi nikaendelea tu kukutongoza ukanionea huruma ukakubali
hii haimaanishi yule wako umemuacha ila umeniongeza mimi
halafu wanawake hapo inaonekana umewapanga hata watatu ila tatizo hawajuani
Tatizo ni mimi kujua au kupangwa wengi ??
We ushajua mnapangwa why uendelee kupaganda hapo tu? So kumbe tukiwapanga ni poa tu!
nilikuwa nao na bado ninao. ndo maana kuna watu wanakubali kushareTeh teh teh! Kwani wakati unakubali kushare hukuwa na moyo?
hahahahahaha asante sanaKila la kherini katika kushare kwenu, hope lile mnalolisaka mtalipata sooo, very soooon.
usinitishe sasa. ngoja niache ngazi tu kwa kweliUnashukuru eti? Just wait dont thank me yet, subiri likikupata la kukupata ndio utanishukuru.
hii chain italeta matokeo mabaya. najitoa ramsiSikutishi walaaaa, hiyo chain mnayoitengeneza mnafikiri nini matokeo yake?
i don want that let me stay single for goodWalaaa matokeo mazuri tuu, utafanya mapinduzi ya afya yako, dont you want that?
i don want that let me stay single for good