Niulize swali lolote kuhusu wanawake

Niulize swali lolote kuhusu wanawake

nisome tena..sijazuga
Nilipitia comments nikakuelewa ..kumbe upo kwenye lile kundi la wanao rusha maji kama bomba ..
Nina mpango wakufanya kilimo cha umwagiliaji .. nitakutafuta
 
Nimeona leo nitoe muda wangu kidogo ili tuweze kusaidiana. Mungu akikupa elimu na maarifa bora kushare na wengine.

Napenda kukaribisha swali lolote lile kuhusu wanawake. Uliza swali lolote kuhusu hali mbali mbali za wanawake, mfano kutoa harufu na uchafu sehemu za siri, kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa, mzunguko wa hedhi, kushindwa kufika kileleni, kukosa hamu ya tendo la ndoa , matiti kutoa maziwa wakati hanyonyeshi nk,nk.

Karibu, uwanja ni wako. DM iko wazi kwa mtu anayetaka usiri.


Hivi wanawake nao ni watu?
 
Kumbe unaweza kuhangaika kumkojoza mtu mwenye mitatizo yake na akawa hakojoi ... halafu akawa anakutupia lawama kuwa haujui kufanyana kumbe yeye ndiye kikwazo kikuu .. nikikutana na manzi wa hivyo atapambana na hali yake aisee
Ndio wengi hao...lakini ni kujaribu kumsaidia
 
Hapana ... kwanza mwanamke anayepokea pesa yangu baada ya sex huwa simtofautishi na kahaba .. aniombe siku kadhaa kabla ya sex. Au tumemiza then kaenda kwao baada ya masaa kadhaa aanze kunieleza kuhusu shida yake hapo nitamuelewa
Lakini nauli unampa?
 
Back
Top Bottom