Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐
Kuna hisia kali hujengeka vichwani mwa wanaume (mimi mmoja wao) kwamba mwanamke anapokataa kushiriki tendo la ndoa na mume wake tafsiri yake ni kwamba atakuwa ametoka kufanya tendo hilo na mwanamme mwingine, hili unalisemeaje ?Nimeona leo nitoe muda wangu kidogo ili tuweze kusaidiana. Mungu akikupa elimu na maarifa bora kushare na wengine.
Napenda kukaribisha swali lolote lile kuhusu wanawake. Uliza swali lolote kuhusu hali mbali mbali za wanawake, mfano kutoa harufu na uchafu sehemu za siri, kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa, mzunguko wa hedhi, kushindwa kufika kileleni, kukosa hamu ya tendo la ndoa , matiti kutoa maziwa wakati hanyonyeshi nk,nk.
Karibu, uwanja ni wako. DM iko wazi kwa mtu anayetaka usiri.
Naomba nami nijibu as nami ni mwanamke ;Kuna hisia kali hujengeka vichwani mwa wanaume (mimi mmoja wao) kwamba mwanamke anapokataa kushiriki tendo la ndoa na mume wake tafsiri yake ni kwamba atakuwa ametoka kufanya tendo hilo na mwanamme mwingine, hili unalisemeaje ?
Haya tueleze wewe bibie .. Nini mnataka !!?halafu mwisho wa siku wanamaliza na conclusion 'kifupi wanawake hata wao hawajui wanataka nini' shenzy mtu mzima aliyebalehe awe hajui anataka nini huwezi kuwa serious
Siwezi kuwa msemaji wa kila mwanamke, kila mtu ana kitu anachotaka yeye kama yeye kamwe hatuwezi kufananaHaya tueleze wewe bibie .. Nini mnataka !!?
Sawa tusaidie wewe kama reference, nini unataka/unahitaji !!?Siwezi kuwa msemaji wa kila mwanamke, kila mtu ana kitu anachotaka yeye kama yeye kamwe hatuwezi kufanana
Kuna mwanamke ambae kwenye kiungo chake cha uzazi pala juu kile kinyama hakipo?Nimeona leo nitoe muda wangu kidogo ili tuweze kusaidiana. Mungu akikupa elimu na maarifa bora kushare na wengine.
Napenda kukaribisha swali lolote lile kuhusu wanawake. Uliza swali lolote kuhusu hali mbali mbali za wanawake, mfano kutoa harufu na uchafu sehemu za siri, kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa, mzunguko wa hedhi, kushindwa kufika kileleni, kukosa hamu ya tendo la ndoa , matiti kutoa maziwa wakati hanyonyeshi nk,nk.
Karibu, uwanja ni wako. DM iko wazi kwa mtu anayetaka usiri.
Kwa hiyo ukijua mimi nataka nini itakusaidia kujua wanawake wengine wanataka nini? Wewe fahamu tu mwanamke wako anataka nini inatosha sheikh.... maana naweza kukuambia ninachotaka mimi ukabeba mtazamo wangu mimi ukapeleka kwa mwanamke mwingine na kuambulia matokeo hasi mwisho wa siku utajikuta unarudi palepale pa kusema wanawake hawajui wanataka niniSawa tusaidie wewe kama reference, nini unataka/unahitaji !!?
Ni vyema ukawauliza watu hao waliokuwa wanakuangalia hii mimi siwezi kutolea majibu maana huwa siangaliiKwanini wanawake wanapenda kumuangalia mtu usoni kwa muda mrefu sana.. hasa ukiwa humtazami !!?
Tena mda mwengine anaweza kuwa ni mke wa mtu!!
(kwanini tutiane kwenye majaribu kiasi hiki jamani)
Wangari Maathai Khantwe Papa Mobimba
MiMi nna bahat mbaya sana mkuu...naskiaga hizo stry tu humu...mm sijawahi kumwangalia mtu kwa jicho Hilo...yaan eti nikuangakie Kama nakutaka?? Oh noKwanini wanawake wanapenda kumuangalia mtu usoni kwa muda mrefu sana.. hasa ukiwa humtazami !!?
Tena mda mwengine anaweza kuwa ni mke wa mtu!!
(kwanini tutiane kwenye majaribu kiasi hiki jamani)
Wangari Maathai Khantwe Papa Mobimba
Basi mimi ishanitokezeaga sana hiyo.. Hata jana pia, sema nilimuheshimu kwakua ni mke wa mtu tuu so nikasepa zangu tuu!MiMi nna bahat mbaya sana mkuu...naskiaga hizo stry tu humu...mm sijawahi kumwangalia mtu kwa jicho Hilo...yaan eti nikuangakie Kama nakutaka?? Oh no
Basi mimi ishanitokezeaga sana hiyo.. Hata jana pia, sema nilimuheshimu kwakua ni mke wa mtu tuu so nikasepa zangu tuu!
Eee kama ulokuwepo bibie, kwakweli mnatutia kwenye majaribu sanaaa.. Mnatutafutia undani tuu ๐Alafu ukute unajishtukia tu...dah bas kazi ipo!
Upo? Siku nyingi sanaNaomba nami nijibu as nami ni mwanamke ;
Sababu ni nyingi;
Wanaume wengi wenu hamjuag kumsoma mwanamke mnakimbilia kuhukumu tu..
Mwanamke akichoka jaman sex hanaga hamu nayo Wala haenjoy.. ni wanawake wachache wanapenda kusex Mara kwa mara Sasa na hapo itabidi umjue mkeo kaangukia wapi..Kwahiyo mkeo akisema anajisikia kuchoka uwe unaelewa..
2;stress...
3: unam-boa...
4;anachepuka!
Nipo ndugu yangu...maisha yanasemaje hukoUpo? Siku nyingi sana
Maishq yanaenda sawa. Umepoteq snaaNipo ndugu yangu...maisha yanasemaje huko
Mimi nipo sema hatuonani tu mkuuMaishq yanaenda sawa. Umepoteq snaa