Sipendi Uchawa
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,944
- 12,509
Ok, karibu sana siku mojaMimi nipo sema hatuonani tu mkuu
Ok, karibu sana siku mojaMimi nipo sema hatuonani tu mkuu
Huko nishaweka makazi kbs mkuuOk, karibu sana siku moja
Ukiona hivyo huenda haridhiki..Kila wakati anakuambia amechoka, au ana mchepuko wa siri? Bwana ni mwaminifu hana mchepuko ila anapigwa "vidate "vya kiaina.
Kuna mwanamke ambae kwenye kiungo chake cha uzazi pala juu kile kinyama hakipo?


bangi hiziiMajibu yako hayaoneshi dalili za kutoa muarobaini wa tatizo, umeeleza juujuu sana, wadau (wanaume) nisaidieni kama kuna mtu ameelewa maelezo ya Wangari MaathaiNaomba nami nijibu as nami ni mwanamke ;
Sababu ni nyingi;
Wanaume wengi wenu hamjuag kumsoma mwanamke mnakimbilia kuhukumu tu..
Mwanamke akichoka jaman sex hanaga hamu nayo Wala haenjoy.. ni wanawake wachache wanapenda kusex Mara kwa mara Sasa na hapo itabidi umjue mkeo kaangukia wapi..Kwahiyo mkeo akisema anajisikia kuchoka uwe unaelewa..
2;stress...
3: unam-boa...
4;anachepuka!
Kama umemuoa then anakosa ham ya tendo ujue ana stress kichwani ambazo huzijui na hajapata suluhu bado au pengine unamfanya zaidi ya uwezo wake wa kustahimili so anaboreka au pengine humridhishi kabisa so anaona unampaka shombo tu!na kama hujamuoa ujue huyo mwanamke hakufeel wala nini kuna anaemfeel ndo anafurahia nae sexKwanini baadhi yao(wanawake) Wanakosa hamu ya tendo la ndoa
Kwa nini huwa hawana nauli??



Sijawahi kukosa nauli wala kuomba nauli, we mwamba unazinguaHahaha ila JF inachekesha jamaniNEVER TRUST A WOMAN EVEN IF SHE IS DEAD...
Nafikiri ni upuuzi wa hali ya juu kwa mwanamke kuendelea kuishi na mwanaume wakati huohuo anajifanya eti hana feeling nae, kwanini usimwambie mtu mkaachana bado mapema ?, hapo utakuta anadai hana feeling na mwanaume huku anakula hela zake, kwanini usisema na hela zake huna feeling nazo ??, kweli wanawake ni tatizo zaidi ya matatizo yoteKama umemuoa then anakosa ham ya tendo ujue ana stress kichwani ambazo huzijui na hajapata suluhu bado au pengine unamfanya zaidi ya uwezo wake wa kustahimili so anaboreka au pengine humridhishi kabisa so anaona unampaka shombo tu!na kama hujamuoa ujue huyo mwanamke hakufeel wala nini kuna anaemfeel ndo anafurahia nae sex
We nae unaamkaga usiku unaenda wapi?Wanawake huwa wanalala saa ngapi.
Manake huwa nakurupuka usiku nikijua kalala.
Nashangaa naulizwa baba nani unaenda wapi.
Naomba niungane na wewe MkuuNEVER TRUST A WOMAN EVEN IF SHE IS DEAD...
Hapo kwenye point #2 stress nadhani inahusiana na pesa.Naomba nami nijibu as nami ni mwanamke ;
Sababu ni nyingi;
Wanaume wengi wenu hamjuag kumsoma mwanamke mnakimbilia kuhukumu tu..
Mwanamke akichoka jaman sex hanaga hamu nayo Wala haenjoy.. ni wanawake wachache wanapenda kusex Mara kwa mara Sasa na hapo itabidi umjue mkeo kaangukia wapi..Kwahiyo mkeo akisema anajisikia kuchoka uwe unaelewa..
2;stress...
3: unam-boa...
4;anachepuka!
Anatoa majibu yenye kuegemea upande mmoja.Majibu yako hayaoneshi dalili za kutoa muarobaini wa tatizo, umeeleza juujuu sana, wadau (wanaume) nisaidieni kama kuna mtu ameelewa maelezo ya Wangari Maathai
Kama hujawahi kuomba nauli wewe utakuwa ni kiumbe mzuri sana!nakuomba pm pleaseSijawahi kukosa nauli wala kuomba nauli, we mwamba unazingua
Sio lazima mkuu..hata familia piaHapo kwenye point #2 stress nadhani inahusiana na pesa.
Kwani Kama umemuoa hashindwa kua na jamaa ambaye anafeel nae kwa sexKama umemuoa then anakosa ham ya tendo ujue ana stress kichwani ambazo huzijui na hajapata suluhu bado au pengine unamfanya zaidi ya uwezo wake wa kustahimili so anaboreka au pengine humridhishi kabisa so anaona unampaka shombo tu!na kama hujamuoa ujue huyo mwanamke hakufeel wala nini kuna anaemfeel ndo anafurahia nae sex