Niulize chochote nikujibu

Niulize chochote nikujibu

mnaonijibu hivi mkiendelea muda si mrefu nawashushia matusi!, maswali makini mnajibu kijinga sana!.
Ukiuliza swali la kijinga utapata jibu la kijinga pia. Unauliza swali kama unatumia akili mnemba unategemea nini?

Haya tulia sasa. Breath!

Uliza swali lako sasa bila mihemko!

Tungejuaje kuna giza kama kusingekuwa na mwanga? 😃
 
Kwanini kwenye kutafsiri maana ya giza lazima ndani yake watu hugusia mwanga..?
giza kama giza kwanini isiwe na tafsiri yake bila kugusia mwanga..?

is the darkness has frequency..?
if yes why..? and if no why..?
Hili swali Liko very Philosophical na metaphysical Kuliko Kawaida nasubiri Nione Jibu..

Ni swali ambalo Hata Plato Sidhani kama anaweza Kujibu 😀😀
 
Ukiuliza swali la kijinga utapata jibu la kijinga pia. Unauliza swali kama unatumia akili mnemba unategemea nini?

Haya tulia sasa. Breath!

Uliza swali lako sasa bila mihemko!
wewe ndo unaleta hisia maana toka nikuambie unaakili mnemba bado inakuuma mpaka leo!.

Niulize swali na nilishauliza!!!!!!
mkuu kama hutaki kuitwa tena akili mnemba kama huwezi kuyajibu maswali yangu heri tu ukapita pembeni!.
 
Hili swali Liko very Philosophical na metaphisical Kuliko Kawaida nasubiri Nione Jibu..

Ni swali ambalo Hata Plato Sidhani kama anaweza Kujibu 😀😀
angalau hata wewe umeaona hilo watu wanajikanyaga tu humu!.
hizi mada za hivi na maswali ya hivi niliacha kuleta baada yakuona jamiiforums ile yakupembua mambo imepotea!, nimeleta sasahivi watu wanavyojibu ni kituko cha haja!.
 
wewe ndo unaleta hisia maana toka nikuambie unaakili mnemba bado inakuuma mpaka leo!.

Niulize swali na nilishauliza!!!!!!
mkuu kama hutaki kuitwa tena akili mnemba kama huwezi kuyajibu maswali yangu heri tu ukapita pembeni!.
I was just playing with you...mind games you know. Akili mnembaaa!

Ila ukiweka kitu hapa public, uvumilie tu kila aina ya majibu utakayopata maana usingeweza kujua kuwa hili ni giza kama kusingekuwa na mwanga 😂😂😂🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
 
Back
Top Bottom