Niulize chochote kuhusu nchi Marekani

Niulize chochote kuhusu nchi Marekani

naitaji kujua kwann black American (niggers) huuliwa kwa wingi na police kuliko white America, na mara nyingi hakuna hatua za kisheria ambazo huchukuliwa dhidi ya police hao?!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo kwamba unataka akutumie hela kama gharama then umpige kimya!!!
Tatzo kuwa ni Sheria ndoto za majimbo zinatofautiana

Ila ukifka pumzka kwanza fanya kazi.jaribu Kuongea kingereza hata kdogo Anza sasa mchakato huo,ila mm ntakuambia pa kuanza lakn gharama inategemea vtu vingi.nenda kwenye ofisi za makazi mapya eleza unachotaka alafu watakuambia taratibu za kufuata na utafanya hvyo.kama unawezakuweka wazi nnaweza kwenda kuulza kwa ajl yako

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera kwa kufika huko salama tumeshapeleka wengi sana wa kutoka Nyarugusu,Nduta,Kanembwa,Mtabila,Lukole,Mtendeli na Karago wakimbizi wa kutoka Rwanda,Burundi,na DRC.

La msingi huko ni kuhakikisha watoto wenu wanasoma na siyo kufanya starehe si unajua Marekani hata watoto wa kike wakipata mimba wanasoma shule hakuna kufukuzwa labda aache mwenyewe tu.

Kingine ni kufuata sheria za huko ili ukidhi vigezo vya kuja kupata uraia.

Jitahidi sana kuhakikisha unajipanga kimaisha maisha ya huko ni mchakamchaka.

Unaishi Jimbo gani?
 
Hongera kwa kufika huko salama tumeshapeleka wengi sana wa kutoka Nyarugusu,Nduta,Kanembwa,Mtabila,Lukole,Mtendeli na Karago wakimbizi wa kutoka Rwanda,Burundi,na DRC.

La msingi huko ni kuhakikisha watoto wenu wanasoma na siyo kufanya starehe si unajua Marekani hata watoto wa kike wakipata mimba wanasoma shule hakuna kufukuzwa labda aache mwenyewe tu.

Kingine ni kufuata sheria za huko ili ukidhi vigezo vya kuja kupata uraia.

Jitahidi sana kuhakikisha unajipanga kimaisha maisha ya huko ni mchakamchaka.

Unaishi Jimbo gani?
I suspect huyu jamaa hata USA hajafika maana hakuna anachokijua kuhusu USA ukiacha kubabia-babia tu mitandaoni
 
I thought unawaambia mabongo wenzio umepiga mihela unarudi kuwekeza wakusaidie mawazo kumbe unakenua mimeno tu kupiga deki nyumba za wenzio!?
 
naitaji kujua kwann black American (niggers) huuliwa kwa wingi na police kuliko white America, na mara nyingi hakuna hatua za kisheria ambazo huchukuliwa dhidi ya police hao?!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyngi sisi watu weusi tumeongoza kwa matukio ya uhalifu,tunakuwa watu wenye funjo sana,hasa wanaotoka Africa kuja kutafuta marekani tunapnda sana uhuni.kwaiyo ktk swala hlo tulengwa sana,marekani wanazngatia sana sheria
 
Back
Top Bottom