Niulize chochote kuhusu nchi Marekani

Niulize chochote kuhusu nchi Marekani

Je radio ziko kama huku masafa ya FM au unalipia? Luninga malipo yake yakoje kwa mwezi? Gharama za simu kupiga au SMS zikoje huko na umeme ni luku kama huku au mfumo ukoje huko? Nisaidie niyajue hayo mdau.

Sent using Jamii Forums mobile app
Simu tunalipia dollar 40 kwa mwezi.hapo full matumzi Ila kupga Africa gharama zngn

Ndio umeme tunalipia kma tz,hamna umeme wa bure.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali langu moja tu.

Kwanini Wakongo, wanyarwanda, Warundi na baadhi ya Waganda mnapenda kujiita Watanzania hadi mmeharibu taswira ya Mtanzania mkiwa nje ya nchi??????????????????????????????
Czan Kama n kwel unalosema

Maana watanzania wanawajua n wauza madawa,maneno mengi,kutokuwa na Imani nae kuishi kisheria marekani

Kwaiyo kwa ukitaka usalama wako.jivue utanzania wako maana NCHI nyngi hawaamnki.mkongo hanaga tatzo kwenye NCHI za watu.

NB;mtz Hana sifa nzur

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah mwaka mmoja bado hujajua kitu kabisa!!
Ktabu hcho...nlpewa elimu kuhusu NCHI ya marekani na Chet nkapata.

Leo cpo home nkfka ntakutumia pcha zpo kwny pc.
Screenshot_20190218-154219.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
HELLO TANZANIA
habari zenu Wana JF na TANZANIA kwa ujumla
Ni mwaka mmoja tangu nifike nchini marekani kutokea nchini Tanzania kambini nyarugusu

Ningependa nichukue muda huu unihulize chochote kuhusu NCHI ya marekani

mf; Kazi,utamaduni,Maisha
Ningependa kuwakumbusha kuhuliza pia kuhusu bendera,najua wengi wenu hawajuw kuhusu bendera ya USA


Karibu

Sent using Jamii Forums mobile app

Umeenda kuzurura au kufanya kazi, mwaka 1 tu unajidai kuijua USA yenye time difference ya masaa 3, hebu acha utani
 
HELLO TANZANIA
habari zenu Wana JF na TANZANIA kwa ujumla
Ni mwaka mmoja tangu nifike nchini marekani kutokea nchini Tanzania kambini nyarugusu

Ningependa nichukue muda huu unihulize chochote kuhusu NCHI ya marekani

mf; Kazi,utamaduni,Maisha
Ningependa kuwakumbusha kuhuliza pia kuhusu bendera,najua wengi wenu hawajuw kuhusu bendera ya USA


Karibu

Sent using Jamii Forums mobile app

Toto huko vipi wapo mdada poa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna kitu kama hicho boss kila mtu yupo proud na alipo tokeaa,,

Sent using Jamii Forums mobile app
Yapo sana. Binafsi niliwahi kuitwa nikataarifiwa kuwa hapo nilipokuwa nafanya kazi, ameajiriwa MTz mwenzangu. Nikaenda upesi idara aliyopo na kufika tu Mimi nikamwaga Kiswahili. Nikaambulia mtu kujiuma uma na kucheka cheka. Kumbe naye alikuwa kama mwanzisha uzi, wamepita tu Tz, hata lugha haijui, ila huko wanajinadi ni WaTz.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasema Shukran ya punda ni mateke. Mlitoka kwenu kuja Tz kwa wauza madawa sio? Umeenda kampuni gani kutafuta kazi wakakutaarifu kuwa WaTz hawana sifa nzuri?
Maana hata wa Nigeria licha ya kujulikana dunia nzima kwa utapeli, bado wanaajiriwa Marekani, maana hamna mtu anayeulizwa umetoka nchi gani, una ujuzi/ uzoefu hiyo ndiyo inayoangaliwa.
Unajua EOE kwenye ajira za Marekani? Je wanakuuliza umetokea wapi?
Acha majivuno!
Czan Kama n kwel unalosema

Maana watanzania wanawajua n wauza madawa,maneno mengi,kutokuwa na Imani nae kuishi kisheria marekani

Kwaiyo kwa ukitaka usalama wako.jivue utanzania wako maana NCHI nyngi hawaamnki.mkongo hanaga tatzo kwenye NCHI za watu.

NB;mtz Hana sifa nzur

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda Kwa njia hiyo naweza kukubaliana. Na wewe Ila kama watu wanaenda sehemu kutafta ukimbizi mfano kama sauza Africa,,Europe n.k
kama umejipeleka mwenyew inakua ngumu kuwambia kama wewe manzanita sabab Tanzania Haina Vita so inabid uongelee palipo navita booss ili upewe hifaz haraka
Yapo sana. Binafsi niliwahi kuitwa nikataarifiwa kuwa hapo nilipokuwa nafanya kazi, ameajiriwa MTz mwenzangu. Nikaenda upesi idara aliyopo na kufika tu Mimi nikamwaga Kiswahili. Nikaambulia mtu kujiuma uma na kucheka cheka. Kumbe naye alikuwa kama mwanzisha uzi, wamepita tu Tz, hata lugha haijui, ila huko wanajinadi ni WaTz.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom