ibby
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 415
- 586
Achana na hao wa bongo kazi yao majungu tuu,,Naitaji kuuliza je ikiwa umepata chance ya kwenda marekani kwa njia ya Halali ukiwa peke yako ila huku nyuma una familia (mke na mtoto) so inacukua mdaa wa kiasi gani wewe kuweza kuwafanyiaa mpango na wawo waweze kukukuta USA na garama zake zikoje??mana kuna ishu niko nafatikia Mungu akipenda ikiwa sawa nadondoka kwa TrumpHELLO TANZANIA
habari zenu Wana JR na TANZANIA
Ni mwaka mmoja tangu nifike nchini marekani kutokea nchini Tanzania kambini nyarugusu
Ningependa nichukue muda huu unihulize chochote kuhusu NCHI ya marekani
mf; Kazi,utamaduni,Maisha
Ningependa kuwakumbusha kuhuliza pia kuhusu bendera,najua wengi wenu hawajuw kuhusu bendera ya USA
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
