Niulize chochote kuhusu nchi Marekani

Niulize chochote kuhusu nchi Marekani

HEBU FUNGUKA KUNA TAARIFA KUWA HAO BLACK AMERICAN WANA NYODO NA DHARAU SANA KWA MTU YOYOTE MWEUSI AMBAYE SIO MZAWA WA MAREKANI JE KUNA UKWELI WOWOTE KUHUSU HILO?

Chukulia kama dar kila kijana anajfanya amezaliwa dar,hata huku marekan weng wa Africa wanajfanya n wazawa ila s wote.lakn swala LA dharau hlo halpo.

Marekani ni nchi yenye watu wny asilai ya nchi mabalmbali ila wana uraia wa marekani
 
I suspect huyu jamaa hata USA hajafika maana hakuna anachokijua kuhusu USA ukiacha kubabia-babia tu mitandaoni
Hta nkutumie pcha nmepga sehemu maarufu za marekan huwez amn,hata nkutumie vtambulsho vyote huwez amn,nawajua wabongo, watu wa NEGATIVE...
 
Kiswahili ndg nnakielewa vzr,sema wakat naandka maneno yalikuwa yanabadlka,nlkuwa cjaistukia hyo ishu ndomaana maneno nlkuwa nakosea,nlkuwa fasta kuandika.nko vzr pia hta kuongea kiswahl maana tz nmeishi na nmekaa mikoa tofaut kama miaka kumi hv.
 
Ni kweli, Ukilinganisha Tz na US, ni neema kwako kuwa US.. Sikupinga hilo, wala hali ya wakimbizi waishio nje ya Tz.
Lakini ukionesha kuwa huna lolote la kushukuru Tz, hiyo Inaitia ukakasi, licha ya kwamba sikulazimishi, ni hulka ya mtu binafsi.
Nilichopinga ni ulivyosema rekodi ya MTz huko USA sio nzuri, kujihusisha madawa ya kulevya n.k.
Huajiriwi au kupangisha kiholela huko US (wa Mexico kibao wanafanya hivyo) ndivyo utaratibu wao, wa Tz ilikuwa ni kuwadhibiti wakimbizi kutokufanya yote uliyoyaeleza. Ukiacha wakimbizi watoke kambini au wafanye biashara, wakati huna jinsi ya kuwafuatilia popote walipo, kwa yeyote mwenye akili timamu hawezi kufanya hivyo.
Kupewa social security card, green card na baadae pasi ya kusafiri ukiwa raia wa US, ni jinsi ya kukudhibiti kila ufanyalo. Tz hatukuwapa hayo kwa kuwa mlikuwa njiani kwenda popote kwenye neema. Mlivyofika Marekani, hamkuachiwa kwenda mitaani tu bila utambulisho wowote, mnadhibitiwa kwanza kwenye mifumo wao, halafu ndio unaruhusiwa kufanya shughuli zako.
Tz pia ndicho walichofanya, na nchi yoyote yenye serikali/ utawala ndivyo ifanyavyo.
Kila la Kheri katika maisha ya neema huko Marekani!

Sent using Jamii Forums mobile app
Cjasema rekodi ya tz nchini marekan,kuna vtu ambavyo vko maarufu kwa nchi flan au wanajulkana kwa tabia fulani.

Kuajr au kupanga n kweli maana wageni wote huwa wanakad maalumu ya kuajriwa na inaitwa EAD,
Kwann unapoenda kupanga wakumbe kad inamaana gani,maana mweny nyumba ajue kama we una sifa nzur ya upangaji alafu wamerekani ndg yang n wazur kuzngatia sana sheria

unaweza kufanya usanii ikiwa unaish kwa ndg au umeajriwa kwa ofs y ndg,Ila kumbuka n kinyeme cha sheria kumuajr mtu na kumlpa MTU pesa mkono ..
Sasa hayo maisha ndg ya kujifcha mpka lini,na mpk ln utaendlea kufanya kaz zisizo rasmi
Na bado inaishi kwa was was

Sio kwel kufanya hvyo ndo kuwazbd wakimbza au kwa vle wapo kweny harakat za kwenda marekani sio sababu..mbona Rwanda wako guru na waenda USA,Australia,canada, nk...na Jambi zingine zinafanya hvyo hvyo mbona hawajawazibiti kama unavyosema

In kweli ukifka marekani unakuwa mikononi mwa serekali kwa mwez mmoja au kadhaa inategemea,ila unajua sababu?..kwa sababu hawaz kukuacha mwenyew ni mgeni huyajuwi mazingiri hata namna yakutafuta kazi hujuwi na kunahudumu za dharura unatakiwa uzipate kipindi wewe ni mgeni na huna kazi au lugha pengine inaweza kuwa tatzo kupata unachoitaji..lakini baada ya miezi sita unakuwa huru,kuishi unapotaka wanauakika kwamba utaweza kujihudumia..

Kumbuka pale trump aliposema wamexico warudshe kwao walikuwa wanajua idad n wangap na watoto wa ngap watoto waliozaliwa marekani n wangap waliokuja bado wadogo ni wa ngapi na saivi wako wapi

Wamejpanga kwenye swala hlo LA kuwatambua watu lcha sio kwa asilimia mia mmoja
 
I thought unawaambia mabongo wenzio umepiga mihela unarudi kuwekeza wakusaidie mawazo kumbe unakenua mimeno tu kupiga deki nyumba za wenzio!?
you're young to know Good!!!!!!!
...Go to hell
 
Mkuu nauliza njia nzuri za kuja huko ni zipi?


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Marekani ya Maganzo! Makali,o kweli ww! Endelea kula mrenda tu machakani huko, uongo mwingine wa hovyo muache mshakuwa watu wazima sasa!!
Mapovuuuuuuuuuuuuuuuh
Mtabata tabu Sana,
VP ndg ulinyimwa visa nini?
 
Mwalimu Tz analipwa kiasi gani? Maisha Tz sio ghali kiasi cha mwalimu asimudu maisha.
$70 kwa siku kwa shift ya masaa 8, unalipwa chini ya $10 kwa saa na bado makato ya kodi, na US maisha ni aghali.
Mfano tu nmekutolea mm mbeba box,nataka sasa unlnganshe na mwalmu wa tanzania,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom