Niulize chochote kuhusu nchi Marekani

Niulize chochote kuhusu nchi Marekani

Ndio Maana unachapia tu kiswahili hadi watu wanskushsngaa

Ulifikaje Nyarugusu .

Pia urifikaje Marekani

Unaweza kutoa channel (njia ) na webzako wa Africa waweze kufika Marekani

Which way did you use to go America?

Tuambie njia zilizokusaidia kufika Marekani na Nn unafanya huko Marekani?

Am a ce ngolese.
Najua french, English naongea pia swahl,... kiswahili nmekjua kuandka kwa bidii binafs za mtaan.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio Maana unachapia tu kiswahili hadi watu wanskushsngaa

Ulifikaje Nyarugusu .

Pia urifikaje Marekani

Unaweza kutoa channel (njia ) na webzako wa Africa waweze kufika Marekani

Which way did you use to go America?

Tuambie njia zilizokusaidia kufika Marekani na Nn unafanya huko Marekani?



Sent using Jamii Forums mobile app
Nmetokea DRC nmeish kma mkimbizi tz

Nilibahat kuingia marekani kwa mpango wa serekal ya marekani kuwachukua baadhi ya wakimbz nchini Tanzania.

mchakato huo na Maelezo ya kuomba hifadhi marekani ufanyka kwa Siri kwaiyo si vyema kuzianika hapa.

Swala la kumsaidia mwingine anawezaje kuingia marekani ni kinyume na Sheria
So,inategemea kila mtu na maombi yake maana c vyema kufanya ujanja kuingia USA
Labda Kama vile mm nnaweza kumuitaji mtu na nkaanza kumfanyia mchakato nikiwa huku.kwa njia hiyo bora na nzuri ila inaitaj uvumlvu na Kuna njia ya kutumia pesa ila hakikisha vtambulisho vya kuingia nchini marekani anavyo.






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonekana hujui ...unaandika Uzi huna info za kujibu watu. Mimi nimeshuhudia watu wengi ninao wafahamu sio story za kaambiwa walikuja huko.VISA zikaisha muda na wanaendelea kubaki huko na maisha yanaendelea. Na wengi tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mm nmeona hajui lolote maana anajibu kama mt aliyeulizwa jina lako nan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama upo busy huo utayari wa kujibu maswali umeutoa wapi?

Nilifikiri wanaokukosoa wanakosea kumbe wapo sahihi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Utayari upo kwa muda c kwa muda wote alafu mbongo ni mtu yupo negative kwaiyo cshangai.

Ebu jarbu kuwafatlia,mada inayozungumzia kilimo weyemwe watacomment lishu

Hua nawashangaa sana so negative

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe umekaa Tz ndio maana naona unafahamu kiswahili .

Najua Marekani wanachukua wakimbizi nakuwapa Scholarship kwenda kusoma Marekani

Je wewe Marekani umeenda kusoma au kuishi?


Ni mafanyikio gani umepata mpaka sasa ya kuishi Marekani?




Nmetokea DRC nmeish kma mkimbizi tz

Nilibahat kuingia marekani kwa mpango wa serekal ya marekani kuwachukua baadhi ya wakimbz nchini Tanzania.

mchakato huo na Maelezo ya kuomba hifadhi marekani ufanyka kwa Siri kwaiyo si vyema kuzianika hapa.

Swala la kumsaidia mwingine anawezaje kuingia marekani ni kinyume na Sheria
So,inategemea kila mtu na maombi yake maana c vyema kufanya ujanja kuingia USA
Labda Kama vile mm nnaweza kumuitaji mtu na nkaanza kumfanyia mchakato nikiwa huku.kwa njia hiyo bora na nzuri ila inaitaj uvumlvu na Kuna njia ya kutumia pesa ila hakikisha vtambulisho vya kuingia nchini marekani anavyo.






Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe umekaa Tz ndio maana naona unafahamu kiswahili .

Najua Marekani wanachukua wakimbizi nakuwapa Scholarship kwenda kusoma Marekani

Je wewe Marekani umeenda kusoma au kuishi?


Ni mafanyikio gani umepata mpaka sasa ya kuishi Marekani?






Sent using Jamii Forums mobile app
HELLO TANZANIA
habari zenu Wana JR na TANZANIA
Ni mwaka mmoja tangu nifike nchini marekani kutokea nchini Tanzania kambini nyarugusu

Ningependa nichukue muda huu unihulize chochote kuhusu NCHI ya marekani

mf; Kazi,utamaduni,Maisha
Ningependa kuwakumbusha kuhuliza pia kuhusu bendera,najua wengi wenu hawajuw kuhusu bendera ya USA


Karibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na hao wa bongo kazi yao majungu tuu,,Naitaji kuuliza je ikiwa umepata chance ya kwenda marekani kwa njia ya Halali ukiwa peke yako ila huku nyuma una familia (mke na mtoto) so inacukua mdaa wa kiasi gani wewe kuweza kuwafanyiaa mpango na wawo waweze kukukuta USA na garama zake zikoje??mana kuna ishu niko nafatikia Mungu akipenda ikiwa sawa nadondoka kwa Trump

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom