Niulize chochote kuhusu Lushoto

Niulize chochote kuhusu Lushoto

Status
Not open for further replies.
Majamaa wenyewe ni mapolisi simtimes na USALAMA WA TAIFA sasa wewe sogeza kwato utaona hahahah

Khaa! Nikadhani Kuna kambi ya wajeda hapo msituni kumbe mbwembwe zoote mnazungumzia polisi.

Pindi naishi Nyakabungo Mza kuufikia msitu unaomzunguka RC Mashishanga (by then) it was less than 15min(on foot).Mule msituni kulikuwepo kambi ya jeshi(kwa mujibu wa wenyeji wangu) Lakini kwa wakati huo kambi ya vibaka nayo ilikuwa humo humo msituni na wakikukaba barabarani,wanatokomea na wewe msituni na tukio la uchunaji ngozi limewahi kurepotiwa hapo.

Mkuu mtakuwa mnaogopa uniforms tu hakuna watu hapo.
 
Ningependa kutembelea Ushoto kwa Wagosi wa kaya wenyeji niambieni je gari isiyokuwa na 4w inaweza kufika huko,vipi lodges za bei nafuu lakini nzuri kuanzia malazi,chakula.......
 
Lushoto ndio mji pekee ambao nilikaa wiki bila kuona hata dada poa mmoja. yaani sikugegeda wk nzima. Inaelekea wameshika dini sana watu wa Lushoto. hongereni kwa hilo.
Mmmh! Inaonekana research yng inaanza kupata majibu! Ngoja nijaribu tena kwa huyu mdada!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Ningependa kutembelea Ushoto kwa Wagosi wa kaya wenyeji niambieni je gari isiyokuwa na 4w inaweza kufika huko,vipi lodges za bei nafuu lakini nzuri kuanzia malazi,chakula.......

Yeah. Gar ambayo haina 4w inafika. Lodge zipo za kuanzia elfu 20 mpaka laki na nusu. Wewe tu na mfuko wako. Lushoto huduma za malazi kama Arusha kias
 
Lushoto ndio mji pekee ambao nilikaa wiki bila kuona hata dada poa mmoja. yaani sikugegeda wk nzima. Inaelekea wameshika dini sana watu wa Lushoto. hongereni kwa hilo.

mambo siku hizu yame badilika kuna dada poa kibao nenda kitivo au dochi bei sawa na bure,tahadhari tu ukienda kutia ubebe na spray.
 
Ningependa kutembelea Ushoto kwa Wagosi wa kaya wenyeji niambieni je gari isiyokuwa na 4w inaweza kufika huko,vipi lodges za bei nafuu lakini nzuri kuanzia malazi,chakula.......

milimani sana haifiki ila sehemu kubwa ya lushoto inatembea hiyo gari yako, lodge zipo nyingi sana kuanzia Mkuzu creek lodge, Lawns mpaka kialilo zupo nyingi sana
 
mambo siku hizu yame badilika kuna dada poa kibao nenda kitivo au dochi bei sawa na bure,tahadhari tu ukienda kutia ubebe na spray.

ngoma nje nje hasa pale watoto wa ktv wameungua wengi
 
Pia ni eneo ambalo Watalii hutembelea kwa kurudia rudia, Mtalii anapofika kwa Mara ya kwanza hupanga safari nyingine si tu kutembelea maeneo ambayo hajatembelea bado, lakini pia hata yale ambayo tayari ametembelea. Hii ni kutokana kuwepo maeneo na pia mandhari ya kuvutia mfano, msitu wa mazumbai, Irente view point, magamba forest, sakarani Irente biosidervity reserve n.k.
 
Je, ni kweli watoto wa kisambaa huegemea upande wa mama zaidi yaani wajomba kuliko mababa wa kubwa,wadogo na mashangazi.

%kubwa iko hivyo wamama wAna nguvu sana kwenye familia kuliko baba licha ya mfumo dume kuwepo katika jamii za kisaambaa,na huku lushoto wanaume wengi wA kisambaa ni wanafiki, wana majungu na wivu ndio maana hawa pendani wenyewe kwa wenyewe hii ni kweli na halina ubishi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom