Kama unavojua IKULU kuna kua kuna siri nyingi sana na pia viongozi wakijaga hufikia pale(KULALA)
duuuh anapatikana wapi?
Lushoto mkuu
Ni kweli kabisa though msisitizo mnaouweka dah!! mpaka kukatana korodani!
hatokusahau kamwe...
Kama auamini nenda pale iwe mchana au usiku ingia mule alafu utanipa majibu
Ngoja nikipata nauli na muda ntakuja lakini tutawasiliana uje unieskoti ila wakinikamata we unakimbia.Upo!
The point is,nataka mtu atayeujua ukweli juu ya kupotezwa kwangu na hao jamaa preferably awe mwenyeji wa eneo hilo.
Ngoja nikipata nauli na muda ntakuja lakini tutawasiliana uje unieskoti ila wakinikamata we unakimbia.Upo!
The point is,nataka mtu atayeujua ukweli juu ya kupotezwa kwangu na hao jamaa preferably awe mwenyeji wa eneo hilo.
Mkuu sio mimi mi kwangu bongo apa apa ndio home...
Majamaa wenyewe ni mapolisi simtimes na USALAMA WA TAIFA sasa wewe sogeza kwato utaona hahahah
lushoto kubwa labda taja eneo