Niulize chochote kuhusu Lushoto

Niulize chochote kuhusu Lushoto

Status
Not open for further replies.
Kuna jambo hamjaligusia kama inavyojulikana kwa tanga mjini mgeni yyte aliyefika lushoto harud leo mara nyingi makanbila mengi waliofika pale kwa kuajiriwa hununua viwanja na kuufanya mji huu kuwa mother land yao asiyejua lushoto pia hujulikana kama switzealand of africa kwan wagen kutoka ulaya ndio wamejaa mjini kwa matembez kuliko wasambaa wenyewe na pia ina hoteli za nyota tano na zenye mandhari za kuvutia zilizozungukwa na uoto wa asili kushinda hata baadhi ya mikoa mikubwa nna mengi sana ya kufunguka kuhusu lushoto ngoja kwnza nkachek mechi...

karibu mkuu tusaidiane una mengi ya kutoa hapa kwa sredi...
 
Lushoto ni kuzuri kwa kweli cwezi fananisha na wilaya nyingine yoyote hapa tz
 
Vipi kuhusu mwamuko wa kisiasa hapo Lushoto? Elimu je?
 
Lushoto ni kuzuri kwa kweli cwezi fananisha na wilaya nyingine yoyote hapa tz

hali ya hewa ni safi, wenyeji ni wakarimu, hakuna matukio ya kihalifu...napapenda sana asee
 
Hahahahah kitivo kwa wajanja sio pamoja na SINZA mitaa ile ni balaa watu wameranduka balaa, ila karibu sna ukija tutaonana tuombe uzima tu
nikija ntakutafuta.. me ni karibia na mitaa ya kitivo..na wewe ni kachero?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom