Niulize chochote kuhusu Lushoto

Niulize chochote kuhusu Lushoto

Status
Not open for further replies.
Kaka umempatia huyu mburula hata kaa akuulize swali la kimburula tena. Eti torfauti ya mtu wa Korogwe na mtu wa Lushoto ni nini ? what a question ?

Si kuuliza mtu bali nimeulizia kabila maana inaweza likawa kabila moja wakapishana kwenye matamshi mfano Wachaga wanavyotofautiana lugha kutokana na maeneo walipotoka huko Uchagani.
 
Nasikia hiyo wilaya inaongoza kwa kuzalisha panya wengi na viroboto, toa maelezo
 
Nasikia hiyo wilaya inaongoza kwa kuzalisha panya wengi na viroboto, toa maelezo

Usisahau na funza pia yaani hadi unashindwa kutofautisha mguu wa kushoto ni upi na wa kulia ni upi? Sijui kwa siku hizi labda.
 
Wanajenga nyumba za kufia tu. wanaogopa uvhawi kama nini. Sehemu yenye wachawi wakali africa mashariki na kati ni bonde ila hawatangazi. ukiwa na kesi aina yoyote ni PM nikuelekeze.

dah taja bhana
 
Irente ni eneo lenye hôtel nyingi ikiwemo ya mkapa ila si kwamba mkapa anamili irente, hâta wewe kama unataka kiwanja irente unapata ila vimevamiwa sana na wahindi asaiv

No wonder nilipoenda majuzi nilikuta wahindi wengi tu.
Nahitaji shamba kabisa si kiwanja. Bei kwa eka zikoje?
 
Mtoa mada, nisaidie; kuna kijiji kinaitwa mgwashi kipo kata ya bungu, Je eneo hili kilipo kijiji ni wilaya ya korogwe ama Lushoto?
 
Karibuni wadau wa Jf uliza ujibiwe kuhusu wilaya ya Lushoto na maeneo yake. Hii ni moja ya wilaya nzuri kabisa ndani ya mkoa wa Tanga. Karibuni...

CC: mshana jr

Aisee MUSSOLIN nimeitafuta sana Hii thread hatimaye leo nimeifumania
 
Last edited by a moderator:
Nimemiss good times kwenye hii thread sijui nimechelewa wapi wallah
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom